Sipati ajira, sioni faida ya elimu yangu, naona bora kuuza vyeti

Sipati ajira, sioni faida ya elimu yangu, naona bora kuuza vyeti

Huenda unavyo tayari, ila kuna anae hitaji kwa ajili ya mtoto wake kwa mil 12 nimegoma.
Vyeti feki havina thamani serikalini miaka hii na huko private hawazingatii aina ya cheti wanaangalia ujuzi, uzoefu na nani kakupeleka. Hiyo m12 angeunga unga vyuo uchwara kama ana connection atapata ajira.
 
Kichwa cha uzi chahusika, Kwa wale wenye uhitaji wa vyeti mimi ninavyo.
Nitakuuzia vyeti vyote kuanzia sekondar mpaka chuo ili visikusumbue kwenye matumizi yako.

Sifa ya vyeti,
O-level kina masomo 10 hakina F
A-level matatu (comb CBA) hakina F zaidi ya Bam
Degree ya Sua na Post graduate diploma in Education Teaching, chuo St. John.

Bei ya vyeti vyote ni tsh 18,000,000
Tutawasiliana Pm mpaka tuonane nikukabidh mzigo nawe unipe hiyo pesa.
Hii ni baada ya kuona naenda off target na mahitaji ya serikali yangu kwa soko la ajira.
Kwa sasa napatikana Rufiji njoo tufanye biashara.
Kwani vyeti vyako vyenyewe vinasemaje??
 
Kichwa cha uzi chahusika, Kwa wale wenye uhitaji wa vyeti mimi ninavyo.
Nitakuuzia vyeti vyote kuanzia sekondar mpaka chuo ili visikusumbue kwenye matumizi yako.

Sifa ya vyeti,
O-level kina masomo 10 hakina F
A-level matatu (comb CBA) hakina F zaidi ya Bam
Degree ya Sua na Post graduate diploma in Education Teaching, chuo St. John.

Bei ya vyeti vyote ni tsh 18,000,000
Tutawasiliana Pm mpaka tuonane nikukabidh mzigo nawe unipe hiyo pesa.
Hii ni baada ya kuona naenda off target na mahitaji ya serikali yangu kwa soko la ajira.
Kwa sasa napatikana Rufiji njoo tufanye biashara.
Uko wapi?
Jinsi yako?
Nikupe bodaboda ya mkataba?
 
Uko wapi?
Jinsi yako?
Nikupe bodaboda ya mkataba?
Kwa sasa nipo Moro ila mwenyeji wa Rufiji,
Jinsi yangu ni me.
Asnt kwa kujari, naomba tuangalie biashar nyingine maana hii ya bodaboda ni changamoto kwa sasa haina wateja kwa mkoa niliopo kwa sababu wengi wanatumia bajaj zaid.
Nafikir kwa sababu ya uchumi kuwa mgumu na boda zipo nyingi mno tofauti na mwaka 2019 kurudi nyuma tulikua tunapata elfu 20 mpaka 30 kwa baadhi ya siku hasa weekend.
Ila kwa sasa wastan ni elfu 10 kwa siku saa nyingine mpaka elfu 6.
Naifahamu vzr hii kazi maana mpaka sasa naandik nipo juu ya bodaboda.
 
Kichwa cha uzi chahusika, Kwa wale wenye uhitaji wa vyeti mimi ninavyo.
Nitakuuzia vyeti vyote kuanzia sekondar mpaka chuo ili visikusumbue kwenye matumizi yako.

Sifa ya vyeti,
O-level kina masomo 10 hakina F
A-level matatu (comb CBA) hakina F zaidi ya Bam
Degree ya Sua na Post graduate diploma in Education Teaching, chuo St. John.

Bei ya vyeti vyote ni tsh 18,000,000
Tutawasiliana Pm mpaka tuonane nikukabidh mzigo nawe unipe hiyo pesa.
Hii ni baada ya kuona naenda off target na mahitaji ya serikali yangu kwa soko la ajira.
Kwa sasa napatikana Rufiji njoo tufanye biashara.
Mkuu mbona vyako unauza ghali sana...

Ukishindwana bei na mtu mlete kwangu.
Kama ni muongeaji vizuri hata kwa elf 97 nampa vyeti akajaribu bahati yake.

Vyeti ni Bachelor of Science in MATHEMATICS. Sikua na akili mimi so GPA ni 3.4
Form Six ni PCM, nimesema sikua na akili so division ni 3
Form Four ni three (Sikua na akili nimesema)
Nitakupa na cha darasa la saba kama bonus
 
Mkuu mbona vyako unauza ghali sana...

Ukishindwana bei na mtu mlete kwangu.
Kama ni muongeaji vizuri hata kwa elf 97 nampa vyeti akajaribu bahati yake.

Vyeti ni Bachelor of Science in MATHEMATICS. Sikua na akili mimi so GPA ni 3.4
Form Six ni PCM, nimesema sikua na akili so division ni 3
Form Four ni three (Sikua na akili nimesema)
Nitakupa na cha darasa la saba kama bonus
Teh teh teh
 
Vp badae wakitumbuliwa?
VP
Ujuzi ninao, sasa ili niufanyie kazi nahitaji mtaji ndo maana nikiuza vyeti hiyo pesa ndo itanidaidia.
Kuna wengine vinaweza kuwasaidia maana sio wote wasio na connection.
 
Kichwa cha uzi chahusika, Kwa wale wenye uhitaji wa vyeti mimi ninavyo.
Nitakuuzia vyeti vyote kuanzia sekondar mpaka chuo ili visikusumbue kwenye matumizi yako.

Sifa ya vyeti,
O-level kina masomo 10 hakina F
A-level matatu (comb CBA) hakina F zaidi ya Bam
Degree ya Sua na Post graduate diploma in Education Teaching, chuo St. John.

Bei ya vyeti vyote ni tsh 18,000,000
Tutawasiliana Pm mpaka tuonane nikukabidh mzigo nawe unipe hiyo pesa.
Hii ni baada ya kuona naenda off target na mahitaji ya serikali yangu kwa soko la ajira.
Kwa sasa napatikana Rufiji njoo tufanye biashara.
😀 😀 😀 Ukichengwa Tulia mwayego. Umetoa malundo ya pesa za mtaji, ukanumua karatasi ukidhani ni maarifa sasa unataka umrudishie nani?. Hebu kajaribu kuwauzia waliokupa hata elfu tano tu uone kama watakuwa radhi kununua.
Sikiliza mpendwa, watu hupenda kununua thamani (value). Biblia inasema, "mtu mvivu, hapiki mawindo yake" sasa hiko cheti ndio receipt ya kuwa umepata mawindo sasa kazi ya kuyachakata ni wewe mwenyewe utie nazi, chumvi, swaumu ni kazi yako sio ya mtu mwingine but wengi huchoka na kuamua kupiga michemsho tu kwa sababu ya njaa. Ongeza thamani kwenye kila eneo la maisha yako.
 
Ulisoma kupata vyeti au maarifa,? elimu inaanza baada ya wewe kumaliza masomo, kwanza wewe sio mkali, inaonekana ni wale wa kusoma kukariri, hiyo hela hupati na ajira hupati kwa mentality hiyo, cha kukusaidia nitafute nikusaidie uanzishe shule uanze na kashule ka nursery , lakini kama akili zako ndo za hivi, sijui kama utanilipa maana utatakiwa kunilipa baada ya shule Kuanza kuoperate.
 
Mkuu mbona vyako unauza ghali sana...

Ukishindwana bei na mtu mlete kwangu.
Kama ni muongeaji vizuri hata kwa elf 97 nampa vyeti akajaribu bahati yake.

Vyeti ni Bachelor of Science in MATHEMATICS. Sikua na akili mimi so GPA ni 3.4
Form Six ni PCM, nimesema sikua na akili so division ni 3
Form Four ni three (Sikua na akili nimesema)
Nitakupa na cha darasa la saba kama bonus
Aisee tumefika mbali
 
Kichwa cha uzi chahusika, Kwa wale wenye uhitaji wa vyeti mimi ninavyo.
Nitakuuzia vyeti vyote kuanzia sekondar mpaka chuo ili visikusumbue kwenye matumizi yako.

Sifa ya vyeti,
O-level kina masomo 10 hakina F
A-level matatu (comb CBA) hakina F zaidi ya Bam
Degree ya Sua na Post graduate diploma in Education Teaching, chuo St. John.

Bei ya vyeti vyote ni tsh 18,000,000
Tutawasiliana Pm mpaka tuonane nikukabidh mzigo nawe unipe hiyo pesa.
Hii ni baada ya kuona naenda off target na mahitaji ya serikali yangu kwa soko la ajira.
Kwa sasa napatikana Rufiji njoo tufanye biashara.
Vya zamani hivyo, vipya vina picha ya mmiliki, mnunuzi atakwama.
 
Back
Top Bottom