Sipendi Morning Glory

Game itanoga ikiwa timu zote pinzani zikiwa zinacompete ushindi.

Timu moja ikisema bora ikamilishe ratiba hiy inakuwa sio gemu tena, hata tumu iliyokuwa na mori inakosa nguvu za kupambana au kuendelea na mechi
 
Mmmh Leo tangu mchana huonekani,au nyie ndio team saa nane mchana ni full kuchosha feni na AC
🤣🤣🤣🤣

Jioni Sisi wakulima tunakuwa tumechoka saana. Tunapaswa kupumzika,

Asubuhi kabla ya kwenda tena shamba, unapata blessing saafi kabisaaaa. Kisha unaenda
 
Hao corporate women wengi michosho

Ukimkunja hata Mbuzi kagoma anasema eti anaumia 🙌

Wengi hupenda Kifo cha mende tu, na hawataki uende safari ndefu

Mwisho ni two shots utasema dozi ya Panadol 🙌
Mkuu unataka kumkunja mtoto wa watu kama mgebuka?? Usfanye hivyo bwana hilo tendo limebarikiwa bwana..two shots mbona unyama labda kama una mambo ya jogoo 2minutes chali...maana two shots zangu ni safari ya dar dodoma🔥🔥
 
Si ungemwambi tu hupendi hizo mambo kuliko kuvumilia kubakwa kila alfajiri?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…