Sipati picha Nancy Sumari angekuwa na MB Doggy hivi sasa...

Huo wimbo wa inamaana nilicopy mashairi yake nikamwandikia mrembo mmoja hivi alikuwa mgumu sana kama sikosei ulitoka miaka ya 2003-5 hivi... mpaka kaelewa somo..
 
#2[emoji23]
 
MB Dog anaimbaimba kaswida kisha anataka watoto wazuri. Hizo Bongo fleva zenu kama huna hela utaishia kuchukua kina Mwanajuma ndala ndefu tu.
[emoji23]
 
Kwa kimo na wajihi wa Doggy Man na Urefu wa Nancy ingekuwa moja kati ya couple za kuchekesha sana.

Mwanamke mlima Bwana kichuguu hii inamaana hata Doggy asingeweza labda ya kiseminari!

Najua umenielewa!
Blue na Wema?

Mbona diamond anawatafuna tu tangu akiwa mbaya mpaka sasa ana uafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…