Sioni 'utupu' wa Gigy Money, mamlaka zimehuhukumu kwa mihemko na kukurupuka

Sioni 'utupu' wa Gigy Money, mamlaka zimehuhukumu kwa mihemko na kukurupuka

elimu elimu elimu!
Anayekutwa akifirwa kwanini anashtakiwa wakatyi mwili ni wake?
Anayekjaribu kujinyonga anashtakiwa kwanini wakati roho na mwili ni vyake?
Huko kwenu Sumbawanga mnahitaji elimu sana asee
Kwamba sumbawangaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaani wewe kamtu kamoja tu unajiona ndio unajua kuliko hivyo vyombo vya serikali vyenye watu wenye ujuzi anuai.Ingekuwa wewe ndio muvi sana basi kusingekuwa hata na haja ya kuunda basata

Inahitaji uwe na akili timamu kuelewa hili.
 
Sijui hapo ulimaanisha Nini msomi wetu,najua simatifoni hiyo imeteleza kwenye kidole,sijaelewa kabisa[emoji2][emoji2][emoji2]
Typing error lol, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Afu nilkua na mawenge muda huyo mweeeeh.
 
Kwani adhabu za BASATA hakuna kukata rufaa? Anyway kiuchumi kuna mapungufu kwenye adhabu
 
Back
Top Bottom