Sipati picha Nancy Sumari angekuwa na MB Doggy hivi sasa...

Pataya[emoji1787]
 
Huwezi jua pengine wangekuwa couple mb dog angekuwa bado yuko kwenye ramani ya muziki either kwa sababu mwenza wake yuko smart au angetumia nguvu ya ziada kubaki kwenye game ili asifulie akampoteza mrembo
Kwa aina ya muziki na uimbaji wa kubana makoo wa Mb Dog hata angedate ma malaika asingekuwa kwenye game leo
 
Nancy kipele[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Jokate mwenyewe anasema uwa anapenda watu Wazima,kwani akiwa anaenda kufanyw. Familia yake inamsindikiza? Alipigwa chini tu na Mzee mengi baada ya kutumika sana kwa kua hajatulia
Kavivu
 
Ndio maana mnashauriwa tafuteni pesa sio mapenzi. Kwanza kila mtu utamu anao mwenyewe. Kama unabisha jaribu na sabuni uone.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mimi nilikuaga mshabiki mkubwa wa mb doggy kias watu waliinita hilo jina namimi nkawa nakubali kwa jins nlivyokuwa namkubali yaan nlikua naimba nyimbo zake zote tena kwa sauti niliyokuaga nayo bas mngenisikia msingeweza kunitofautisha naye kabisa bas nlikua nang'olea sana madem enzi zangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…