Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wow hongera sana mkuuSanchez naoa; nahitaji bahasha yako ya kaki
Joanah amekubali kutulia nikaona isiwe shida acha nimpatie heshima ya ndoa.Wow hongera sana mkuu
Vichome moto tuKichwa cha uzi chahusika, Kwa wale wenye uhitaji wa vyeti mimi ninavyo.
Nitakuuzia vyeti vyote kuanzia sekondar mpaka chuo ili visikusumbue kwenye matumizi yako.
Sifa ya vyeti,
O-level kina masomo 10 hakina F
A-level matatu (comb CBA) hakina F zaidi ya Bam
Degree ya Sua na Post graduate diploma in Education Teaching, chuo St. John.
Bei ya vyeti vyote ni tsh 18,000,000
Tutawasiliana Pm mpaka tuonane nikukabidh mzigo nawe unipe hiyo pesa.
Hii ni baada ya kuona naenda off target na mahitaji ya serikali yangu kwa soko la ajira.
Kwa sasa napatikana Rufiji njoo tufanye biashara.
Kichwa Kichafu nagawa mke wangu bure kama upo tayari. Na wewe akikushinda mpeleke kwa ExtrovertAnaetaka Mume ntampa wa kwangu bureeee, staki hata mia.
Stanii mimi
😅😅😅😅😅 mnataka mniue wazeeKichwa Kichafu nagawa mke wangu bure kama upo tayari. Na wewe akikushinda mpeleke kwa Extrovert
Dadeki,milioni 18,000,000/- Mimi nimetumia milioni tatu kupanda miti Mafinga,baada ya muda Napata hiyo pesa.Lazimamtimfufue magu aje.kutumvua jipu la wizi wa vyetiKichwa cha uzi chahusika, Kwa wale wenye uhitaji wa vyeti mimi ninavyo.
Nitakuuzia vyeti vyote kuanzia sekondar mpaka chuo ili visikusumbue kwenye matumizi yako.
Sifa ya vyeti,
O-level kina masomo 10 hakina F
A-level matatu (comb CBA) hakina F zaidi ya Bam
Degree ya Sua na Post graduate diploma in Education Teaching, chuo St. John.
Bei ya vyeti vyote ni tsh 18,000,000
Tutawasiliana Pm mpaka tuonane nikukabidh mzigo nawe unipe hiyo pesa.
Hii ni baada ya kuona naenda off target na mahitaji ya serikali yangu kwa soko la ajira.
Kwa sasa napatikana Rufiji njoo tufanye biashara.
Mimi nasubiri nikupeleke Anhui kufunga mziko kuleta hapa vunja Bei kama DsmHee umepatwa na nini Bushmamy hadi kufikia kutugawia mume buree😛
Nimejaribu kukuelewa ulichokimaanisha hapa mkuu ila holaa, ila kama ni fursa fresh tu🤫Mimi nasubiri nikupeleke Anhui kufunga mziko kuleta hapa vunja Bei kama Dsm
No shortcut.Hustle first,mumeo au mkeo utakutana nae hukohuko moyo ulikouelekeza.Birds of the feather flock together.Nimejaribu kukuelewa ulichokimaanisha hapa mkuu ila holaa, ila kama ni fursa fresh tu🤫
Haaaaa Haaaaa 😂 mume wangu nisamehe jamani, ngoja nivumilie tulee hawa watotoKichwa Kichafu nagawa mke wangu bure kama upo tayari. Na wewe akikushinda mpeleke kwa Extrovert
Sawa mama yameisha ngoja nichane hii karatasi ya talakaHaaaaa Haaaaa 😂 mume wangu nisamehe jamani, ngoja nivumilie tulee hawa watoto