Sipati Picha Kama Hili La Wachezaji Wa Singida BS Kupewa Uraia, Kama Rais Angekuwa Magufuli?

Yule ni mwehu kama magufuli
 
Asa umejibu ili iweje? Mana mpumbavu kama mimi sitakiwi kujibiwa!
Jifunze kujibu hoja
Staarabika na ujiheshimu ushakua mtu mzima
 
AFRICA
Naiona Kama ni skendo inayo hitaji kutazamwa vizuri, watu tayari wangekuwa wamesha tumbuliwa, kuanzia Mawaziri hadi Makatibu, sasa hivi kungekuwa kumesha changamka muuuuda! Mtu ana wiki 2 Bongo kupewa uraia, hiiiii!
AFRICA is One, tuna warundi, wakongo, wasomali, wangapi Tanzania na wanaishi bila shida yoyote, uraia unaweza kuwa granted kwa raia wenye manufaa kama nchi zote kubwa duniani zifanyavyo, sioni baya!
 
AFRICA
AFRICA is One, tuna warundi, wakongo, wasomali, wangapi Tanzania na wanaishi bila shida yoyote, uraia unaweza kuwa granted kwa raia wenye manufaa kama nchi zote kubwa duniani zifanyavyo, sioni baya!
Sheria ya nchi ndo ifuatwe, hakuna anaye kataa!
 
Naiona Kama ni skendo inayo hitaji kutazamwa vizuri, watu tayari wangekuwa wamesha tumbuliwa, kuanzia Mawaziri hadi Makatibu, sasa hivi kungekuwa kumesha changamka muuuuda! Mtu ana wiki 2 Bongo kupewa uraia, hiiiii!
Hata hili linatatiwa timing. Kaa kwa kutulia.
 
Pumbav mkubwa ww unafikiri uraia unatolewa km pipi bila mchakato ?unafikiri hii ni Banana Republic ?
Mbona aina ya viongozi, sifa na matukio mengi udhihirisha ni Banana Republic?
 
Naiona Kama ni skendo inayo hitaji kutazamwa vizuri, watu tayari wangekuwa wamesha tumbuliwa, kuanzia Mawaziri hadi Makatibu, sasa hivi kungekuwa kumesha changamka muuuuda! Mtu ana wiki 2 Bongo kupewa uraia, hiiiii!
Mbona Kibu D alipewa kipindi JPM yupo? Nini kilitokea?
 
Naiona Kama ni skendo inayo hitaji kutazamwa vizuri, watu tayari wangekuwa wamesha tumbuliwa, kuanzia Mawaziri hadi Makatibu, sasa hivi kungekuwa kumesha changamka muuuuda! Mtu ana wiki 2 Bongo kupewa uraia, hiiiii!
magufuli mwenyewe hakuwa mtanzania halisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…