Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Game itanoga ikiwa timu zote pinzani zikiwa zinacompete ushindi.Binafsi yangu pia napendelea zaidi kutombah nyakati za jioni(usiku) kabla ya kulala na sio asubuhi. Na enjoy zaidi mida hiyo kuliko asubuhi.
Ikilazimu namfanya asubuhi kwakuwa yeye anapendelea zaidi asubuhi sina budi kumkubalia kwakuwa hata yeye huwa analazimika kunipa maQu kabla ya kulala so ni win win situation, otherwise mmoja akitia tu ubinafsi na mazoea mmeisha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]Sio Kila kitamu kwako ni kitamu Kwa wote.
Watu wa viti virefu tunawazoom, mwisho mgongwe na bajaji za isakalilo😂😂Royal sijawahi ingia kabisa ila Miami nimekua nikienda mara moja moja.
Hao ukute wanapiga selfie Kwanza...kisha. Wakija kuanza game unakuta wanaongoza moja bilaKuna watu cha kwanza ni madakika mengi au huwa wanajilipua kimoja kabla ya mchezo?
Lecture bila vitendo ??Katoa lecture sana Mzee baba
Lazima nimkumbushe wajibu wake,Naona unamsusitizia mkweo🤣
🤣🤣🤣🤣Mmmh Leo tangu mchana huonekani,au nyie ndio team saa nane mchana ni full kuchosha feni na AC
Nimeshajaribu lakini kwa kulazimishwa aisee usingizi ni mtamu..weekend kidogo fresh lakini sio asubuhi hiyo jua lichomoze kwanzaHujaonja bado🤣🤣🤣🤣
Mkuu unataka kumkunja mtoto wa watu kama mgebuka?? Usfanye hivyo bwana hilo tendo limebarikiwa bwana..two shots mbona unyama labda kama una mambo ya jogoo 2minutes chali...maana two shots zangu ni safari ya dar dodoma🔥🔥Hao corporate women wengi michosho
Ukimkunja hata Mbuzi kagoma anasema eti anaumia 🙌
Wengi hupenda Kifo cha mende tu, na hawataki uende safari ndefu
Mwisho ni two shots utasema dozi ya Panadol 🙌
😂 alafu lije tendo gani?Tendo la ndoa lifutwe jamani.....😹
Atoto
Si ungemwambi tu hupendi hizo mambo kuliko kuvumilia kubakwa kila alfajiri?.My people how's weekend?
Yangu iko poa sana, nimechill pande za Kigamboni napata upepo wa bahari.
Sasa mambo yasiwe mengi, natamani kujua mitazamo ya wengine kwenye hili suala linalonichanganya akili, ni hivi.. Kwenye suala zima la kufanya mapenzi binafsi napenda sana kufanya mapenzi kuanzia saa 1900-0200, kinyuma na hapo kwangu najioneaga kero tu, sababu hasa za kupenda mida hii mnakuwa mna energy ya story, kama mnakunywa mmepiga vitu vyenu, mmeoga vizuri yaani ni hearts all over the room..
Sasa basi hamna kitu kinaniudhi mida ya alfajiri nistushwe na kitu kimesimama halafu navutwavutwa kweli huwa nachukia, mida ya alfajiri usingizi ni mtamu mnooo jamani, mswaki hamjapiga, mara hamjaoga aah mi nampa tu huku nimefumba macho bhana atajua yeye😒😒.... wenzangu vipi mnapenda ka morning glory?