Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Tu assume mwanaume ambaye hajaoa na mwanamke ambaye hajaolewa, hawa wakiwa wanaishi wenyewe tu ni sahihi kwao kuishi maishi ya ku share share vitu na marafiki zao ?wageni waje kwa kukaribishwa na siku moja moja yaan mtu aishiwe gesi aje apikie kwangu mara sijui walete chakula huko ni kuchunguzana
Haya wagenj wanaume sipendi hasa hao mashemeji wanafiki tu
Waniite tu watanzania huwa hawana jemaUmejiandaa kuitwa mbinafsi ?
Sio wote mkuuWaniite tu watanzania huwa hawana jema
But majority wako hivo ukiwa busy ukawapa tu salamu na usipige nao majungu watasema una ringa na uki side nao ukinyanyua tu mguu Napo watasema tu. So Bora kuwa kauzuSio wote mkuu
That's meBut majority wako hivo ukiwa busy ukawapa tu salamu na usipige nao majungu watasema una ringa na uki side nao ukinyanyua tu mguu Napo watasema tu. So Bora kuwa kauzu
Tatizo wife kazoeana sana na hio familia.
binafsi sijalelewa kwenye mazingira ya kuzoeana kuingiliana vyumbani/kuombana vyakula tabia ya ajabu sana.
-Sina uchoyo natoa kadiri ya uwezo wangu kwa wahitaji nikiona mtu ananizoea zoea namkwepa kwakweli.
-Napenda privacy na familia yangu aisee [emoji849][emoji849] mazoea ya kuombana mchuzi ni uswahili uliopitiliza,inakwaza hata kama sio mchoyo
Halafu tabia ya kupika pamoja ni mbaya kuliko hamtachelewa kukwaruzana na kujualiana siri za familia maana hampiki tu bila kupepesa macho na mdomo mkigombana "Ndo mana kwako kupo hivi,ndo mana mumeo hivi /mwanamke utakua wewe vijiko vyako vimepinda)
....kwani umewahi iona maiti ikiozea barabarani ?Acha roho mbaya. Hatuishi milele; hao ndo watakuzika siku moja.
Hii story na ya mleta mada ni vitu viwili tofauti......nikiwa form 3 kuna jirani yetu alihamia kwenye jumba lake pale mtaani,alikuwa anafanya kazi BOT nadhani,alikuwa akitoka kazini akifika getini anabonyeza tu rimoti geti linafunguka anaingia kwake hana habari na watu,haongei na watu wala hajishughulishi na shda za mtaa,ila kwenye michngo mkienda kuomba michango anatoa vizuri ila hashiriki,siku ya siku mkewe alipata ajali na mtoto ote wakafariki,msibani hakwenda mtu hata mmoja sema mtaa mzima tulimchangia around 1.8m,ambzo alipeleka mjumbe toka siku hyo alibadilika na kwenda kuomba radhi kwa kila nyumba na tinted alitowaga.Ishi na watu vizuri hasa mtaani kwako haijalishi unauwezo gani au mamlaka gani kwani siku yakikukuta hao ndo wakwanza kukusaidia
Uswahilini kuko hivyo, ndivyo wanvyoishi masiha yao na unatakiwa uishi nao hivyo vinginevyo hapakufai, hama uende mahala pengine. Maandiko matakatifu yansema "iweni na busara kama nyoka, na wapole kama njiwa"Habari wadau,
Kuna jambo moja linakera ila naona wengine kama wanaona ni vizuri kwao, sasa inanifanya nijiulize nina matatizo au vipi. Ni kuhusu kupeana vitu na watu, hasa nyumbani na majirani. Sitaki Jirani anipe vitu vyake wala sitaki aniombe vya kwangu, labda awe ametokewa na shida ya kweli. Vitu vyenyewe ni kama vyakula, vifaa vya ndani, n.k
Aisee kuna nyumba za kota tumehamia mimi na wife hapa, kuna majirani wana roho nzuri lakini naona hii ni too much, wanapenda sana ku-share vitu, yaani kuna siku moja atamuita wife wakapike chakula cha pamoja, siku nyingine mwingine atapika chakula kisha atuletee wakati sisi tumeshapika, siku nyingine atawaambia mumpakulie kwa kuwa yeye hajisikii kupika siku hiyo, wakati mmepika cha size yenu pekee.
Kuna mmoja juzi katoka mkoani kaleta mazagazaga mengi kampa wife, sasa siku hiyo ndio natoka kunununa vyakula vya wiki nzima nakuta friji imeshajaa, sasa na wao unakuta siku wanakuambia gesi imeisha tunaomba tutumie jiko lenu.
Wife nishampiga marufuku kuomba ama kuchukua vitu kutoka kwa majirani lakini imekuwa mtihani kukataa na yeye akiwapa vitu kesho naye atakuja kuomba kwenu, hii inaharibu ratiba na bajeti kwani mimi ni mtu ninayependa kupangilia kila kitu changu kwa usahihi.
Naona ni kama tunalazimishana kuishi kijamaa wakati haya maisha sijayaozea kabisa, japokuwa nimekulia kijijini tulikuwa hatuombani vitu hovyohovyo, labda iwe imetokea shida ya kweli.
Sasa watu wengine niliowakuta hapa naona wanaiona ni lifestyle nzuri, najiuliza pengine mimi ndio nina roho mbaya ama hili linawakera pia baadhi yenu?
Mjinga mwenyeweAcha ubishi wa kijinga kijinga
Hiyo ni roho mbaya iliyopitiliza mipakaHabari wadau,
Kuna jambo moja linakera ila naona wengine kama wanaona ni vizuri kwao, sasa inanifanya nijiulize nina matatizo au vipi. Ni kuhusu kupeana vitu na watu, hasa nyumbani na majirani. Sitaki Jirani anipe vitu vyake wala sitaki aniombe vya kwangu, labda awe ametokewa na shida ya kweli. Vitu vyenyewe ni kama vyakula, vifaa vya ndani, n.k
Aisee kuna nyumba za kota tumehamia mimi na wife hapa, kuna majirani wana roho nzuri lakini naona hii ni too much, wanapenda sana ku-share vitu, yaani kuna siku moja atamuita wife wakapike chakula cha pamoja, siku nyingine mwingine atapika chakula kisha atuletee wakati sisi tumeshapika, siku nyingine atawaambia mumpakulie kwa kuwa yeye hajisikii kupika siku hiyo, wakati mmepika cha size yenu pekee.
Kuna mmoja juzi katoka mkoani kaleta mazagazaga mengi kampa wife, sasa siku hiyo ndio natoka kunununa vyakula vya wiki nzima nakuta friji imeshajaa, sasa na wao unakuta siku wanakuambia gesi imeisha tunaomba tutumie jiko lenu.
Wife nishampiga marufuku kuomba ama kuchukua vitu kutoka kwa majirani lakini imekuwa mtihani kukataa na yeye akiwapa vitu kesho naye atakuja kuomba kwenu, hii inaharibu ratiba na bajeti kwani mimi ni mtu ninayependa kupangilia kila kitu changu kwa usahihi.
Naona ni kama tunalazimishana kuishi kijamaa wakati haya maisha sijayaozea kabisa, japokuwa nimekulia kijijini tulikuwa hatuombani vitu hovyohovyo, labda iwe imetokea shida ya kweli.
Sasa watu wengine niliowakuta hapa naona wanaiona ni lifestyle nzuri, najiuliza pengine mimi ndio nina roho mbaya ama hili linawakera pia baadhi yenu?
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Ngoja jirani akugongee wife ndo akili itakaa sawa
Waniite tu watanzania huwa hawana jema
Huyo Sasa ndio mwanaume anaye jali familia Ni Raha iliyoje kuwa na mwanaume ambaye anaweza kwenda sokoni akaja na vitu sio wengine hurudi nyumbani na gazeti tu hata mkate umewashinda loh!Nimegundua una matatizo mengi sana.kitendo cha kufanya manunuzi ya chakula mwenyewe na wakati una mke ni janga hilo
Na vipi suala la kukuingilia kwenye idara yako ya jikoni, hilo nalo liko sawa?Huyo Sasa ndio mwanaume anaye jali familia Ni Raha iliyoje kuwa na mwanaume ambaye anaweza kwenda sokoni akaja na vitu sio wengine hurudi nyumbani na gazeti tu hata mkate umewashinda loh!
Mimi naona sawa tu mwanaume siku akija anipe support huongeza upendo na urafiki, sisi kwetu wanaume wanajua kupika Tena chakula kitamu Sana ndio tulivolelewa so Mimi sioni shida ukiwa mwanaume siku moja ukapika kwa familia yako.Na vipi suala la kukuingilia kwenye idara yako ya jikoni, hilo nalo liko sawa?
Sijakataa suala la mwanaume kujua kupika mbona wengi tunafahamu kupika, ninachouliza hapa....je ni sahihi mwanaume wako kuingilia mambo ya jikoni, mfano anakasirika akiona umemuazima mtu sahani, anakasirika akiona mtu anakuja kuomba apikie kwenye jiko lako maana la kwake gesi imeisha, ananuna jirani yako akija kuomba umuongezee unga kidogo amepata wageni, anajua hadi idadi ya vijiko nk.Mimi naona sawa tu mwanaume siku akija anipe support huongeza upendo na urafiki, sisi kwetu wanaume wanajua kupika Tena chakula kitamu Sana ndio tulivolelewa so Mimi sioni shida ukiwa mwanaume siku moja ukapika kwa familia yako.
Mimi naona mwanaume Yuko sahihi kabisa Mimi binafsi staki mazoea hayo ya kuombana chumvi Mara ku share jiko sijui msosi huko Ni kutokujielewa tu na kuharibiana budget kwa kweli. Mimi mwenyewe nikiwa Sina hicho kitu siombi, maana omba omba huwa nikujizalilisha na ulizoea vya bure unalemaa, so Mimi siwezi subiri mwanaume anikataze naweza ku handle mapema tu hyo situation.Sijakataa suala la mwanaume kujua kupika mbona wengi tunafahamu kupika, ninachouliza hapa....je ni sahihi mwanaume wako kuingilia mambo ya jikoni, mfano anakasirika akiona umemuazima mtu sahani, anakasirika akiona mtu anakuja kuomba apikie kwenye jiko lako maana la kwake gesi imeisha, ananuna jirani yako akija kuomba umuongezee unga kidogo amepata wageni, anajua hadi idadi ya vijiko nk.