[emoji16][emoji16][emoji16]si unajua humu chai kibao!
Ulivyotaja afya tu nikajua baasi unamfahamu maana ndo kitu cha kwanza kukitambua kwa huyu mbabu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah.....huyo mdada nilikuwa namkuta s.h.amon ya posta nikienda kununua mahitaji, siku hizi simuoni humo dukan sijui kahamia wapi?
Toka zamani niikiwa mtoto mpaka leo yuko hivyo hivyoHah[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]ndo anaumwa kiasi hichooo sasa hv
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa tupo naye mitaa ya makuburi jirani na kanisa la roma tuna kula nae ugali kwa mchicha kwa mama ntilie, naamini na Nancy tungekuwa nae mitaa hii na wala usingemwona huko ulipo muona
Kana chuki sana na kipindi nakayaa alipigika lakin hakakutaka kumsaidiaaLuca alikua anatoka na Nakaaya,Nancy akaja kumpindua Dada yake live kabisaa na akaolewa....!!!
Ilifka kipindi walikua hawaongei wale ndugu hata harusi ya Nancy na Luca Nakaaya alikua km mgeni mualikwa tu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnoo sema udada wa mjini unambebaKana chuki sana na kipindi nakayaa alipigika lakin hakakutaka kumsaidiaa
Sent using Jamii Forums mobile app
CODE:Nasikia Mzee Machache alikuwa anawala sana hawa mamiss. Yaani ndio ilikuwa taste yake.
Na makuwadi wake wakubwa walikuwa ni hawa jamaa vibosile siku hizi especially yule ShiBapa wa vifungashio vya ubuyu, mkongwe wetu mzee jene na boss fulani hivi namheshimu sana sitaki kutoa clues zake.
Mzee machache fuska sana. Kawapinda sana kwenye meza za ofisi yake ya town pale.. Inasemekana lakini!
Halafu juzikati nilivyoona Disiii ana ishu Ubalozi wa Le Franco nikaguna. Nina story yake nyeti niliipata from a very close friend..
Mjini hapa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani acha kabisaa halafu kuna skendo mmesahau ya huyo Nakaaya!!! Nkikumbuka ntaiwekaa
Kajoketi kalikuwa na shobo sana na vijana maarufu. Nahisi bado ana hiyo tabia. Shobo.
Yaani kenyewe ni maarufu Ila kanashobokea sana mastaa. Refer John Mnyika, Platnumz, Kiba etc.
Sijui ana spotlight syndrome. Lol!
Lakini huenda ni hulka pia.
Nakaya kaolewa na mzungu ? Mwaka gani hii ilikuwa ?
Maana namuona akikatiza mitaa na PORTE yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye msiba wa Ruge karimjee kalikuwa kanahangaika hako na Luca wake...yaan full kukatisha katisha uwanjani nikajiuliza mbona huyu hakai akatulia kama wenzake!
Tupia now kwa code fastaaYaani acha kabisaa halafu kuna skendo mmesahau ya huyo Nakaaya!!! Nkikumbuka ntaiwekaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Virus si wanazipunguza kwa mtindo huo we hujui hili...hii inafanyika kwa matajiri, kama huna hela ndo unabanana na ARV tu mpaka mwisho!
Happy(ladivamillen)ndo wale wale kasoro tarehe tena bora alivyoenda kuishi mamtoni ila nae weeee!!!!ana maringo yuleeeeKwenye msiba wa Ruge karimjee kalikuwa kanahangaika hako na Luca wake...yaan full kukatisha katisha uwanjani nikajiuliza mbona huyu hakai akatulia kama wenzake!
Mademu waruwaru msibani wa kwanza yy, ladvmilllen, Lynn...shangaa sasa yaani diva mtulivu kinoma sio chini ya masaa matatu hajashika simu, wala kuwehuka kama hao niliowataja, full mtulivu kinoma kudos kwake[emoji122][emoji122]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu mzima lkn mapepe mnoo...Happy(ladivamillen)ndo wale wale kasoro tarehe tena bora alivyoenda kuishi mamtoni ila nae weeee!!!!ana maringo yuleeee
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh!ila nafkr hyo ni mbaya sanaa!kuchange blood!! DuhVirus si wanazipunguza kwa mtindo huo we hujui hili...hii inafanyika kwa matajiri, kama huna hela ndo unabanana na ARV tu mpaka mwisho!
Sent using Jamii Forums mobile app