Blackcornshman
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 6,514
- 15,701
Mambo ya kununua vyeti ni ya ushamba wa kizamani,siku hizi tunanunua koneksheni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawake wengi wanauwa Waume zao kwa siri sana! Ndiyo maana kuna Wajane wengi kuliko Wagane!!Nimuue kwasababu gani? Unadhani mie mchaga..labda aniue yeye[emoji28]
Kufa kufaana 😂😂😂Mi nauza "CHETI CHA NDOA" (Promotion 20% Off).
Ni kweli mkuu!ila sometimes inabidi kuzingatia kidogo why kila mtu atake kutoka wakati huku nje tukiwish kuingia kuna nini? [emoji849]
Sijawah hata fikiria..kwa kipi haswa nimuue??Wanawake wengi wanauwa Waume zao kwa siri sana! Ndiyo maana kuna Wajane wengi kuliko Wagane!!
❤❤❤❣❣❣❣Tatizo mnachagua cha kufanya
Hahaha unataka ukipeleke wapi?😅😀 niuzie hiki mkuu
Wow hongera mkuu! Siku nikiwa huko nataka kuenjoy kama nyie! Maana daily tunaskia malalamiko hadi yanakatisha tamaaSio wote mkuu wengine tunafurahia
Nasikitika ulisoma upate A na usipate FKichwa cha uzi chahusika, Kwa wale wenye uhitaji wa vyeti mimi ninavyo.
Nitakuuzia vyeti vyote kuanzia sekondar mpaka chuo ili visikusumbue kwenye matumizi yako.
Sifa ya vyeti,
O-level kina masomo 10 hakina F
A-level matatu (comb CBA) hakina F zaidi ya Bam
Degree ya Sua na Post graduate diploma in Education Teaching, chuo St. John.
Bei ya vyeti vyote ni tsh 18,000,000
Tutawasiliana Pm mpaka tuonane nikukabidh mzigo nawe unipe hiyo pesa.
Hii ni baada ya kuona naenda off target na mahitaji ya serikali yangu kwa soko la ajira.
Kwa sasa napatikana Rufiji njoo tufanye biashara.
😀😀🏃♀️Hahaha unataka ukipeleke wapi?😅
Pole ndio maisha...Yeuwii mbona unatutisha tunaowish kuingia huko jamani 🤔
Mkuu!!Duh🤔 , I feel sorry for you! Elimu umeipigania miaka yote hiyo ... usikate tamaa hadi kufikia kuuza vyeti ipo siku utakua on target and not off target mkuu! Let's keep hustling !
Yes mkuu! MamboMkuu!!
Kweli kabisa 😬Pole ndio maisha...
Mimi na wewe tukioana TUTAFIT SANAA.
#YNWA
Sanchez naoa; nahitaji bahasha yako ya kakiYes mkuu! Mambo