Sipendezwi na jinsi inavyolazimishwa sasa CDF kuwa chini ya Waziri wa Ulinzi 'Kiprotokali' wakati Waziri wa Ulinzi ndiyo anapaswa kuwa chini ya CDF

Sipendezwi na jinsi inavyolazimishwa sasa CDF kuwa chini ya Waziri wa Ulinzi 'Kiprotokali' wakati Waziri wa Ulinzi ndiyo anapaswa kuwa chini ya CDF

Mkuu you are dead WRONG!
CDF siku zote yupo chini ya Waziri wake wa Ulinzi kiserikali.
Hii ni licha ha ukweli kwamba Waziri wa Ulinzi hana mamlaka wala madaraka ya kumuingilia CDF na jeshi kwa ujumla.
Waziri wa Ulinzi ni kama muwakilishi wa jeshi kiserikali ila hawezi kuliamrisha jeshi kwa aina yoyote.
Kiutendaji CDF yupo chini ya Commander in Chief moja kwa moja.

Waziri Maokola Majogo alijaribu kuliamrisha jeshi wakati fulani, cha moto alikipata, na akaondolewa unceremoniously uwaziri.
Peke Yako ndio umejibu hoja
 
Kama alianza kuwapigia hapo ndio maajabu. Mbuge na Mabeyo wakikutana Mbuge ndio anatakiwa ampigie Mabeyo, jeshi linabaki palepale.

mkuu mambo ya protocal ni magumu,hata wao maofisa wahusika yanawavuruga somtime.

mbuge akivaa kiraia akasimama kama mkuu wa mkoa,atapigiwa salute na CDF,ila akivaa uniform kashajichanganya tayari ni askari mdogo kwa CDF,ndio maana mama kawazuia juzi.

wakati mstaafu mabeyo anakabidhiwa funguo na cdf mpya,alipiga salute(tayari wenge hili)yeye ni senior kwa CDF aliyepo,anatakiwa apigiwe yeye salute sio yeye kupiga.
 
Inawekwa hivyo ili kuwapunguza nguvu wanajeshi. Na kuwaelekeza cha kufanya.
Kama ukubwa basi CDF ni mkubwa kumpita hata raisi wa nchi.

Kuna msemo unasema
" Who Guide the Guard"

Mtu chini yake anamiliki mizinga vifaru, makomandoo, ndege za kivita nk. na anajua kuzitumia utamwamrisha vipi wakati hata bastora hujawai kuigusa.

[emoji28][emoji28]kabisa ni bangi.

yaani ukubali waziri ni mdogo kwa CDF halafu ukubali rais ni mkubwa kwa CDF,logic ina uwazi kwa ndani hii sio imara,
mtu anaridhika CDF kunyenyekea kwa PM ila sio kwa waziri wa maji,bangi mbaya.
 
Hakuna Kitendo Kimenishangaza na Kimeniuma kama kuona Juzi CDF na Chief of Staff wake wakienda Kiunyonge na Kiuhuruma kwa Waziri wa Ulinzi Kujitambulisha.

Sijawahi kuona popote pale Waziri wa Ulinzi anakuwa Juu ya Jeshi tena Kiprotokali wakati Jeshi ni Serikali Kificho ya Kimedani na inayojitegemea na ambayo ikiamua muda wowote ule ichukue hatamu ya nchi inaweza na huyo ( huyu ) Waziri wa Ulinzi anakuwa si lolote wala si chochote.

Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Mzee Mwinyi, Hayati Mkapa na kidogo Mzee Kikwete waliwaheshimu mno CDF's wa Vipindi vyao na walihakikisha hawalazimishi Jeshi kuwa ni sehemu ya Siasa na Utawala wa Kiserikali.

Hayati Rais Dkt. Magufuli alianza kwa mbaali kutaka Kummiliki CDF (japo alikumbana na Ugumu kidogo) kwakuwa CDF Mstaafu Mabeyo anajitambua na ameiva Kimedani (Kijeshi ) pamoja na Protokali zake zote.

Kama kuna Kitu kimenishangaza na naona HATARI fulani mbeleni huko ni kuona Awamu hii ya Rais Samia huyu Waziri wa Ulinzi Bi. Stegormena Tax akipewa Madaraka makubwa juu ya Jeshi na CDF wake kitu ambacho si Kizuri na siyo cha Kiutaratibu kabisa.

Kwa Kawaida ilitakiwa baada ya CDF Kuteuliwa basi Kiitifaki Waziri wa Ulinzi ndiyo alipaswa kwenda kwa CDF ila siyo CDF na Chief of Staff kwenda kwa Waziri wa Ulinzi huku wakiwa na Nyuso za Huruma kana kwamba Wameamrishwa na Mtu wakati Wao ndiyo wana Mandate ya Kuamrisha.

Namalizia kwa Kuwaasa na Kuwaonya enyi Watawala ( Wanasiasa ) kuwa chezeni na Vitu vyote ila msicheze na Taasisi Nyeti kama ya Jeshi na kutaka nao wawe Wanasiasa kama nyie wakati Kiuhalisia wao ni Wanamedani na wako kwa ajili ya Ulinzi na Usalama Uliotukuka wa Taifa letu hili la Tanzania.

Nichukieni, ila yafanyieni Kazi yote!!!
Kwa Maelezo Yako Hata Rais Hafai Kuwa Amiri Jeshi Mkuu.

Tatizo Sio Hawathaminiwi Au Wanashushwa Thamani Yao.

Huo ni Mgawanyo Wa Utendaji tu.

Dunia ya Wenye Akili Imetambua Kuwa Jeshi Limepewa Mamlaka ya Kutumia Silaha Na Nguvu Zote Katika Kurudisha Amani Iliyotoweka Au Kulinda Amani Hiyo Isitoweke.

Lakini Pia Dunia Inatmbua Majeshi Yote Duniani Hata Yakienda Kulinda Amani

Yenyewe ni Rahisi Kufanya Vitendo Viovu Hususan Kwa Wahanga wa Vita Haswa Wanawake

Sababu Kubwa Eneo Hilo Jeshi Huwa Lina Mamlaka Na Halidhibitiwi Kwa Kuwa Amri Ni Yao.

Kwa Maana Hiyo (Nguvu Na Amri Havipaswi Kuwa Pamoja)


Na Amri Ya Kutumia Silaha Au Nguvu Inatakiwa Itoke Nje ya Jeshi Kwa Sababu

Mwenye Nguvu Na Silaha Hapaswi Kuwa Na Maamuzi.

Fanya Uchunguzi Kwa Mataifa Yanayomilikiwa. Na Jeshi Utagundua Kwanini

Aliyepewa Silaha Hapaswi Kuwa Na Maamuzi.
 
Binafsi najua mkuu wa majeshi anaweza mpa amri ijp na ikawa amri Hali maana yeye ni mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama.

Pia Kila wizara Ina katibu inamaana ukitoa waziri mtu anaefuata ni katibu wa wizara alafu wanafuata watendaji wengine walio chini ya wizara hiyo.

Kwa maana hata naibu waziri kitafsiri ni waziri, kwahiyo ukitoa waziri kwenye wizara mtu wa pili kimadaraka ni katibu wa wizara alafu wanafuata hai wengine .
Nipo tayari kuelimishwa juu ya hili.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
IMG_20220804_075619.jpg
 
Mkuu Wewe unadhani GENTAMYCINE ninavyokuwa Nawadharau Wapumbavu wengi hapa kama huyo uliyemjibu hapo na Wenzake huwa nakosea?

Na cha Kusikitisha zaidi hao Wapumbavu wengi wamefikà hadi Vyuo Vikuu ila angalia walivyo Watupu Vichwani mwao.

Kama kwa hili tu la CDF limewashinda Kulijua na Kulielewa unadhani Mambo muhimu ya Nchi watayajua, watayaweza na wataweza kuwa na Tija ya Kimaendeleo ya Kulikomboa Taifa la Tanzania hasa Kiuchumi na Kijamii?
Ni changamoto kubwa mno.. watu kama hao dharau inawahusu maana katiba imeandikwa kwa kiswahili sio kiingereza hata!!
 
Kwa Maelezo Yako Hata Rais Hafai Kuwa Amiri Jeshi Mkuu.

Tatizo Sio Hawathaminiwi Au Wanashushwa Thamani Yao.

Huo ni Mgawanyo Wa Utendaji tu.

Dunia ya Wenye Akili Imetambua Kuwa Jeshi Limepewa Mamlaka ya Kutumia Silaha Na Nguvu Zote Katika Kurudisha Amani Iliyotoweka Au Kulinda Amani Hiyo Isitoweke.

Lakini Pia Dunia Inatmbua Majeshi Yote Duniani Hata Yakienda Kulinda Amani

Yenyewe ni Rahisi Kufanya Vitendo Viovu Hususan Kwa Wahanga wa Vita Haswa Wanawake

Sababu Kubwa Eneo Hilo Jeshi Huwa Lina Mamlaka Na Halidhibitiwi Kwa Kuwa Amri Ni Yao.

Kwa Maana Hiyo (Nguvu Na Amri Havipaswi Kuwa Pamoja)


Na Amri Ya Kutumia Silaha Au Nguvu Inatakiwa Itoke Nje ya Jeshi Kwa Sababu

Mwenye Nguvu Na Silaha Hapaswi Kuwa Na Maamuzi.

Fanya Uchunguzi Kwa Mataifa Yanayomilikiwa. Na Jeshi Utagundua Kwanini

Aliyepewa Silaha Hapaswi Kuwa Na Maamuzi.
Umeelezea jambo hili la "Civilian Control of the Military".

Huku dunia ya nchi zilizoendelea ni jambo linaloeleweka na kukubalika sana.

Ila huko Africa watu wengi wanaopenda jeshi na amri amri za kijeshi hawataki kusikia habari hizi.

 
Duniani Kote nchi ni ya Jeshi . Nchi yenye Jeshi Kubwa ndiyo nchi imara. Tanzania hatuoni umuhimu wa majeshi yetu Kwa sababu Mwalimu alikua msomi Halisi wa siasa na jamii na Dunia aliijua vizuri Kwa alikua ni Msomi aliyeelimika Kwa kiwango kikubwa sana. Nyerere hakuwa mjinga alipokua analitumia Jeshi lake kwenye vita za Ukombozi na kusaidia nchi nyingine. Aliwaweka Wanajeshi Bize na mambo ya nje na kuwasaidia majirani. Na hicho ndicho wanachofanya Marekana ni nchi za NATO. Nchi za Kiraia zinapaswa kulitumia Jeshi Kwa umakini mkubwa. Huwezi ukasikia Rais wa Marekani anawakoromea wanajeshi Kwa lugha za kudhalilisha. Hata Kagame analiheshimu sana Jeshi lake ikiwemo Jeshi la Polisi. Huku Afrika na hata Tanzania ni rahisi kusikia Rais au mwanasiasa analidhalilisha Jeshi au Polisi wakati huo huo anategemea kuiba kura Kwa sababu Majeshi yatamlinda. Yani ni Hopeless kabisa.

Jeshi ni serikali Mbadala ndio maana imepewa jukumu la kulinda Katiba Muda wote. Kuna maana kubwa uliyojificha nyuma ya Jukumu Hilo . Wanasiasa UCHWARA HAWAWEZI KUELEWA MAANA YAKE. IPO SIKU AMBAYO HAIPO MBALI WATAJUA MAANA YAKE. Historia Duniani Kote hua inatabia ya kuwapitisha wanadamu kwenye nyakati zinazofanana endapo hawatajifunza Kwa waliowatangulia katika nyakati zinazofanana.
Afrika maendeleo ya pamoja yatatokea Kwa mapinduzi na sio Kwa kugonga meza. Afrika ikiwa na Marais 5O kama Kagame na Museveni na Museveni Hakika Kwa utajiri uliopo tungekua tunauza mtungi wa Gesi KG 15 Kwa sh. 20000 na mafuta Petroli Sh. 1200/- kwa Ltr.

Kutoliheshimu Jeshi na kulipa heshima yake inatokana na matatizo ya nchi jirani.Hali inayopelekea wanajeshi wetu angalau kupata sehemu wanapoweza kwenda kuweka roho zao rehani ili wapate anagalu fedha za kuboresha maisha yao na hivyo kutulia na kuwaachia wanasiasa wa ndani ya nchi zao wakilamba asali na kuwakejeli wanajeshi wao . Hiyo ipo pia Kwa majeshi ya Polisi Afrika wanaachwa kama Kuku wa Kienyeji waishi Kwa rushwa na kubambikia watu Kesi ili waweze kuendesha maisha yao na kusomesha watoto wao ili watoto wao wasije wakarithi matusi na kejeli Toka Kwa wanasiasa kuwa hawajasoma ,hawana uwezo wa kuchanganua mambo ,hawajui kupeleleza, ni wababaishaji,wasumbufu, hawajui Sheria n.k lakini ndio wanaowatumia kuiba kura na kuchafua Hali ya utulivu kisiasa na wakishaingia madarakani wanawakejeli na kuwaona hawana maana yoyote na hawastahili kulipwa mishahara ya kuwafanya waendeshe maisha yao Kwa misingi ya Haki na uadilifu . Matokeo yake ni kuwa na mifumo isiyoeleweka na yenye mikanganyiko mikubwa. CDF ni International Rank na vyeo vingine vyote vya Kijeshi chini yake. Hawatakiwi kuwa watumwa wa kisiasa . Wanapaswa kuwa huru mbali na siasa. Raia mmoja TU ndiye mwenye kauli juu ya Jeshi ,yaani Rais basi mana ana mamlaka ya kumteua CDF na Kumtengua muda wowote. Wengine wote hawana jambo lolote la kiutendaji juu ya Jeshi na hivyo hawana maelekezo yoyote Kwa Jeshi zaidi ya blabla za sijui ilani sijui Nini wakati Jeshi na ilani ni vitu visivyoendania Kwani Jeshi linapaswa kulinda Mipaka ya nchi na Katiba ya nchi hata kama hakuna Rais Wala Chama. Yaani hata ikatokea Serikali yote wakaangamia Kwa baridi Kali au Upepo mkali wa kisulisuki Ukalizoa Jengo la Bunge la Kameruni Bado Jeshi litalinda mipaka ya nchi na Katiba mpaka Hali itakapokaa sawa. Hivyo nakubaliana na wewe kabisa kuwa Jeshi linahitaji kuheshimiwa na kuepuka jambo lolote linaloweza kuwafanya wanasiasa kujiweka juu ya Taratibu za Kijeshi Kwa namna yoyote ndani ya nchi zetu za Afrika.

Ni bahati TU Afrika Kuna nchi zenye Vita kama Kongo ,Sudani,Somalia ,Msumbuji, Burundi n.k. Hali inayowapa fursa baadhi ya wanajeshi wa nchi nyingine kufadhiliwa na Mabeberu wa nchi za magaharibi Kwa kulipwa fedha ili wakalinde kile wanachokiita amani. Hapo wanaopata fursa hiyo wanajipatia nafasi ya kuboresha maisha yao na kuvumilia manyanayaso ya wanasiasa waliojaa dharau na kejeli Kwa kushiba asali na kujiona wao wanajua kila kitu mpaka Medani za kivita Kwa sababu TU ya kuangalia Move za Kina Rambo wanadhani kuwa kumbe inawezekana mtu mmoja akalinda mipaka ya nchi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Nakuunga mkono hata kama hawatakuelewa lakini Iko siku watakuelewa. Siku Sudani na Kongo wakipata amani akili zitakaa sawa Kwa wanasiasa wa nchi za Kiafrika ,Watajua kuwa hakuna Serikali bila majeshi,hakuna heshima ya mahakama bila Majeshi ,hakuna heshima ya Bunge bila Majeshi. Hakuna amani bila Majeshi. Hakuna kula Bata na starehe bila Majeshi. Watu wamwagilia mioyo yao Kwa sababu Kuna majeshi yanayolinda usalama wa nchi.
WORD...
 
Hakuna Kitendo Kimenishangaza na Kimeniuma kama kuona Juzi CDF na Chief of Staff wake wakienda Kiunyonge na Kiuhuruma kwa Waziri wa Ulinzi Kujitambulisha.

Sijawahi kuona popote pale Waziri wa Ulinzi anakuwa Juu ya Jeshi tena Kiprotokali wakati Jeshi ni Serikali Kificho ya Kimedani na inayojitegemea na ambayo ikiamua muda wowote ule ichukue hatamu ya nchi inaweza na huyo ( huyu ) Waziri wa Ulinzi anakuwa si lolote wala si chochote.

Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Mzee Mwinyi, Hayati Mkapa na kidogo Mzee Kikwete waliwaheshimu mno CDF's wa Vipindi vyao na walihakikisha hawalazimishi Jeshi kuwa ni sehemu ya Siasa na Utawala wa Kiserikali.

Hayati Rais Dkt. Magufuli alianza kwa mbaali kutaka Kummiliki CDF (japo alikumbana na Ugumu kidogo) kwakuwa CDF Mstaafu Mabeyo anajitambua na ameiva Kimedani (Kijeshi ) pamoja na Protokali zake zote.

Kama kuna Kitu kimenishangaza na naona HATARI fulani mbeleni huko ni kuona Awamu hii ya Rais Samia huyu Waziri wa Ulinzi Bi. Stegormena Tax akipewa Madaraka makubwa juu ya Jeshi na CDF wake kitu ambacho si Kizuri na siyo cha Kiutaratibu kabisa.

Kwa Kawaida ilitakiwa baada ya CDF Kuteuliwa basi Kiitifaki Waziri wa Ulinzi ndiyo alipaswa kwenda kwa CDF ila siyo CDF na Chief of Staff kwenda kwa Waziri wa Ulinzi huku wakiwa na Nyuso za Huruma kana kwamba Wameamrishwa na Mtu wakati Wao ndiyo wana Mandate ya Kuamrisha.

Namalizia kwa Kuwaasa na Kuwaonya enyi Watawala ( Wanasiasa ) kuwa chezeni na Vitu vyote ila msicheze na Taasisi Nyeti kama ya Jeshi na kutaka nao wawe Wanasiasa kama nyie wakati Kiuhalisia wao ni Wanamedani na wako kwa ajili ya Ulinzi na Usalama Uliotukuka wa Taifa letu hili la Tanzania.

Nichukieni, ila yafanyieni Kazi yote!!!
ulijuaje kwamba Waziri wa Ulinzi amepewa madaraka makubwa ,je ni yapo hayo madaraka makubwa?
 
mkuu mambo ya protocal ni magumu,hata wao maofisa wahusika yanawavuruga somtime.

mbuge akivaa kiraia akasimama kama mkuu wa mkoa,atapigiwa salute na CDF,ila akivaa uniform kashajichanganya tayari ni askari mdogo kwa CDF,ndio maana mama kawazuia juzi.

wakati mstaafu mabeyo anakabidhiwa funguo na cdf mpya,alipiga salute(tayari wenge hili)yeye ni senior kwa CDF aliyepo,anatakiwa apigiwe yeye salute sio yeye kupiga.
Salute ni salaam tu.Ndo maana Mabeyo alivyokuwa itv alipigia salute wakina farhia midle,joyce mhavile nk.

Mabeyo ni mtu wa kunyenyekeza!
 
Hakuna Kitendo Kimenishangaza na Kimeniuma kama kuona Juzi CDF na Chief of Staff wake wakienda Kiunyonge na Kiuhuruma kwa Waziri wa Ulinzi Kujitambulisha.

Sijawahi kuona popote pale Waziri wa Ulinzi anakuwa Juu ya Jeshi tena Kiprotokali wakati Jeshi ni Serikali Kificho ya Kimedani na inayojitegemea na ambayo ikiamua muda wowote ule ichukue hatamu ya nchi inaweza na huyo ( huyu ) Waziri wa Ulinzi anakuwa si lolote wala si chochote.

Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Mzee Mwinyi, Hayati Mkapa na kidogo Mzee Kikwete waliwaheshimu mno CDF's wa Vipindi vyao na walihakikisha hawalazimishi Jeshi kuwa ni sehemu ya Siasa na Utawala wa Kiserikali.

Hayati Rais Dkt. Magufuli alianza kwa mbaali kutaka Kummiliki CDF (japo alikumbana na Ugumu kidogo) kwakuwa CDF Mstaafu Mabeyo anajitambua na ameiva Kimedani (Kijeshi ) pamoja na Protokali zake zote.

Kama kuna Kitu kimenishangaza na naona HATARI fulani mbeleni huko ni kuona Awamu hii ya Rais Samia huyu Waziri wa Ulinzi Bi. Stegormena Tax akipewa Madaraka makubwa juu ya Jeshi na CDF wake kitu ambacho si Kizuri na siyo cha Kiutaratibu kabisa.

Kwa Kawaida ilitakiwa baada ya CDF Kuteuliwa basi Kiitifaki Waziri wa Ulinzi ndiyo alipaswa kwenda kwa CDF ila siyo CDF na Chief of Staff kwenda kwa Waziri wa Ulinzi huku wakiwa na Nyuso za Huruma kana kwamba Wameamrishwa na Mtu wakati Wao ndiyo wana Mandate ya Kuamrisha.

Namalizia kwa Kuwaasa na Kuwaonya enyi Watawala ( Wanasiasa ) kuwa chezeni na Vitu vyote ila msicheze na Taasisi Nyeti kama ya Jeshi na kutaka nao wawe Wanasiasa kama nyie wakati Kiuhalisia wao ni Wanamedani na wako kwa ajili ya Ulinzi na Usalama Uliotukuka wa Taifa letu hili la Tanzania.

Nichukieni, ila yafanyieni Kazi yote!!!
Unyonge mkubwa ni kwa watu wanaojifanya eti ni wa dini Na wanaotaka kupewa utakatifu kuivamia Zanzibar Na kuuwa maelfu ya watu Na kumfunga Waziri Mkuu wake Na mawaziri wake kwa zaidi ya miaka 10 bila kuwafikisha mahakamani
 
Back
Top Bottom