Sipati ajira, sioni faida ya elimu yangu, naona bora kuuza vyeti

Sipati ajira, sioni faida ya elimu yangu, naona bora kuuza vyeti

Kichwa cha uzi chahusika, Kwa wale wenye uhitaji wa vyeti mimi ninavyo.
Nitakuuzia vyeti vyote kuanzia sekondar mpaka chuo ili visikusumbue kwenye matumizi yako.

Sifa ya vyeti,
O-level kina masomo 10 hakina F
A-level matatu (comb CBA) hakina F zaidi ya Bam
Degree ya Sua na Post graduate diploma in Education chuo St. John.

Bei ya vyeti vyote ni tsh 18,000,000
Tutawasiliana Pm mpaka tuonane nikukabidh mzigo nawe unipe hiyo pesa.
Hii ni baada ya kuona naenda off target na mahitaji ya serikali yangu kwa soko la ajira.
Kwa sasa napatikana Rufiji njoo tufanye biashara.
Ulisomea nini?
 
Mtauziana kwa maandishi??
Mtaenda kwa wakili?


Tunza vyeti vyako mkuu hakuna mtu atanunua cheti cha mtu kwa miaka hii ya digital
 
Tena nakupa mume kwanza ukihitaji na cheti baadaye nakupa bure
Haahaa...hata simtaki, wangu mwenyewe pasua kichwa

Ila ukiona hadi mwanamke kaachia mume, ujue huyo mwanaume ni hafai hafai, nawe demu utakayeokota hilo galasa utakuwa mfano wa taifa, hamna kitu kabisa[emoji16][emoji16]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom