Kanali_
JF-Expert Member
- Nov 18, 2018
- 6,438
- 10,180
Kwasababu za kimaumbile.Kwanini 'utupu' ni kwa wanawake pekee?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwasababu za kimaumbile.Kwanini 'utupu' ni kwa wanawake pekee?
Kwa hili acha wawafungie wamezidi.Wanawake siku hizi Ni Kama ndo wametambua kwamba K na makalio ni sawa na dhahabu.Kila jambo wanaonesha hivyo vitu kama vile akivihifadhi vitapotea.Mitano Tena.Hata uchezaji wake haikuwa na staha hata kidogo!
Wacha wajifunze !
Video zote za Harmonize yupo kifua wazi..anatunyegesha tu kila siku na basata hawalioni hiloMusculine society it is!
Ni kwamba waliona kama vile kavaa nguo transparent vuzi linaonekana ,[emoji3][emoji3]Hakuna kitu hapo Mzee, ni mchoro tu kwa ustadi mkubwa... kwa haraka haraka ndiyo maana hata TCRA walipigwa tobo at first sight!
Baada ya kuitazama mara mbili nafikiri hata wao sasa wanajicheka sana.[emoji16][emoji16]
Kwenye hiyo picha ninaona papuchi, matiti, chuchu na msambwanda. Sasa utasemaje eti ni nguo? thanks
Mfano angekuwa kavaa Nicky Minaj na show ikarushwa live kwenye vyombo vyetu hakuna ambae angelalamika.Hawa watu kurupu sana, vuzi la kuchora limewatoa ufahamu... hovyo kabisa yaani![emoji3][emoji3][emoji3]
Hatamimi kwa Mara yakwanza nilivyoona kwenye TV nilimuhukumu Gigy.Lakini nakiri hakukuwa na ubaya kwenye hili vazi lake,
Naamini Mamlaka husika itafikiria upya mana naamini nawao walikurupuka kama Mimi siku yakwanza nilipoona ile video.
Unamaanisha Elias Maguli wa Platinum fc? Watasema si MzalendoMaguli baba LAO
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unamaanisha Elias Maguli wa Platinum fc? Watasema si Mzalendo
Hiyo ni nguo bwashee, vyote hivyo ulivyotaja ni michoro tu... msambwanda YES lakini upo nguoni hakuna utupu hapo.
Itazame picha kwa makini.[emoji3][emoji3]
Pelekeni malalamiko panapohusika ,huwezi kuwa na kosa halafu ukajitetea kwamba mbona Harmonize naye alifanya kosa Kama hili,huo siyo utetezi mbele ya sheria.Kwani harmonize anavyotuonyesha likifua lake limetuna anakuwa na nia gani? Unaelewa tunapata shida kiasi gani?
Vazi la giggy ni matata sana alipendeza.
Ukiwa na kosa huwezi leta utetezi wa mbona fulan naye alifanya hivi! Unapigwa adhabu tu,Kama una ushahidi wa Harmonize peleka kwenye mamlaka husika wadeal naye.Kwani harmonize anavyotuonyesha likifua lake limetuna anakuwa na nia gani? Unaelewa tunapata shida kiasi gani?
Vazi la giggy ni matata sana alipendeza.
Ni double standard hiyo. Watapita hapa wataona malalamiko. Mambo mengi sana kwenye TV hayana maadili. Juzi kati hapa naangalia movie sijui ni Azam one au two sikumbuki vizuri. Jamaa mashoga wanakulana denda muda mrefu kama 30s hivi wameonyesha bila kukata hicho kipande.Pelekeni malalamiko panapohusika ,huwezi kuwa na kosa halafu ukajitetea kwamba mbona Harmonize naye alifanya kosa Kama hili,huo siyo utetezi mbele ya sheria.
Ni kweli kuna uzembe na double standard kwa makusudi ama bahati mbaya lakini pale ambapo mtu amejikwaa akiadhibiwa tuangalie vitu vitatu,kabla ya kutetea.Moja,je Kuna kosa limetendeka? Pili,je aliyetenda alidhamiria?Na aliyepewa adhabu ndo aliyetenda kosa? .Pamoja na hayo pia kwani nia njema tuendelee kuwaambia wahusika kwamba Kuna mengine mnayaacha ili watende haki kwa kila yule.Ni double standard hiyo. Watapita hapa wataona malalamiko. Mambo mengi sana kwenye TV hayana maadili. Juzi kati hapa naangalia movie sijui ni Azam one au two sikumbuki vizuri. Jamaa mashoga wanakulana denda muda mrefu kama 30s hivi wameonyesha bila kukata hicho kipande.
Nyimbo nyingi za Diamond platnumz ni matusi tena yale ya kitandani kabisa na watoto wanavyoziimba sasa dah!
Binafsi sioni tatizo lolote mtu akae uchi kwa tv aimbe matusi wala sijali. Kinachonishangaza ni jinsi tunavyojifanya kusimamia maadili wakati hakuna lolote.