Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Kwani ni nyuchi ngapi umeona kwa umri huo ulionao. Ni kiungo tumeumbwa nacho..Mpo gari moja, mna sehemu ambazo si za siri tena maana mmewaonyesha waTanzania 50 milion na wakenya pia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani ni nyuchi ngapi umeona kwa umri huo ulionao. Ni kiungo tumeumbwa nacho..Mpo gari moja, mna sehemu ambazo si za siri tena maana mmewaonyesha waTanzania 50 milion na wakenya pia.
Na mimi nahitaji kuona manake sijui kinachoendeleaMwenye video anisaidie niweze kuelewa huu uzi.
Nasema una lack of exposure!Kwangu, unasemaje sasa!
DuhHata uchezaji wake haikuwa na staha hata kidogo!
Wacha wajifunze !
Wewe insta uliahawahi kuangalia live na wazee wako?,tv ilikua live na watu wa marika yote walikua wanaangalia,hivyo kitu angeionyesha insta live hakuna mtu angehangaika nayeYani ukiingia huko Instar watu wanafanya mambo ya ajabu na hakuna anayewafuatilia,sasa ukisikiliza hizi story za sijui Basata unaona miyayusho kweli.
Nafikiri point ni maadili,sasa huku instar yanayoendelea yanaangaliwa na rika zote wakati wote hata hiyo video ya hiyo show ya Gigy ipo.Wewe insta uliahawahi kuangalia live na wazee wako?,tv ilikua live na watu wa marika yote walikua wanaangalia,hivyo kitu angeionyesha insta live hakuna mtu angehangaika naye
mjomba wa shetni, kizazi cha nyoka,Kwani ni nyuchi ngapi umeona kwa umri huo ulionao. Ni kiungo tumeumbwa nacho..
Sawamjomba wa shetni, kizazi cha nyoka,
Mkuu mambo sio mepesi kama unavyojaribu kujustify hapa.
Kama ni kweli Wasafi Media wameonewa, kwa nini wasifungue jalada kupinga uamuzi?
Ukiona hawafile, jua wanahatia.
The rest ni soga tu.
Hahaaah! Uwe na mwaka mpya mwema wa 2021!Nasema una lack of exposure!
Kwanini 'utupu' ni kwa wanawake pekee?
mimi nimeona kitu kama nywele za uke, na makalio huku mwanaume akimchezea makalio,
Hii haikubaliki ametudhalilisha sana,