Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,394
- 59,069
Shangaa na wewe ndugu yanguBASATA na TCRA wamezingua sana ,Enzi Giggy anatoka alikuwa anapewa promo sana na EATV FNL alikuwa anavaa hovyo balaaa sijui enzi hizo walikuwepo wapi? Vazi la giggy ni la kawaida sana au hawajaona shilole alivyoonyesha hotel ya mtoto stejini?