Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amedhalilisha watanzaia kwa ujumla.Amekudhalilishaje, na wewe unao uchi kama huo?
Mimi hajanidharirisha.Amedhalilisha watanzaia kwa ujumla.
ile nguo imechora mwanzo wapussy yake mpaka mwisho
ndege wafananao hruka pamoja.Mimi hajanidharirisha.
Vai la kawaida wakati kachora K (kifanyio) mahali pake na matiti sehemu,just imagine uko na wazee mnaangalia tv mara gigy money huyu hapa halafu anapanua mapaja hivyo,hebu tathimini hali ua taharuki itayotokea mbele ya wazee,acheni kutetea mambo ya ajabuBASATA na TCRA wamezingua sana ,Enzi Giggy anatoka alikuwa anapewa promo sana na EATV FNL alikuwa anavaa hovyo balaaa sijui enzi hizo walikuwepo wapi? Vazi la giggy ni la kawaida sana au hawajaona shilole alivyoonyesha hotel ya mtoto stejini?
Hujiulizi kwa nini TBC inakataa matangazo mbashara! Kuepuka kurusha maudhui kibudu! Media unapoamua kurusha 'live' inabidi ujipange kukata matangazo unayohisi ni kibudu, vinginevyo jiandae kwa makubwa! Kwa audience iliyokuwepo ukumbini 18+ haikuwa shida! Shida ni pale wasafi tv walivyoamua kuturushia live na sisi nyumbani na familia zetu nzima zenye vibinti na vivulana vya chekechea na msingi ghafla bin vuu! Kwa hiyo kosa ni la mrusha matangazo na siyo huyo mlimbwende Gig!Kabisa mkuu, eti media inapaswa hadi kusimamia "dancing posture" za wanenguaji... tena kwenye LIVE event!!!
Be careful, tunakucheki tu!Hawa wa kuitwa BASATA ni mandezi mandezi flani tu. Yaani ni magoloko flani wameingia town wakapewa hiki kibarua, sasa wanatuletea michongo ya kijijini walikotoka. Nyau tu hawa
Kwangu, unasemaje sasa!"haikuwa" na staha kwa nani?
Ndio, utupu feki ndio kosa lake sasa, unasemaje! Hatutaki vitu feki kutusisimua! Hivi huyu wazazi wake wamesusa eeh!?We hujawahi kukaa uchi!
Come to your senses, hoja ni kwamba Gigi hakuwa uchi... kahukumiwa kwa kosa la utupu ambapo sio kweli.
Be careful, tunakucheki tu!
WalaaaKiki
Mimi sijadhalilishwa. Anao uchi wake na mimi ninao wanguAmedhalilisha watanzaia kwa ujumla.
ile nguo imechora mwanzo wapussy yake mpaka mwisho
Mpo gari moja, mna sehemu ambazo si za siri tena maana mmewaonyesha waTanzania 50 milion na wakenya pia.Mimi sijadhalilishwa. Anao uchi wake na mimi ninao wangu