😀 niuzie hiki mkuuMi nauza "CHETI CHA NDOA" (Promotion 20% Off).
Kwani anauza ujuzi?Duh[emoji848] , I feel sorry for you! Elimu umeipigania miaka yote hiyo ... usikate tamaa hadi kufikia kuuza vyeti ipo siku utakua on target and not off target mkuu! Let's keep hustling !
Mostly mfumo wetu wa ajira unaenda na ujuzi na vyeti, huwezi sema una ujuzi na kitu fulani afu cheti huna! Hivo avitunze tu huwa vinaenda sambambaKwani anauza ujuzi?
Hee umepatwa na nini Bushmamy hadi kufikia kutugawia mume buree😛Anaetaka Mume ntampa wa kwangu bureeee, staki hata mia.
Stanii mimi
Yeuwii mbona unatutisha tunaowish kuingia huko jamani 🤔Nataka wenye kutaka ndoa wajaribu bahati yao na wao waone kama yaliyomo yamo.
Wengine tumechoka
Yeuwii mbona unatutisha tunaowish kuingia huko jamani [emoji848]
Ni kweli mkuu!ila sometimes inabidi kuzingatia kidogo why kila mtu atake kutoka wakati huku nje tukiwish kuingia kuna nini? 🙄Usi ogope mama kila mtu na bahati yake
Mikoani unatuma?Kichwa cha uzi chahusika, Kwa wale wenye uhitaji wa vyeti mimi ninavyo.
Nitakuuzia vyeti vyote kuanzia sekondar mpaka chuo ili visikusumbue kwenye matumizi yako.
Sifa ya vyeti,
O-level kina masomo 10 hakina F
A-level matatu (comb CBA) hakina F zaidi ya Bam
Degree ya Sua na Post graduate diploma in Education chuo St. John.
Bei ya vyeti vyote ni tsh 18,000,000
Tutawasiliana Pm mpaka tuonane nikukabidh mzigo nawe unipe hiyo pesa.
Hii ni baada ya kuona naenda off target na mahitaji ya serikali yangu kwa soko la ajira.
Kwa sasa napatikana Rufiji njoo tufanye biashara.
Kichwa cha uzi chahusika, Kwa wale wenye uhitaji wa vyeti mimi ninavyo.
Nitakuuzia vyeti vyote kuanzia sekondar mpaka chuo ili visikusumbue kwenye matumizi yako.
Sifa ya vyeti,
O-level kina masomo 10 hakina F
A-level matatu (comb CBA) hakina F zaidi ya Bam
Degree ya Sua na Post graduate diploma in Education chuo St. John.
Bei ya vyeti vyote ni tsh 18,000,000
Tutawasiliana Pm mpaka tuonane nikukabidh mzigo nawe unipe hiyo pesa.
Hii ni baada ya kuona naenda off target na mahitaji ya serikali yangu kwa soko la ajira.
Kwa sasa napatikana Rufiji njoo tufanye biashara.