Trinity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2017
- 1,828
- 3,508
- Thread starter
- #161
Daaaaaah.! Umejuaje aisee. We CIA nini??Hatiame umelamba asali hongera sana
For sure nimelamba asali katika halmashaur mashuhuri.
Mungu mwema sana.!
Asnt maana nilishaa usahau huu uzi kama niliwahi kuuandika.!
Ngoja nipitie comments za walokua wananipa matumaini na kejeli.!