Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 9,140
- 15,963
Asante BabaSawa mama yameisha ngoja nichane hii karatasi ya talaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante BabaSawa mama yameisha ngoja nichane hii karatasi ya talaka
Vyeti feki havina thamani serikalini miaka hii na huko private hawazingatii aina ya cheti wanaangalia ujuzi, uzoefu na nani kakupeleka. Hiyo m12 angeunga unga vyuo uchwara kama ana connection atapata ajira.Huenda unavyo tayari, ila kuna anae hitaji kwa ajili ya mtoto wake kwa mil 12 nimegoma.
Kwani vyeti vyako vyenyewe vinasemaje??Kichwa cha uzi chahusika, Kwa wale wenye uhitaji wa vyeti mimi ninavyo.
Nitakuuzia vyeti vyote kuanzia sekondar mpaka chuo ili visikusumbue kwenye matumizi yako.
Sifa ya vyeti,
O-level kina masomo 10 hakina F
A-level matatu (comb CBA) hakina F zaidi ya Bam
Degree ya Sua na Post graduate diploma in Education Teaching, chuo St. John.
Bei ya vyeti vyote ni tsh 18,000,000
Tutawasiliana Pm mpaka tuonane nikukabidh mzigo nawe unipe hiyo pesa.
Hii ni baada ya kuona naenda off target na mahitaji ya serikali yangu kwa soko la ajira.
Kwa sasa napatikana Rufiji njoo tufanye biashara.
Sorry is there a place i said i don't want to hustle and i just need shortcuts? Or What do you mean by dedicating this message to me?No shortcut.Hustle first,mumeo au mkeo utakutana nae hukohuko moyo ulikouelekeza.Birds of the feather flock together.
Uko wapi?Kichwa cha uzi chahusika, Kwa wale wenye uhitaji wa vyeti mimi ninavyo.
Nitakuuzia vyeti vyote kuanzia sekondar mpaka chuo ili visikusumbue kwenye matumizi yako.
Sifa ya vyeti,
O-level kina masomo 10 hakina F
A-level matatu (comb CBA) hakina F zaidi ya Bam
Degree ya Sua na Post graduate diploma in Education Teaching, chuo St. John.
Bei ya vyeti vyote ni tsh 18,000,000
Tutawasiliana Pm mpaka tuonane nikukabidh mzigo nawe unipe hiyo pesa.
Hii ni baada ya kuona naenda off target na mahitaji ya serikali yangu kwa soko la ajira.
Kwa sasa napatikana Rufiji njoo tufanye biashara.
Me nataka mkeAnaetaka Mume ntampa wa kwangu bureeee, staki hata mia.
Stanii mimi
Kwa sasa nipo Moro ila mwenyeji wa Rufiji,Uko wapi?
Jinsi yako?
Nikupe bodaboda ya mkataba?
Mkuu mbona vyako unauza ghali sana...Kichwa cha uzi chahusika, Kwa wale wenye uhitaji wa vyeti mimi ninavyo.
Nitakuuzia vyeti vyote kuanzia sekondar mpaka chuo ili visikusumbue kwenye matumizi yako.
Sifa ya vyeti,
O-level kina masomo 10 hakina F
A-level matatu (comb CBA) hakina F zaidi ya Bam
Degree ya Sua na Post graduate diploma in Education Teaching, chuo St. John.
Bei ya vyeti vyote ni tsh 18,000,000
Tutawasiliana Pm mpaka tuonane nikukabidh mzigo nawe unipe hiyo pesa.
Hii ni baada ya kuona naenda off target na mahitaji ya serikali yangu kwa soko la ajira.
Kwa sasa napatikana Rufiji njoo tufanye biashara.
Teh teh tehMkuu mbona vyako unauza ghali sana...
Ukishindwana bei na mtu mlete kwangu.
Kama ni muongeaji vizuri hata kwa elf 97 nampa vyeti akajaribu bahati yake.
Vyeti ni Bachelor of Science in MATHEMATICS. Sikua na akili mimi so GPA ni 3.4
Form Six ni PCM, nimesema sikua na akili so division ni 3
Form Four ni three (Sikua na akili nimesema)
Nitakupa na cha darasa la saba kama bonus
Ujuzi ninao, sasa ili niufanyie kazi nahitaji mtaji ndo maana nikiuza vyeti hiyo pesa ndo itanidaidia.
Kuna wengine vinaweza kuwasaidia maana sio wote wasio na connection.
😀 😀 😀 Ukichengwa Tulia mwayego. Umetoa malundo ya pesa za mtaji, ukanumua karatasi ukidhani ni maarifa sasa unataka umrudishie nani?. Hebu kajaribu kuwauzia waliokupa hata elfu tano tu uone kama watakuwa radhi kununua.Kichwa cha uzi chahusika, Kwa wale wenye uhitaji wa vyeti mimi ninavyo.
Nitakuuzia vyeti vyote kuanzia sekondar mpaka chuo ili visikusumbue kwenye matumizi yako.
Sifa ya vyeti,
O-level kina masomo 10 hakina F
A-level matatu (comb CBA) hakina F zaidi ya Bam
Degree ya Sua na Post graduate diploma in Education Teaching, chuo St. John.
Bei ya vyeti vyote ni tsh 18,000,000
Tutawasiliana Pm mpaka tuonane nikukabidh mzigo nawe unipe hiyo pesa.
Hii ni baada ya kuona naenda off target na mahitaji ya serikali yangu kwa soko la ajira.
Kwa sasa napatikana Rufiji njoo tufanye biashara.
Ningempokea kwa mikono miwili kabisa ila naona na mimi ataniua.Kichwa Kichafu nagawa mke wangu bure kama upo tayari. Na wewe akikushinda mpeleke kwa Extrovert
Aisee tumefika mbaliMkuu mbona vyako unauza ghali sana...
Ukishindwana bei na mtu mlete kwangu.
Kama ni muongeaji vizuri hata kwa elf 97 nampa vyeti akajaribu bahati yake.
Vyeti ni Bachelor of Science in MATHEMATICS. Sikua na akili mimi so GPA ni 3.4
Form Six ni PCM, nimesema sikua na akili so division ni 3
Form Four ni three (Sikua na akili nimesema)
Nitakupa na cha darasa la saba kama bonus
Vya zamani hivyo, vipya vina picha ya mmiliki, mnunuzi atakwama.Kichwa cha uzi chahusika, Kwa wale wenye uhitaji wa vyeti mimi ninavyo.
Nitakuuzia vyeti vyote kuanzia sekondar mpaka chuo ili visikusumbue kwenye matumizi yako.
Sifa ya vyeti,
O-level kina masomo 10 hakina F
A-level matatu (comb CBA) hakina F zaidi ya Bam
Degree ya Sua na Post graduate diploma in Education Teaching, chuo St. John.
Bei ya vyeti vyote ni tsh 18,000,000
Tutawasiliana Pm mpaka tuonane nikukabidh mzigo nawe unipe hiyo pesa.
Hii ni baada ya kuona naenda off target na mahitaji ya serikali yangu kwa soko la ajira.
Kwa sasa napatikana Rufiji njoo tufanye biashara.
Du! Ama kweli ndoa ndoano. Hutolewa 2, kila mwenza na chake. Unauza vyote, au cha kwako tu?Mi nauza "CHETI CHA NDOA" (Promotion 20% Off).