Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 15,335
- 29,114
Na hii nasema ni ukweli wa dhati kabisa, mnyonge mnyongeni lakini haki yake msimyime.
Kwa binti mnenguaji huyu, lile vazi ni kazi ya sanaa na ubunifu kwa ajili ya jukwaa.
Kwanza ni vazi lililofunika mwili mzima kwa mtindo wa kubana, yaani sio la kuvua bali kumenya kama ngozi vile au ganda la mwili.
Ni wazi BASATA wamekurupuka, au labda kama kuna sababu zaidi ya hilo vazi, pengine wamekuwa wakimuwinda siku nyingi sasa ni kama kaingia kumi na nane!
Lakini pia, hata kama hilo ni kosa kwa mujibu wa taratibu zao bado adhabu ya MIEZI 6 kwa WASAFI TV haielezeki kwa hali ya kawaida. Labda kama nao tumewapania siku nyingi!
Call a spade a spade, BASATA hamjachelewa rejeeni upya hukumu yenu... na nyie ni binadamu hivyo 'mlipitiwa' hamkuona vizuri tutawaelewa.
Hakuna UTUPU pale, au nasema uongo ndugu zangu?
Kwa binti mnenguaji huyu, lile vazi ni kazi ya sanaa na ubunifu kwa ajili ya jukwaa.
Kwanza ni vazi lililofunika mwili mzima kwa mtindo wa kubana, yaani sio la kuvua bali kumenya kama ngozi vile au ganda la mwili.
Ni wazi BASATA wamekurupuka, au labda kama kuna sababu zaidi ya hilo vazi, pengine wamekuwa wakimuwinda siku nyingi sasa ni kama kaingia kumi na nane!
Lakini pia, hata kama hilo ni kosa kwa mujibu wa taratibu zao bado adhabu ya MIEZI 6 kwa WASAFI TV haielezeki kwa hali ya kawaida. Labda kama nao tumewapania siku nyingi!
Call a spade a spade, BASATA hamjachelewa rejeeni upya hukumu yenu... na nyie ni binadamu hivyo 'mlipitiwa' hamkuona vizuri tutawaelewa.
Hakuna UTUPU pale, au nasema uongo ndugu zangu?