Sipati ajira, sioni faida ya elimu yangu, naona bora kuuza vyeti

Sipati ajira, sioni faida ya elimu yangu, naona bora kuuza vyeti

Daaaaaah.! Umejuaje aisee. We CIA nini??

For sure nimelamba asali katika halmashaur mashuhuri.

Mungu mwema sana.!

Asnt maana nilishaa usahau huu uzi kama nikiwahi uandikaga.!

Hongera,nenda kale rushwa sasa,usionee huruma mali ya umma,ila ukikamatwa na takukuru usianze kulialia[emoji23]
 
Kichwa cha uzi chahusika, Kwa wale wenye uhitaji wa vyeti mimi ninavyo.

Nitakuuzia vyeti vyote kuanzia sekondar mpaka chuo ili visikusumbue kwenye matumizi yako.

Sifa ya vyeti
O-level kina masomo 10 hakina F
A-level matatu (comb CBA) hakina F zaidi ya Bam
Degree ya Sua na Post graduate diploma in Education Teaching, chuo St. John.

Bei ya vyeti vyote ni tsh 18,000,000
Tutawasiliana Pm mpaka tuonane nikukabidh mzigo nawe unipe hiyo pesa.
Hii ni baada ya kuona naenda off target na mahitaji ya serikali yangu kwa soko la ajira.
Kwa sasa napatikana Rufiji njoo tufanye biashara.
naomba nikutie moyo, inawezekana haujapapata pa kuanzia tu. kuna siku mambo yatasettle. binafsi nilisoma, na nilikaa muda fulani nikitegemea ajira ya kuajiriwa. nilikuwa napata pesa ya mboga tu. ila siku nilipoamua kutumia ile elimu niliyoisoma kuibadilisha kuwa biashara ambayo mimi mwenyewe ndio Boss na final say, hata kama miaka kama 2 ilinikatisha tamaa nilipokuwa kukamata lami, nipo pazuri sana na utumwa ule wa kuajiriwa sitaki hata kuukumbuka. elimu yeyote unatakiwa usome sio ili uajiriwe, bali uitumie kwa manufaa yako nje kabisa ya ajira, hapo ndio utaona ina faida. ila kama utasubiria ajira, hata ukiajiriwa haitakusaidia vya kutosha.
 
Kwa vyovyote vile umesomea SUA kuwa mvumilivu . Zikitoka Ajira za ualimu omba walimu wa agriculture na biology. Ukipata Ajira njoo nikuunganishe unafanyiwa recategorization unakuwa afisa kilimo au mifugo or etc
Your love is real.! God bless you so that you can witness kindness of God in your life too according to your faith shown up.

Nimechaguliwa kwa qualification ya kwanza haina haja ya re-cate.
 
Kichwa cha uzi chahusika, Kwa wale wenye uhitaji wa vyeti mimi ninavyo.

Nitakuuzia vyeti vyote kuanzia sekondar mpaka chuo ili visikusumbue kwenye matumizi yako.

Sifa ya vyeti
O-level kina masomo 10 hakina F
A-level matatu (comb CBA) hakina F zaidi ya Bam
Degree ya Sua na Post graduate diploma in Education Teaching, chuo St. John.

Bei ya vyeti vyote ni tsh 18,000,000
Tutawasiliana Pm mpaka tuonane nikukabidh mzigo nawe unipe hiyo pesa.
Hii ni baada ya kuona naenda off target na mahitaji ya serikali yangu kwa soko la ajira.
Kwa sasa napatikana Rufiji njoo tufanye biashara.
Unapataje 'F' kwemye BAM mkuu??
 
ofcourse ukipata ajira, inatakiwa kuwa sehemu ya kuanzia tu ukiwa unajiandaa kutoka ujitegemee. yaani ni sehemu ya kupata pa kulia msosi wakati unafanya maandalizi ya kudumu nje ya ajira.
 
naomba nikutie moyo, inawezekana haujapapata pa kuanzia tu. kuna siku mambo yatasettle. binafsi nilisoma, na nilikaa muda fulani nikitegemea ajira ya kuajiriwa. nilikuwa napata pesa ya mboga tu. ila siku nilipoamua kutumia ile elimu niliyoisoma kuibadilisha kuwa biashara ambayo mimi mwenyewe ndio Boss na final say, hata kama miaka kama 2 ilinikatisha tamaa nilipokuwa kukamata lami, nipo pazuri sana na utumwa ule wa kuajiriwa sitaki hata kuukumbuka. elimu yeyote unatakiwa usome sio ili uajiriwe, bali uitumie kwa manufaa yako nje kabisa ya ajira, hapo ndio utaona ina faida. ila kama utasubiria ajira, hata ukiajiriwa haitakusaidia vya kutosha.
Asante, umeniongezea kitu.

Actually miaka 10+ niliyoitumia kupapasa mtaani imenifunza mengi.
Changamoto hasa ni back up hasa pale unapoyumba au demand ya bidhaa yako inakua kubwa kuliko supply, unapoteza wateja sn maana kila mteja akija unasema njoo kesho wakati huo anaenda kumzoea muuzaji mwingine.!
Natambua mshahara ni mdogo hautoshi kabisa, but i have right knowledge on how to multiply it.
 
Unapataje 'F' kwemye BAM mkuu??
Tulidanganyana class kwamba hiyo BAM hata upate A haina msaada wowote.

Ilipelekea BAM niitoe kwenye ratiba ya kujisomea kabisa.!!
 
Back
Top Bottom