Sipendi kuona mume wangu anakosa hela, huwa nampa hela, je inatokea kwa wanandoa wote?

Sipendi kuona mume wangu anakosa hela, huwa nampa hela, je inatokea kwa wanandoa wote?

nimesoma mara tatu nikidhani kuna kitu nimeruka lakini kumbe ndicho nacho kisoma ikanilazimu nielewe .. me nahitajika kufanyiwa maombi hapa yenyewe namdai elfu tatu yangu nimemwambia jioni anipe ha hahahaha sipetezi hata sh kwake



ahhahahahaha yaan leo nimeshindwa vunga aisee hahahhaa we kiboko! uwiiii mie sina neno! namuomba mwaka 2020 aje pia hapa kutupa nmrejesho! hahaha we mie sikuwez! mie najifuna niwe km ww aise! na nitaweza
 
Ndoa ni yenu wawili lakini kila mmoja anatimiza malengo yake kivyake cha kushangaza zaidi wewe upo busy kumsuport mwenzio mbona yeye hakusupport?hakuna hata sehemu moja umesema yeye naye alitoa pesa akakupa ili ufanye kitu Fulani..ni wewe tu ndio mtoaji..kweli huu ndio upendo wa mshumaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ahhahahahaha yaan leo nimeshindwa vunga aisee hahahhaa we kiboko! uwiiii mie sina neno! namuomba mwaka 2020 aje pia hapa kutupa nmrejesho! hahaha we mie sikuwez! mie najifuna niwe km ww aise! na nitaweza
upate anayekuelewa ukipata kama wa huku wapenda vitonga utaachika .
 
Baada ya kuingia katika ndoa huna ndoto binafsi sasa. Kwa sasa unatakiwa kuwa na ndoto za pamoja kama wanandoa! Kama unaridhika na unayoyafanya na mme wako endelea kuhakikisha ndoa yenu inaendelea hivyo hivyo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahaaaaaa haaaa. Shost upo?

Kuna kitu nimekiona kwa bidada yaani ile " she didn't expect...... "

Ngoja nikae kimya tusikilize wanaume vitonga wakiendelea kumsifia![emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo shost........ngoja tuwasikilize wapenda vitonga shoga angu na tutawajua leo
 
Habari wapendwa.Naomba kwa wale wanandoa mnisaidie hapa kama ni kawaida kwa wanandoa ama ni nini? .
Namshukuru Mungu tulipata kuoana na mume wangu ,kweli Maisha ni mazuri tunafurahia ndoa yetu na watoto wetu pia. Namshukuru Mungu pia amenipa mume ambaye sio mlevi wala mpenda starehe yaani inshort hela hachezei anafanyia vitu vya maana sana.kuna wakati tulifungua joint account ilivyofika kiwango tulikuwa tunataka tukakubaliana akazitoa na akafanyia kazi nzuri sana kwa uaminifu.Na pia mara nyingi nikiwa na hela ambazo najua sizitumii kwa muda huo nampa anafanyia biashara zake baadaye nikihitaji anazirudisha.

Kabla na baada pia ya kuolewa niko ndoto nyingi ya mimi kufikia level fulani na nilimshirikisha pia na akalifurahia.
Sasa tatizo linakuja kwamba kweli mpaka leo karibia miaka minne sasa hakuna kitu nimefanya katika kuachieve ndoto zangu,nimepiga kihatua kidogo sana,Hela naweka akiba inafikia kabisa kiasi nataka kutimiza malengo yangu but najikuta tu nimempea mume wangu bila yeye kuniambia nimsaidie.yaani niko hivi sipendi kuona mume wangu hana amani au akiwaza wapi apate hela au akiniambia hasara aliyopata katika business smtms nachukua card yangu ya bank naenda kutoa hela zote nampea kwa kumwambia hii hela siko na kazi nayo na naona niweke huko kwa business yako so zitumie tu kule usirudishe. (But lengo langu ni kutaka tu ajisikie vizuri pamoja na hasara aliyoiopata hela nyingine imekuja)Na ukimpa anapeleka pale kwa uaminifu kabisa.
Hela ya matumizi akinipa kweli namrudishia sijui kwanini but naona tu kwanini nichukue hela wakati mahitaji madogomadogo ya nyumbani naweza toa hela na vile bado hatujaanza kusomesha so mahitaji sio mengi si bora hiyo hela aendelee kuizungusha kwa biashara.basi naona tu hivyo na nakuwa na amani.weekend hii ilikuwa nikachukue frame ya kufanyia kabiashara kangu(hili hata sikumwambia kwamba nimeshapata frame) but juzi akaniambia habari ya kiwanja alichokiona mjini sehemu nzuri sana na kina title na alipokuwa anaongea anaonesha kabisa kwamba we real need that land.Hakuniambia toa hela wala nini but mimi "emoj mwenyewe nikamwambia niko na pesa nikaenda bank ninedraw
Hela zote hadi za mtaji wa biashara yangu ninayofanya online nimempea.nimebakiwa tu na 100k za kuniweka hadi mwisho wa mwezi nianze upya kusave .

Wapendwa jamani hii ni kwangu tu ama ni kwa wanandoa wote???.sifanyi chochote kuachieve my dreams but niko na Amani sana ndani ya moyo wangu kwa sababu my husband is so happy napenda tu kumwona anafuraha sitaki kabisa apate stress kisa hela au kisa mambo yake hayaendi vizuri.namuombea sana na pale naweza kutoa pesa natoa sana na pale pa kumencourage namuencourage sana na kwa mimi hakuna kitu mimi nimejifanyia and am happy.hii itakuwa ni nini??? [emoji23][emoji23][emoji23].

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni mmoja kati ya wanawake 100 wa kitanzania,huu ndio upendo wa kweli,mkishaingia kwenye ndoa kitu chako ni cha mumeo na cha mumeo ni cha kwako,kuna wimbi kubwa sana la wanawake ambao pamoja na kuwa kwenye ndoa lazima ahakikishe kuwa hela yake anaitumia kujitafutia mali zake ambazo zitakuwa ni zake ili hata kama itatokea amekufa mali hizo ni bora zichukuliwe na ndugu zake kuliko kuchukuliwa na mumewe,ni hatari sana hasa kwa dunia ya sasa hivi ambapo wanawake wanaishi kwa kujihami kunakowaondolea upendo wa kweli kwenye mioyo yao.
 
ney had nakohoa kwa kucheka ujue wewe ni shigderrrrrr! we nawe una wivu tu !
Wivu wapi Mbiti mie kwenye maelezo yake sijaona faida zaidi ya hasara tuu eti nampea nampea bongo not applied labda Kenya, huku kwetu ukiwa na moyo huo ni unamtengenezea mumeo nafasi ya michepuko tuu maana hawezi kuumiza kichwa hata akipanguswa mifuko yote hatokuwa na wasiwasi maana akirudi nyumbani kuna wakumpea [emoji57]
 
msome lovebitelol amemshauri hizo dreams waachie wanaume ukishaolewa ni dream tosha kwa mwanamke! kamsome mamy!
No, sidhani kama mtu huwezi kuwa na personal dreams ukiingia kwenye ndoa. Tofauti ya kabla na baada ya kuingia ndoani ni kuwa kabla ya ndoa huna sababu ya kumshirikisha mtu, lakini ukishakuwa ndani ya ndoa ni LAZIMA umshirikishe mwenzako zile dreams zako.

Kama ni elimu, mwambie unahitaji kuchukua master's degree, CPA, etc ili mjue jinsi ya kupangilia ratiba za malezi ya watoto, mjue jinsi ya kuweka kipato kitoshe elimu na familia.

NOTE: Hapa naongelea familia zenye uhai, kuna ndugu zangu familia zimeshakufa kibudu, wao hili haliwahusu, kila mtu anajifanyia lake. Ni kama wapo "hostel" kila mtu ana maisha yake.
 
Acha ujinga wewe tengeneza dream zako, jamaa aki-dead( japo sikuombei) ndugu watavipurusa vyote afu hutajiona mjinga. Mwache mwanaume apambane mwenyewe
Mkuu unampotosha. Sidhani kama unajua sheria za mirathi.
 
Ndoa ni yenu wawili lakini kila mmoja anatimiza malengo yake kivyake cha kushangaza zaidi wewe upo busy kumsuport mwenzio mbona yeye hakusupport?hakuna hata sehemu moja umesema yeye naye alitoa pesa akakupa ili ufanye kitu Fulani..ni wewe tu ndio mtoaji..kweli huu ndio upendo wa mshumaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana nikauliza pia, unampa support, je mnashirikishana katika mapato na faida? Hizo dreams zako kwa nini usimshirikishe ili awe supportive kama wewe unavyompa support?
CC Emoj
 
Habari wapendwa.Naomba kwa wale wanandoa mnisaidie hapa kama ni kawaida kwa wanandoa ama ni nini? .
Namshukuru Mungu tulipata kuoana na mume wangu ,kweli Maisha ni mazuri tunafurahia ndoa yetu na watoto wetu pia. Namshukuru Mungu pia amenipa mume ambaye sio mlevi wala mpenda starehe yaani inshort hela hachezei anafanyia vitu vya maana sana.kuna wakati tulifungua joint account ilivyofika kiwango tulikuwa tunataka tukakubaliana akazitoa na akafanyia kazi nzuri sana kwa uaminifu.Na pia mara nyingi nikiwa na hela ambazo najua sizitumii kwa muda huo nampa anafanyia biashara zake baadaye nikihitaji anazirudisha.

Kabla na baada pia ya kuolewa niko ndoto nyingi ya mimi kufikia level fulani na nilimshirikisha pia na akalifurahia.
Sasa tatizo linakuja kwamba kweli mpaka leo karibia miaka minne sasa hakuna kitu nimefanya katika kuachieve ndoto zangu,nimepiga kihatua kidogo sana,Hela naweka akiba inafikia kabisa kiasi nataka kutimiza malengo yangu but najikuta tu nimempea mume wangu bila yeye kuniambia nimsaidie.yaani niko hivi sipendi kuona mume wangu hana amani au akiwaza wapi apate hela au akiniambia hasara aliyopata katika business smtms nachukua card yangu ya bank naenda kutoa hela zote nampea kwa kumwambia hii hela siko na kazi nayo na naona niweke huko kwa business yako so zitumie tu kule usirudishe. (But lengo langu ni kutaka tu ajisikie vizuri pamoja na hasara aliyoiopata hela nyingine imekuja)Na ukimpa anapeleka pale kwa uaminifu kabisa.
Hela ya matumizi akinipa kweli namrudishia sijui kwanini but naona tu kwanini nichukue hela wakati mahitaji madogomadogo ya nyumbani naweza toa hela na vile bado hatujaanza kusomesha so mahitaji sio mengi si bora hiyo hela aendelee kuizungusha kwa biashara.basi naona tu hivyo na nakuwa na amani.weekend hii ilikuwa nikachukue frame ya kufanyia kabiashara kangu(hili hata sikumwambia kwamba nimeshapata frame) but juzi akaniambia habari ya kiwanja alichokiona mjini sehemu nzuri sana na kina title na alipokuwa anaongea anaonesha kabisa kwamba we real need that land.Hakuniambia toa hela wala nini but mimi "emoj mwenyewe nikamwambia niko na pesa nikaenda bank ninedraw
Hela zote hadi za mtaji wa biashara yangu ninayofanya online nimempea.nimebakiwa tu na 100k za kuniweka hadi mwisho wa mwezi nianze upya kusave .

Wapendwa jamani hii ni kwangu tu ama ni kwa wanandoa wote???.sifanyi chochote kuachieve my dreams but niko na Amani sana ndani ya moyo wangu kwa sababu my husband is so happy napenda tu kumwona anafuraha sitaki kabisa apate stress kisa hela au kisa mambo yake hayaendi vizuri.namuombea sana na pale naweza kutoa pesa natoa sana na pale pa kumencourage namuencourage sana na kwa mimi hakuna kitu mimi nimejifanyia and am happy.hii itakuwa ni nini??? [emoji23][emoji23][emoji23].

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimependa hapo, "BIASHARA NAYOFANYA ONLINE" tushirikishe na sisi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
No, sidhani kama mtu huwezi kuwa na personal dreams ukiingia kwenye ndoa. Tofauti ya kabla na baada ya kuingia ndoani ni kuwa kabla ya ndoa huna sababu ya kumshirikisha mtu, lakini ukishakuwa ndani ya ndoa ni LAZIMA umshirikishe mwenzako zile dreams zako.

Kama ni elimu, mwambie unahitaji kuchukua master's degree, CPA, etc ili mjue jinsi ya kupangilia ratiba za malezi ya watoto, mjue jinsi ya kuweka kipato kitoshe elimu na familia.

NOTE: Hapa naongelea familia zenye uhai, kuna ndugu zangu familia zimeshakufa kibudu, wao hili haliwahusu, kila mtu anajifanyia lake. Ni kama wapo "hostel" kila mtu ana maisha yake.


hahahah sasa kuna mwanaume mwenzakokasema achana na dreams ukishaolewa ni dream toshaaaa!dream waachie wanaume kasema
 
usifanye hivo bila kushiriki kwenye hizo biashara sabb si zake ni zenu ..mchango wa fedha unatoa na mawzao pia uchangie,,halafu acha kutoa kila wakat fanya na wewe kile unachotamani kufanya,,mimi nazani nilikua dizain hizo ila siku hizi nafanya nachotaka kufanya lkn sio kwa siri..
 
Wivu wapi Mbiti mie kwenye maelezo yake sijaona faida zaidi ya hasara tuu eti nampea nampea bongo not applied labda Kenya, huku kwetu ukiwa na moyo huo ni unamtengenezea mumeo nafasi ya michepuko tuu maana hawezi kuumiza kichwa hata akipanguswa mifuko yote hatokuwa na wasiwasi maana akirudi nyumbani kuna wakumpea [emoji57]



hahhahahahahhaha uwiiiiii!jaman mie !kha! mie niliwah fanya upupu huu kushirikiana nae kwenye biashara hahahaha kila week anapita dukan anabeba mshiko wa maaan anaenda bar!hahaha lol! mwingne hanywi lakini anamalizia kwa chepuko lol! mie nilivyowajua hawa uwiiii nanenepa tu yaan
 
Back
Top Bottom