Sipati picha Nancy Sumari angekuwa na MB Doggy hivi sasa...

Sipati picha Nancy Sumari angekuwa na MB Doggy hivi sasa...

Nadhani ww kazia tu hapo kwenye kujielewa kwake hayo ya uzuri kila mmoja ana definition yake.
Nimekutana na Nancy kama miaka mwil ilopita pale NMB hq mpya karib na Srena hotel aisee, trust me kwanza hata sikuweza kumjua kama ni yeye.Uzuri nilokua namuona nao kwenye tv na ule urefu wake aisee ni tofauti kabisaa nilivyomuona.tofauti sanaa.Sio m baya actually lakin ni wa kawaida tu.Kawaida.

Lakin nakubal yule dada alikua anajielewa sana nadhan hata kind of company anayojichanganya nayo pia ni cream brains tofauti na hawa masapwala wengine akina wema.
Alikuonyesha ID card au ulimtambuaje ni yeye wakati umeelezea tofauti hiyo!
 
Naona umeamua kuongelea zaidi upande wa pili wa jinsia ya K....Uzuri ni tabia wala sio sura.

Kwahio Nancy ana tabia chafu au? Kwakua ww unamjua Nancy Sumari Personally na tabia zake chafu unazijua basi comment kivyako sio kudandia comments za watu waliomsifia, usiforce na mimi nimponde while sijawahi kuskia scandal yake yyte. yaani Kumsifia mtu kwamba ni mzuri na anajielewa imekua dhambi? Haya basi Nancy ni mbaya sana, mama yako ww ndo mzuri, umefurahi? Salam zao.👋
 
Jinsi ulivyo kurupuka kujibu comment yangu, Eti "Mb Dod..." Ina dhihirisha jinsi gn hata kwenye kusoma Comments za watu unakurupuka na huelewi chochote. Usinichoshe[emoji112]
Mambo mrembo?

Si unajua mimi ndiye mmiliki halali wa huu uzi eeh.. Naweza kukuhonga wote huu ukawa mali yako. Au unasemaje?

Babe Nalendwa usisome hapa..


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu ukichunguza kuna utatu flani hivi wa hawa mamiss.. Nancy, Klyin na Faraja.. Wote wamelenga sehemu nzito nzito halafu ni mabestiii... Coincidence?
Usikute walikua wanadanga wote enzi hizo...
 
nimejikuta naikumbuka siku niliyokutana na vee money pale city mall azizi house of jeans

ni kafupi hakana nyama... yani kadogoooo sema tu kapo sexy and she got class....

she is super classy na hyo class ndio inafukia mapungufu yote IUKWIM

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba Vee nae na IUKWIM? Blaza hivi raia mnazitoaga wapi hizi taarifa? Miaka ya nyuma watu walizusha Blue anao anao lakini bado yupo fiti..
 
Bro

Hate is just a feeling like any other mzee,kama wewe unavyompenda mimi namchukia the other side!

Sijui kwanini watu wana phobia na neno HATE?As if mtu hurusiwi ku-hate!!

Naakaya ni sibling wake ndio maana I brought her up,I like her more...

So,fvck it,I hate fake motherfuckers like this sneaky bitch...

I hate that sleazy slot just for the fvck of it...

Dont get twisted,sina sijui some personal feelings or such and such smell towards the bitch
Kwa haya majibu hakika we jamaa ni jeuri saanaaa...
 
Kwamba Vee nae na IUKWIM? Blaza hivi raia mnazitoaga wapi hizi taarifa? Miaka ya nyuma watu walizusha Blue anao anao lakini bado yupo fiti..
oya mkuu nimesha explain mara kibao hapo juu.... hilo neno siyo ukimwi... ni kifupi cha IF U KNOW WHAT I MEAN..... "IUKWIM" the same na unavyosema TBT ukimaanisha Throw Back Thursday....
 
Kwahio Nancy ana tabia chafu au? Kwakua ww unamjua Nancy Sumari Personally na tabia zake chafu unazijua basi comment kivyako sio kudandia comments za watu waliomsifia, usiforce na mimi nimponde while sijawahi kuskia scandal yake yyte. yaani Kumsifia mtu kwamba ni mzuri na anajielewa imekua dhambi? Haya basi Nancy ni mbaya sana, mama yako ww ndo mzuri, umefurahi? Salam zao.👋

Sasa kwann ww unanilazimisha niamini kwamba anatabia nzuri?
 
Sasa kwann ww unanilazimisha niamini kwamba anatabia nzuri?

Nimekulazimisha saa ngp? We mwehu nini, Do I even know you? Ww sindo ulio reply comment yangu kwani nilikuandikia ww Ile comment? Hebu nitolee upumbav wako sina time kujibishana na wapumbav kama ww! Inaelekea Nancy alikuibia Bwana wako Ndomana unamchukia, POLE & Get well soon.!
 
Back
Top Bottom