Daaaaaah.! Umejuaje aisee. We CIA nini??Hatiame umelamba asali hongera sana
Daaaaaah.! Umejuaje aisee. We CIA nini??
For sure nimelamba asali katika halmashaur mashuhuri.
Mungu mwema sana.!
Asnt maana nilishaa usahau huu uzi kama nikiwahi uandikaga.!
employed??!!Pokea maua yako.!
[emoji294][emoji294][emoji294][emoji294][emoji294][emoji817][emoji817][emoji817]
naomba nikutie moyo, inawezekana haujapapata pa kuanzia tu. kuna siku mambo yatasettle. binafsi nilisoma, na nilikaa muda fulani nikitegemea ajira ya kuajiriwa. nilikuwa napata pesa ya mboga tu. ila siku nilipoamua kutumia ile elimu niliyoisoma kuibadilisha kuwa biashara ambayo mimi mwenyewe ndio Boss na final say, hata kama miaka kama 2 ilinikatisha tamaa nilipokuwa kukamata lami, nipo pazuri sana na utumwa ule wa kuajiriwa sitaki hata kuukumbuka. elimu yeyote unatakiwa usome sio ili uajiriwe, bali uitumie kwa manufaa yako nje kabisa ya ajira, hapo ndio utaona ina faida. ila kama utasubiria ajira, hata ukiajiriwa haitakusaidia vya kutosha.Kichwa cha uzi chahusika, Kwa wale wenye uhitaji wa vyeti mimi ninavyo.
Nitakuuzia vyeti vyote kuanzia sekondar mpaka chuo ili visikusumbue kwenye matumizi yako.
Sifa ya vyeti
O-level kina masomo 10 hakina F
A-level matatu (comb CBA) hakina F zaidi ya Bam
Degree ya Sua na Post graduate diploma in Education Teaching, chuo St. John.
Bei ya vyeti vyote ni tsh 18,000,000
Tutawasiliana Pm mpaka tuonane nikukabidh mzigo nawe unipe hiyo pesa.
Hii ni baada ya kuona naenda off target na mahitaji ya serikali yangu kwa soko la ajira.
Kwa sasa napatikana Rufiji njoo tufanye biashara.
Your love is real.! God bless you so that you can witness kindness of God in your life too according to your faith shown up.Kwa vyovyote vile umesomea SUA kuwa mvumilivu . Zikitoka Ajira za ualimu omba walimu wa agriculture na biology. Ukipata Ajira njoo nikuunganishe unafanyiwa recategorization unakuwa afisa kilimo au mifugo or etc
Unapataje 'F' kwemye BAM mkuu??Kichwa cha uzi chahusika, Kwa wale wenye uhitaji wa vyeti mimi ninavyo.
Nitakuuzia vyeti vyote kuanzia sekondar mpaka chuo ili visikusumbue kwenye matumizi yako.
Sifa ya vyeti
O-level kina masomo 10 hakina F
A-level matatu (comb CBA) hakina F zaidi ya Bam
Degree ya Sua na Post graduate diploma in Education Teaching, chuo St. John.
Bei ya vyeti vyote ni tsh 18,000,000
Tutawasiliana Pm mpaka tuonane nikukabidh mzigo nawe unipe hiyo pesa.
Hii ni baada ya kuona naenda off target na mahitaji ya serikali yangu kwa soko la ajira.
Kwa sasa napatikana Rufiji njoo tufanye biashara.
Asante, umeniongezea kitu.naomba nikutie moyo, inawezekana haujapapata pa kuanzia tu. kuna siku mambo yatasettle. binafsi nilisoma, na nilikaa muda fulani nikitegemea ajira ya kuajiriwa. nilikuwa napata pesa ya mboga tu. ila siku nilipoamua kutumia ile elimu niliyoisoma kuibadilisha kuwa biashara ambayo mimi mwenyewe ndio Boss na final say, hata kama miaka kama 2 ilinikatisha tamaa nilipokuwa kukamata lami, nipo pazuri sana na utumwa ule wa kuajiriwa sitaki hata kuukumbuka. elimu yeyote unatakiwa usome sio ili uajiriwe, bali uitumie kwa manufaa yako nje kabisa ya ajira, hapo ndio utaona ina faida. ila kama utasubiria ajira, hata ukiajiriwa haitakusaidia vya kutosha.