Sipati ajira, sioni faida ya elimu yangu, naona bora kuuza vyeti

Sipati ajira, sioni faida ya elimu yangu, naona bora kuuza vyeti

Kichwa cha uzi chahusika, Kwa wale wenye uhitaji wa vyeti mimi ninavyo.
Nitakuuzia vyeti vyote kuanzia sekondar mpaka chuo ili visikusumbue kwenye matumizi yako.

Sifa ya vyeti,
O-level kina masomo 10 hakina F
A-level matatu (comb CBA) hakina F zaidi ya Bam
Degree ya Sua na Post graduate diploma in Education Teaching, chuo St. John.

Bei ya vyeti vyote ni tsh 18,000,000
Tutawasiliana Pm mpaka tuonane nikukabidh mzigo nawe unipe hiyo pesa.
Hii ni baada ya kuona naenda off target na mahitaji ya serikali yangu kwa soko la ajira.
Kwa sasa napatikana Rufiji njoo tufanye biashara.
Vichome moto tu
 
Rufiji... Wandengereko mmeshindwa kweli kwenda kutafuta mtaji hapo stigler, ujenzi wa bwawa la umeme...

Huko ngorongo sijui mloka, matombo...
 
Kichwa cha uzi chahusika, Kwa wale wenye uhitaji wa vyeti mimi ninavyo.
Nitakuuzia vyeti vyote kuanzia sekondar mpaka chuo ili visikusumbue kwenye matumizi yako.

Sifa ya vyeti,
O-level kina masomo 10 hakina F
A-level matatu (comb CBA) hakina F zaidi ya Bam
Degree ya Sua na Post graduate diploma in Education Teaching, chuo St. John.

Bei ya vyeti vyote ni tsh 18,000,000
Tutawasiliana Pm mpaka tuonane nikukabidh mzigo nawe unipe hiyo pesa.
Hii ni baada ya kuona naenda off target na mahitaji ya serikali yangu kwa soko la ajira.
Kwa sasa napatikana Rufiji njoo tufanye biashara.
Dadeki,milioni 18,000,000/- Mimi nimetumia milioni tatu kupanda miti Mafinga,baada ya muda Napata hiyo pesa.Lazimamtimfufue magu aje.kutumvua jipu la wizi wa vyeti
 
Vijana mnakoendea mtauza hata jicho hapa jukwaani,muwe na uvumilivu mambo mazuri hayataki haraka.
 
Back
Top Bottom