Sioni Yanga akimfunga SSC Jumamosi

Sioni Yanga akimfunga SSC Jumamosi

Nafikiri, hujamuelewa mtoa mada, hivi beki ya Namungo utalinganisha na ukuta wa Berkene, Orlando na asec mimosas. Hakuna timu hapa tz aliyoikamia Yanga. Anachosema ni kweli, bila Yanga kusukwa vizuri. October inatolewa preliminary stage. Simba ameshindwa kushinda kila mahali kwa sababu ya majukumu ya kimataifa. Hivyo kwenye ukomavu Yanga bado sana. Kila timu inaikamia simba maana kuifunga simba ni sawa na kuchukua kombe.

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app

Nafikiri, hujamuelewa mtoa mada, hivi beki ya Namungo utalinganisha na ukuta wa Berkene, Orlando na asec mimosas. Hakuna timu hapa tz aliyoikamia Yanga. Anachosema ni kweli, bila Yanga kusukwa vizuri. October inatolewa preliminary stage. Simba ameshindwa kushinda kila mahali kwa sababu ya majukumu ya kimataifa. Hivyo kwenye ukomavu Yanga bado sana. Kila timu inaikamia simba maana kuifunga simba ni sawa na kuchukua kombe.

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app

Mwaka jana Simba ilichukua FA na ligi kuu hakuwa na majukumu ya kimataifa?

Kipimo cha kukamiwa unakipimaje? Kwasababu kama unatumia kipimo cha kukamiwa kwa matokeo ya kufungwa basi utakuwa unakosea kwasababu timu inaweza kukamiwa lakini ikaweza ku win mechi.

Yanga anaweza kutolewa preliminary stage sio kwasababu ya kuwa na kikosi bora bali kwa kushindwa kujipanga ipasavyo kwenye mbinu za ushindi hasa unapokuwa nyumbani.

Simba ingekuwa na kikosi bora kama unavyosema basi tusingeona nyzi kibao za kufukuza wachezaji zaidi ya nusu kikosi.
 
Tested tested tested ... Misimu yote hiyo hamkucheza huko CAF? Au mmeanza msimu huu? Hamkufika Robo?
... Na bado mkicheza na kina Sarpong, Nchimbi, Kipenseli n.k hampati points 3.

Test ya Shirikisho ndiyo bora zaidi kuliko ya Champions league au?

Au test ya saa hii ni bora sana?

Kwanini mliishia kwenye Preliminary Stage , ni kwasababu mlikosa Compétence na skills . Kubali SSC inawazidi kwa ubora katika anga za international. Ligi ya ndani sio kipimo chako bora kubali
 
Simba imekua Tested kimataifa Kwa miaka mingi na ndio timu iliyofungwa na Yanga Kwa miaka mingi. Simba Ata ingekua imebeba kombe la klabu bingwa lakini kupigwa na Yanga ni jambo la kawaida.

Hii Historia yako itakuwa ulejifunza kwa Ole Langai Manara. Mmasai Mfupi
 
Kuna mwenzio alizitaja timu nne ambazo alidai Yanga hatatoboa... Tatu katika hizo zote kawanyoosha... Moja huyo atakayekutana naye atanyooshwa tu

Tunatizama mpira. Ni ushindi wa bahati bahati
 
Hivi wewe kolo kwa kikosi hiki Cha Wazee ndo unachojinasibu..!!!
Hv nyie Makolo mliofungwa na Mtibwa, Mbeya city, kagera na kutoa madraw kibao na Timu za kipumbavu ambazo zote Yanga kashinda ndo mje muifunge Yanga..
30 April mtafumuliwa hapohapo mliposhonwa na Orlando

Tumebakiza siku ngapi ; nakushauri weka kiasi
 
Inabidi itungwe sheria kwamba kama wa kwanza na wa pili wanapichana point 10, basi nafasi ya pili isemwe haina mtu.. Huwezi kumzidi mwenzako point 10 afu uitwe wewe wa pili

Ni mapema sana Kwenye ligi
 
Assec, Al Ahl, mamelody, TP Mazembe, Wydad , Atletico wote hao wapo huko alipo kua Simba na kwenye ligi zao za ndani bado wamekaza hapo unasemaje?

Andika hapa nafasi zao kwenye msimamo wa ligi zao

Shida yenu wengi ni mamluki

Mamluki mtatoka
 
Hoja yako inakosa logic. Kama Simba alicheza hizo mechi na akakomaa kama unavyosema, tulitarajia afanye vizuri mechi za ndani na za nje kutokana na huo ukomavu. Hivi utawaambia watu kitu gani kwamba Simba kakomaa ila anashindwa kumfunga Mtibwa?
Au tuulize, iweje useme Yanga hajakomaa ila anaongoza ligi kwa margin ya points 13?. Kurahisisha zaidi, hebu eleza, huo ukomavu wa Simba katika muktadha wa ligi inayoongozwa na Yanga.
Utasemaje yanga ipo vizuri wakati imepigwa hom and away na Rivers united.
 
Na kwa bahati mbaya sana Mwamba wa Lusaka Dearby hii huwa hafurukuti kabisa...
 
Back
Top Bottom