Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahaufupi ulimponza mb dog
Na wewe hua unachukia ?
Duh hilo getho!!Mdogo wangu enzi hizo mtoto sumari katoka Maasai Girls Nairobi. Kaka mkubwa akitokea mitaa ya manzese na mabibo kwa mapozi haya angefanikiwa kumng'oa kweli?View attachment 1046445
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukizingatia hapo full kunuka mibange.
Mke wake alishatangulia mbele ya hakiHah[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]ndo anaumwa kiasi hichooo sasa hv
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekisia umri wako kwa mchango huu
Nimekisia umri wako kwa mchango huu
NA MIMI NAKUCHORA TU, HUJI MAANA YANGUNimekisia umri wako kwa mchango huu
Kama kweli we ni muhenga unamjua Sumbi na Bocha?NA MIMI NAKUCHORA TU, HUJI MAANA YANGU
hakika maneno yako
WALE WANAMAIGIZO WA ENZI HIZO ITV MIAKA YA 90 NISIWAJUE KWELI? MAMBO HAYO YA KINA WARIDI..Kama kweli we ni muhenga unamjua Sumbi na Bocha?
[emoji28]Hivi kizazi cha juzikati hapa,kinawajua hao watu uliowataja kweli..?
Nyakati tu, hakuna mtu awaye yote iwe kwenye muziki, soka, ndondi nk atakayewika maishaJamaa alikuwa so talented, sijui alifeli wapi yan
Sure, ilikuwa ushamba
#2[emoji23]KUNA MAKUNDI YAFUATAYO MKUU HUTAKIWI KUYAAMINI UKIWA HAI.
1. WANASIASA-USIWAAMINI HATA KIDOGO MKUU WANAJALIMATUMBO YAO NA YAFAMILIA ZILIZO KARIBU NAO. MFANO = NASARI
2. WASANII-HAWA WAPO RADHI KUDHALILIKA ILIMRADI KUPATA UMAARUFU MFANO=AMABA RUTY, NAHAPA INCLUDE HII MADA YAKO. HUENDA HUYO NAZI MSUMARI ALIMLIPA PESA MB DOG ILIAMUIMBE ILI JINA LAKE LIWEJUU THE SAME TO YOU, HUENDA UMELIPWA KUTULETEA HII MADA YAKO HAPA.
3. DALALI-USIMUAMINI DALALI HATA ONE DAY.
4. MCHEPUKO
[emoji23] [emoji23]mkuu umekula like yangu si kwa ajili ya ujumbe hapana mie lugha ya malkia tu hata uki define history unakula like yangu japo ujumbe wako nao si haba
[emoji23]MB Dog anaimbaimba kaswida kisha anataka watoto wazuri. Hizo Bongo fleva zenu kama huna hela utaishia kuchukua kina Mwanajuma ndala ndefu tu.
Blue na Wema?Kwa kimo na wajihi wa Doggy Man na Urefu wa Nancy ingekuwa moja kati ya couple za kuchekesha sana.
Mwanamke mlima Bwana kichuguu hii inamaana hata Doggy asingeweza labda ya kiseminari!
Najua umenielewa!