Sioni uzuri huo wa 'Sure Boy' ambao Wachambuzi wa Michezo leo mnamsifia nao. Wilson Oruma acha Unafiki na Kuichukia mno Simba SC

Sasa kama hawezi wewe inakukera nini?

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Nashangaa sana mtu anaposema kuwa kanoute aliweza kuwapoteza Bangala na Aucho. Ni wazi anaongea kimahaba na sio kitimu. Hao ni viungo wa yanga waliokuwa na kazi ya kiulinzi na pia kushambulia. Embu tuwekeeni namba ni clear chance zipi simba imetengeneza vs clear chance walizotengeneza yanga. Kutopatikana goli hakumanishi ni kuzidiwa kwa viungo bal inawezekana ni tatizo la kukosa umakini kwa wamaliziaji.
 
We endelea tu kumwelimisha mwendawazimu nawe utageuka kuwa mwendawazimu. Huo ni ushauri nimekupa
 
Leo nimekuunga mkono.
 
Kwani wewe kinakuuma nini,kama garasa si Yanga ndo wamelamba.
 
Wachambuz uchwara utawaweza sasa wamejaa unafiki tu nakujitoa ufahamu Kama mazezeta, sure boy akishindwa kucheza watasema unajua amekuta kuna wachezaj wazur yanga blaaa blaaa
 
Sure boy ni kama mzamiru pale simba akicheza unaona kama kapotea hivi au haonekani ila show yake sio ndogo pale kati,

Hao wanaitwa unsung hero.
 
Sasa utamlinganisha sureboy na Kanoute[emoji16]
Unajua tofauti ya kiungo mchezeshaji/mshambuliaji ( attacking Midfielder)
Na;

Kiungo mkabaji ( Defensive Midfielder)?

Kanoute anacheza namba 6 au 8( kama box- box midfielder).

Salum Abubakar "Sureboy" anacheza namba 10.

Jukumu la sure boy ni kutengeneza nafasi za magoli wakati jukumu la kanouté ni kuzuia.

Umeona tofauti? Usiwe mbuzi [emoji28]
 
Akili haunazo na sizani ata kama umeshawahi kugusa mpira

Hakuna namba inayoitwa Box to box kila mchezaji ana namba uwanjani usilete mbwe za kishoga za kina ambangile
 
Akili haunazo na sizani ata kama umeshawahi kugusa mpira

Hakuna namba inayoitwa Box to box kila mchezaji ana namba uwanjani usilete mbwe za kishoga za kina ambangile
Ungekuwa unajua soka wala usingeamua kuja na hayo matusi mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…