Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Kwanini hiyo bahati wasiwenayo waliofungwa?Tunatizama mpira. Ni ushindi wa bahati bahati
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini hiyo bahati wasiwenayo waliofungwa?Tunatizama mpira. Ni ushindi wa bahati bahati
umemuota mchana au usiku ammi 😂 😂Huyu hana uwezo. Wakati AS VITA inakula goli 4 pale Lupaso huyu nae alikuwepo
Na hakuwa na madhara na hana madhara ni ushamba wenu
Kacheze na Pamba, Dar city ndio level zakoMlishindwa kuifunga Somalia ndio mje kuifunga SSC ? are you mad kama yule mgonjwa wa akili manara ?
Kwahyo hapa tunajadili nini mzee?Kwanini mliishia kwenye Preliminary Stage , ni kwasababu mlikosa Compétence na skills . Kubali SSC inawazidi kwa ubora katika anga za international. Ligi ya ndani sio kipimo chako bora kubali
Simba aliishia wapi CCL??Kwanini mliishia kwenye Preliminary Stage , ni kwasababu mlikosa Compétence na skills . Kubali SSC inawazidi kwa ubora katika anga za international. Ligi ya ndani sio kipimo chako bora kubali
Janjajanja za GSM ndizo zinazofanya Yanga aongoze ligi ya nbc ambayo anadhamini baadhi ya vilabu ktk ligi hiyo na wala siyo ubora wa timu. Ukitaka kuthibitisha hilo angalia mechi ambazo GSM anajisahau kuingiza mkono jinsi Yanga inavyoangaika kupata matokeo.Hoja yako inakosa logic. Kama Simba alicheza hizo mechi na akakomaa kama unavyosema, tulitarajia afanye vizuri mechi za ndani na za nje kutokana na huo ukomavu. Hivi utawaambia watu kitu gani kwamba Simba kakomaa ila anashindwa kumfunga Mtibwa?
Au tuulize, iweje useme Yanga hajakomaa ila anaongoza ligi kwa margin ya points 13?. Kurahisisha zaidi, hebu eleza, huo ukomavu wa Simba katika muktadha wa ligi inayoongozwa na Yanga.
Bila kuchagua aina ya mashindano takwimu ziko hivi;Misimu Miwili Mfululizo Wamecheza Izo Mechi Zao Za Ukomavu Na Hawajawahi Kuchukua Point 3 Mbele Ya Timu Isiyokuwa Na Ukomavu Kudadek.[emoji23]
Nenda KalaleNaendelea kusema kuwa ni makosa kujiaminisha kuwa Yanga anakikosi bora, pamoja na kuongoza ligi na uwezekano mkubwa wa kuchukua kombe bado hatuwezi kusema Yanga ni bora. Yanga bado haijawa TESTED.
Ili uwe bora ni lazima upitishwe kwenye matanuru ya moto yatakayoenda kutoa vya ndani na kuvileta nje na vya nje kuingizwa ndani.
Hii ni pamoja na kucheza na timu kubwa za nje ya nchi kwenye michuano mikubwa kama anayopitia SSC.
SSC inapitia changamoto kubwa na inaweza kuona madhaifu yao. Alisikika Pablo akisema we need a project to have a quality team .
Changamoto anayokutana nayo Yanga ni Namungo , Geita n.k. Timu ambazo beki zake na Safu ya ushambuliaji ni below average. Yanga anatakiwa kukutana na mtu kama Asec, Berkane, Orlando ili tuone huo ubora wao halisi. Tuone Mayele akitetema ndani ya hizo beki.
Mtihani mkuu wa Yanga ilikuwa ni kucheza na Somalia , na walitoka suluhu, nasema tena Yanga haijawa tested bado
Kwa sasa Yanga itaenda Champion Ligi kuna uwezekano mkubwa ikatoka kwenye Preliminary stages. Sio Mbali ni Octoba tu mtakuja na majibu.
Jumamosi kuna nafasi kubwa SSC akashinda hiyo mechi kwa ubora wa SSC kibongo bongo Yanga bado sana. Kama timu yako inachukua kombe na kuishia stage za awali, huwezi kusema unakikosi bora.
SSC itashinda Jumamosi na Mayele atandelea kuota namna bora ya kutimiza deni fake lake.
Kigomaaaaa ! Ee kigomaaaaa we!Sasa ubora wenu mara ya mwisho simba kupata ushindi mbele ya yanga unakumbuka ni lini? Wewe wivu na kiroho cha korosho ndo kinachokusumbua, iyo taste anayoipata simba kwenye mechi za kimataifa mbona uwa atuioni inapokutana na yanga? Au ni mara ya kwanza kukutana simba ikiwa inashiriki michezo ya kimataifa?
Umesahau ngao ya hisaniJanjajanja za GSM ndizo zinazofanya Yanga aongoze ligi ya nbc ambayo anadhamini baadhi ya vilabu ktk ligi hiyo na wala siyo ubora wa timu. Ukitaka kuthibitisha hilo angalia mechi ambazo GSM anajisahau kuingiza mkono jinsi Yanga inavyoangaika kupata matokeo.
1. Klabu bingwa , Yanga alipigwa nje ndani na River
2.Wiki ya mwananchi , kapumbu 1, Yanga 0
3.Mapinduzi cup kilichotokea mnajua wenyewe
4. Mechi na geita gold , uto aliokolewa na refa.
Kwahiyo Yanga ni timu ya kawaida Sana kama ilivyo namungo na ihefu.
Wachawi FcJanjajanja za GSM ndizo zinazofanya Yanga aongoze ligi ya nbc ambayo anadhamini baadhi ya vilabu ktk ligi hiyo na wala siyo ubora wa timu. Ukitaka kuthibitisha hilo angalia mechi ambazo GSM anajisahau kuingiza mkono jinsi Yanga inavyoangaika kupata matokeo.
1. Klabu bingwa , Yanga alipigwa nje ndani na River
2.Wiki ya mwananchi , kapumbu 1, Yanga 0
3.Mapinduzi cup kilichotokea mnajua wenyewe
4. Mechi na geita gold , uto aliokolewa na refa.
Kwahiyo Yanga ni timu ya kawaida Sana kama ilivyo namungo na ihefu.