Sioni tija ya ukarabati unaoendelea Barabara ya Bagamoyo (Mbezi - Tegeta)

Sioni tija ya ukarabati unaoendelea Barabara ya Bagamoyo (Mbezi - Tegeta)

Hawana Mpangilio Kabisa,haiwezekani unafumua barabara Tegeta Kibaoni haurekebishi unaendaa Tegeta kwa Ndevu haurekebishi, unaenda kufumua Mbezi Africana hurekebishi,unaenda kufumua Mbezi Shule huerekebishi na unageuka upande wa pili kufumua kwanini usingemaliza kiraka kimoja unaenda kingine.?
Pia barabara hiyo haijakuwa mbayaa sanaa kuliko barabara nyingine za vumbi.!

huwa najiulizaga kwamba ndio principle inataka hivyo au ni nini maana ni upumbavu kukwangua na kuacha shimo kwa zaidi ya wiki……inakera!
 
Sioni tija yoyote ya matengenezo yanayoendelea barabara ya bagamoyo (Mbezi hadi Tegeta) kufanyika sasa.

Kinachofanyika sasa nakifananisha na uharibifu au fursa ya upigaji!

Kwanza hakuna mpango kazi mzuri kwasababu wanakwangua barabara na kuiacha barabara katika hali mbaya zaidi kwa mda mrefu pasipo kufanya matengenezo.

Pili matengenezo kama hayo ya kukwangua barabara kama yanazidi 1km ni bora wangefumua barabara nzima kuliko kujaza vilaka ambavyo havina msaada!

Nilitegemea katika kipindi hiki cha mpito ambacho nchi inakumbwa na majanga mbalimbali tungejikita kufanya miradi mhimu ya kimkakati kuliko kuja kumwaga pesa sehemu kama ile ambayo hata ingeweza kusubiri kwanza majanga yapungue na pesa tukazielekeza sehemu za lazima.

Bajeti ya kubadilisha lami iliyokuwepo ili kuweka lami mpya si tu ni matumizi mabaya ya rasilimali Bali pia ni matumizi mabaya ya taaluma ya uhandisi!

Tatizo la lami kuwa na mabonde huwezi kulimaliza kwa kubadilisha lami juu juu nakuacha kushughulikia msingi mzima wa barabara kuanzia chini (road base)

Ikumbukwe sehemu ya juu ya lami huwa haibebi mzigo Bali hurahisisha mseleleko, hivyo kama lami mpya itawekwa mahala ambako chini kuna unyevu au hapakushindiliwa vizuri inamaana hata ukiweka mpya itabonyea vilevile!

Kwahiyo kuweka lami au overlaying yoyote kwenye barabara hiyo ni bora zaidi kuiacha ilivyokuwa na pesa zake zikaelekezwa sehemu nyingine korofi zenye mahitaji ya lazima!

Kama kulikuwa na ulazima sana kutumika katika barabara hiyo ni Mara mia wangetanua barabara za pembeni (service road) pale mbuyuni na tegeta

Lakini kwa hiki kinachoendelea kwenye hii barabara kuanzia mbezi hadi tegeta hakina tija kufanyika kwa sasa hususani kipindi ambacho kunatarajiwa kutafanyika tena jenzi/upanuzi wa barabara ya magari ya mwendo kasi katika awamu ijayo!

Kuna haja kubwa sana Tanroad wakajitafakari kwenye barabara hii!
Wenye tairi vipara lazima kelele ziwe nying.. juz tu hapo nilihis gari inahama

Enewei.. naunga mkono hoja..mbona barabara ilikua fresh tu.. ni fursa ya upigaj ile
 
naona msukumo mkubwa ni kwenye upigaji, zile sehemu wala hazikuharibika kiasi zihitaji matengenezo.
 
Kitu ambacho huwa sielewi ni kulazimisha kujenga service road, kwa nini iyo service road isingeongezwa kwenye two way ikawa three way go and return.
 
Hawana Mpangilio Kabisa,haiwezekani unafumua barabara Tegeta Kibaoni haurekebishi unaendaa Tegeta kwa Ndevu haurekebishi, unaenda kufumua Mbezi Africana hurekebishi,unaenda kufumua Mbezi Shule huerekebishi na unageuka upande wa pili kufumua kwanini usingemaliza kiraka kimoja unaenda kingine.?
Pia barabara hiyo haijakuwa mbayaa sanaa kuliko barabara nyingine za vumbi.!
Ujenzi Dar wajitasmin.nina wasi wasi team sukuma gang waliopo ujenzi wapo kazini kuhakikisha ikifika 2025 watu wawazomee akina kinana.
Please Kinana simamia serikali mtazomewa mbaya.Haiwezekani haiwezekani mnakaa kama hamna machale ya hili chezo.
Karume mpaka magomeni kumefumuliwa.uhasibu daraja halisogei foleni mpaka bandarini au daraja la nyerere.leo tena barabara isiyo na ulazima wa zinafumuliwa kipande kirefu sana,halafu baada ya muda pana haribika na kungoja tena.Mabomba ya maji yanakatika maji yanavuja watu hatupati maji,barabara ya mitaani hazifagiliwi lami zinamezwa na michanga.
Mashimo ya barabarani hayafukiwi ili mtukere tu.
Ikifika 2025 wapinzani wenu watakuwa wanahoji tu mnawataka wananchi watajibu hatuwatakiiiiiii.
 
Ujenzi Dar wajitasmin.nina wasi wasi team sukuma gang waliopo ujenzi wapo kazini kuhakikisha ikifika 2025 watu wawazomee akina kinana.
Please Kinana simamia serikali mtazomewa mbaya.Haiwezekani haiwezekani mnakaa kama hamna machale ya hili chezo.
Karume mpaka magomeni kumefumuliwa.uhasibu daraja halisogei foleni mpaka bandarini au daraja la nyerere.leo tena barabara isiyo na ulazima wa zinafumuliwa kipande kirefu sana,halafu baada ya muda pana haribika na kungoja tena.Mabomba ya maji yanakatika maji yanavuja watu hatupati maji,barabara ya mitaani hazifagiliwi lami zinamezwa na michanga.
Mashimo ya barabarani hayafukiwi ili mtukere tu.
Ikifika 2025 wapinzani wenu watakuwa wanahoji tu mnawataka wananchi watajibu hatuwatakiiiiiii.
Tabu kwelikweli
 
Kitu ambacho huwa sielewi ni kulazimisha kujenga service road, kwa nini iyo service road isingeongezwa kwenye two way ikawa three way go and return.
Naunga mkono hoja, service road ni upuuzi mtupu na kuongeza foleni maana wanaojifanya wana haraka ndiyo wanakwenda kujichomeka na kusababisha foleni.
 
Naunga mkono hoja, service road ni upuuzi mtupu na kuongeza foleni maana wanaojifanya wana haraka ndiyo wanakwenda kujichomeka na kusababisha foleni.
Service road ni wings road! Hizi ni barabarani zinazolisha barabara kuu!

Huwezi kutoka au kuingia barabara kuu pasipo kuhitaji access road (service road)
Pia hutumika kwa dharula endapo kuna shida barabara kuu!
Gharama zake ni ndogo ukiringanisha kama zingejengwa barabara kuu
 
Service road ni wings road! Hizi ni barabarani zinazolisha barabara kuu!

Huwezi kutoka au kuingia barabara kuu pasipo kuhitaji access road (service road)
Pia hutumika kwa dharula endapo kuna shida barabara kuu!
Gharama zake ni ndogo ukiringanisha kama zingejengwa barabara kuu

Mbona barabara ya mbezi kimara haiko na service road na imejengeka vizuri na mtu unaweza ingia njia kuu.
 
Alafu sasa inayotolewa na inayowekwa ya mwanzo iko vzr zaid kuliko ht hii
 
Sioni tija yoyote ya matengenezo yanayoendelea barabara ya bagamoyo (Mbezi hadi Tegeta) kufanyika sasa.

Kinachofanyika sasa nakifananisha na uharibifu au fursa ya upigaji!

Kwanza hakuna mpango kazi mzuri kwasababu wanakwangua barabara na kuiacha barabara katika hali mbaya zaidi kwa mda mrefu pasipo kufanya matengenezo.

Pili matengenezo kama hayo ya kukwangua barabara kama yanazidi 1km ni bora wangefumua barabara nzima kuliko kujaza vilaka ambavyo havina msaada!

Nilitegemea katika kipindi hiki cha mpito ambacho nchi inakumbwa na majanga mbalimbali tungejikita kufanya miradi mhimu ya kimkakati kuliko kuja kumwaga pesa sehemu kama ile ambayo hata ingeweza kusubiri kwanza majanga yapungue na pesa tukazielekeza sehemu za lazima.

Bajeti ya kubadilisha lami iliyokuwepo ili kuweka lami mpya si tu ni matumizi mabaya ya rasilimali Bali pia ni matumizi mabaya ya taaluma ya uhandisi!

Tatizo la lami kuwa na mabonde huwezi kulimaliza kwa kubadilisha lami juu juu nakuacha kushughulikia msingi mzima wa barabara kuanzia chini (road base)

Ikumbukwe sehemu ya juu ya lami huwa haibebi mzigo Bali hurahisisha mseleleko, hivyo kama lami mpya itawekwa mahala ambako chini kuna unyevu au hapakushindiliwa vizuri inamaana hata ukiweka mpya itabonyea vilevile!

Kwahiyo kuweka lami au overlaying yoyote kwenye barabara hiyo ni bora zaidi kuiacha ilivyokuwa na pesa zake zikaelekezwa sehemu nyingine korofi zenye mahitaji ya lazima!

Kama kulikuwa na ulazima sana kutumika katika barabara hiyo ni Mara mia wangetanua barabara za pembeni (service road) pale mbuyuni na tegeta

Lakini kwa hiki kinachoendelea kwenye hii barabara kuanzia mbezi hadi tegeta hakina tija kufanyika kwa sasa hususani kipindi ambacho kunatarajiwa kutafanyika tena jenzi/upanuzi wa barabara ya magari ya mwendo kasi katika awamu ijayo!

Kuna haja kubwa sana Tanroad wakajitafakari kwenye barabara hii!
Hii miradi 'INALIPA'
 
Service road ni wings road! Hizi ni barabarani zinazolisha barabara kuu!

Huwezi kutoka au kuingia barabara kuu pasipo kuhitaji access road (service road)
Pia hutumika kwa dharula endapo kuna shida barabara kuu!
Gharama zake ni ndogo ukiringanisha kama zingejengwa barabara kuu
Hizo 'wings roads' zinahitajika Dar tu mbona miji mengine mikubwa hakuna?
 
Mbona barabara ya mbezi kimara haiko na service road na imejengeka vizuri na mtu unaweza ingia njia kuu.
Nashangaa na haya majibu ya mwaka 47! Service roads ni mambo yaliyopitwa na wakati.

Access roads kuwezesha kuingia barabara kuu ni kitu kingine kabisa kwa maoni yangu.
 
Nashangaa na haya majibu ya mwaka 47! Service roads ni mambo yaliyopitwa na wakati.

Access roads kuwezesha kuingia barabara kuu ni kitu kingine kabisa kwa maoni yangu.

Maana ile service road inaweza kua njia ya 3 ukiweka kila upande.. 2 way inakua three way ambayo ni highway ya kisasa zaidi
 
Back
Top Bottom