Sipendi kuona mume wangu anakosa hela, huwa nampa hela, je inatokea kwa wanandoa wote?

KAMA ICHO UNACHOWEKEZA KWA MUMEO KAMA KINA IMPACT KWA FAMILIA AS WHOLE FINE ILA KAMA KWA MUMEO TU IYO IMEKULA KWAKO
 
Basi kila unalofanya liko sawa....
Kila la kheri Mbarikiwe zaidi na zaidi
 
Hahaaa mpendwa nadhani hujanielewa hajawahi niambia nimpe hela .ni mimi mwenyewe tu kwa kumsoma natoa hela mwenyewe bila kuambiwa nipe. Kuhusu mapato ya biashara yake he is very open.hanifichi chochote na faida naiona akifanyia kazi nzuri sana na before hajafanya kitu analeta mezani tunajadiliana na akitoa point uwiii naona maisha si ndo hayo sasa.point zimeenda shule basi nakubali na anafanya vilevile amesema. Na risiti kila kitu viko open.uzuri sisi hakuna kitu tunafichana kila kitu kipo wazi kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wanaume lazima wakusifie
life is for living kama uko happy that's is life
Sifa atapata nyingi sana. Mwanaume nae keshamjulia akilialia tu anapewa.
Sio kitu kibaya kama tu hizo business ni za familia kwa ujumla.
Mwingine ukimpa hela anaenda kutunza nyumba ndogo. Na pia inakuaje mtu una uwezo hivyo ushindwe kutimiza ndoto zako hata moja. Hakuna kitu kizuri kama kutimiza ndoto na kuwa na hela yako binafsi. Kusaidiana ni sahihi lakini isifanye ushindwe kutekeleza kile ambacho umekusudia.
Na hizo mali za mume zipo kwa majina gani?
Mfano mume anunue kiwanja kwa jina lake wkt mimi nimechangia hapana kwa kweli..kama kina jina letu wote nampa hela hakuna tatizo.
 


nadhan basi hakukuwa na haja kuja hapa kujiuliza mamy!... kila la heri
 
Unafanya vyema ila kuna shetani wa ubinafsi anakunyemelea....kwanza tubu kwa kufanya mpango wa frame bila kumshirikisha....ndoa ni mwili mmoja...achana na mawazo ya vijiwen kufanya mambo bila kumshirikisha mume....utapotea na watakucheka baadae

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nadhan basi hakukuwa na haja kuja hapa kujiuliza mamy!... kila la heri
Ni kweli maana anatoa kwa moyo bila kulalamika. Hapa tutaishia kumshangaa na kumbadilisha mawazo abadilike kwa mumewe kitu ambacho sio kizuri. Kama anafanya kwa upendo na furaha aendelee hivyo hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…