Sipendi - Special thread

Yaani Hii imeshawah kunitokea tena sio Mara moja. Sasa ivi mtu data aje na machozi ya damu sikopeshi ng'o

Mkuu samahani unaweza ukanikopesha elfu kumi nitakurudishia baada ya wiki mbili....okoa jahazi mkuu wewe ndiye tegemeo langu.....Onyesha kujali mkuu....
 
Sipendi wale wanaonishauri nirudi bongo kisa jumuia yetu haina uwezo wa kusafirisha maiti ya mwana jumuia hivyo tunaomba michango.
 
Sipendi nikiwa kwenye daladala konda kuniuliza "una mia nikupe mia mbili?" sipendiiiii
 
Sipendi nikiwa kwenye daladala konda kuniuliza "una mia nikupe mia mbili?" sipendiiiii

Ha ha hà Au unampa buku afu , anakuuliza wangapi? Huku umekaa na mrembo au mshikaji pembeni!
 
Sipendi watu wanaopenda kuwasifia kua wenzao wanapesa balaa, wakati wenyewe wamebweteka bila kutafuta pesa, tena utawakuta wanatoa data aisee jamaa ana miradi, sijui ana magari sijui nini etc yaan utafikiri ndo kazi yao kusifia wengine.
Sipendiii wanaume wazima tunawasifia wenzetu? Tutafute pesa nasisi
 
sipendi dharau
sipendi mtu kujiona ni bora kuliko mwingine
sipendi mtu anayeleta u-serious kwenye utani
sipendi wanawake tegemezi
 
Siipendi tabia ya wadada kuomba vocha kila siku halafu hawapigi simu
 
sipendi tabia ya mtu kuniuliza kuhusu simu yangu, umenunua wapi, bei gani? niachie mwenyewe ww inakuhusu nini?
 
Sipendi mtu amepangiwa kazi halafu kwa makusudi hafanyi kama inavyotakiwa hali anafahamu
 
wapangaji wenzangu kunivizia kila niendapo chooni kwakuwa wanajua kuwa huwa ninajamba sana huku ushuzi nao ukiwa fantastic!

Hahahahahahaahahahaha!!!!!!!!!! Umeua mkuu Kula like yako. You have made my day
 
Sipendi mgomo wa madereva... Nilitembea km 50 kutoka home hadi job ( wasirudie tena)
 
Sipendi ID za jf huwezi kujua men or jike ni yupi
Badilikeni jamani wengine mnakosa bahati ya kutongozwa ohooooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…