Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Mambo ya ovyo kivip mjumbeAcha kujustify mambo ya hovyo.
Binadamu tunategemeana mjumbe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ya ovyo kivip mjumbeAcha kujustify mambo ya hovyo.
Vyovyote tu itakavokuwa japo siombei hyo Hali Ila nimekuwa naona kila mtu Yuko busy na mji wake Sasa hii Mara chumvi, sijui kushare gesi staki Mimi kabisa, Kama Ni janga linipate nitapata tu msaada, hata sehemu nilipo na watu wangu wakaribu waelewa wakujushika mkonoUkipatwa na majanga inakuwaje
Malezi na makuzi yana matter sana.Vyovyote tu itakavokuwa japo siombei hyo Hali Ila nimekuwa naona kila mtu Yuko busy na mji wake Sasa hii Mara chumvi, sijui kushare gesi staki Mimi kabisa, Kama Ni janga linipate nitapata tu msaada, hata sehemu nilipo na watu wangu wakaribu waelewa wakujushika mkono
Ila uswahili wakuzoeana Pika nipakue siwezi, tukiwa watoto hata kula kwa watu ilikuwa mwiko Sasa utu uzima huu siwezi wallahMalezi na makuzi yana matter sana.
Umejiandaa kuitwa mbinafsi ?Ila uswahili wakuzoeana Pika nipakue siwezi, tukiwa watoto hata kula kwa watu ilikuwa mwiko Sasa utu uzima huu siwezi wallah
Kwa hiyo bora mazoea hayo wawe nayo wanaume.Yaan mim siwezi ruhusu aisee Mazoea ya kuingia nyumbani kwa watu bila kukaribishwa
Mazoea mabaya sana tena wanawake sisi kwa ugomvii heeeeeee
Hamna sera za kisiasa katika hili. Anayefanya hivi ni kwa utashi wake na anajua anachokipata kama ilivyoelezwa na muanzisha uzi. Kuwa wanaodai wakarimu ili siku usiyotarajia wanakuvamia na kuchukua au kudoea chochote ulicho nacho na hutakuwa na jinsi ya kuwakatalia.Hali hiyo inatokana na athari ya siasa ya UJAMAA na KUJITEGEMEA. Watz tunaishi kindugu, ni jambo zuri maana huchochea upendo kwenye jumuiya ya watu ingawa kwa ulimwengu wa leo tabia hiyo huwa ni kero. Siku hizi wanadamu wengi tumekuwa wabinafsi na wachoyo.
Hiyo ni roho mbaya kwa vipi? Mtu asipotaka kuzoeana kiasi hicho ni roho mbaya kwa vipi?Acha roho mbaya. Hatuishi milele; hao ndo watakuzika siku moja.
Acha ubishi wa kijinga kijingaSikubaliani na wewe, lakin pia sitaki kukuhamisha kwenye unachokiamini
Kwa hiyo bora mazoea hayo wawe nayo wanaume.
Atakuja kutusimuliaHili liko njiani kama halijafika bado