Tee Bag
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 7,220
- 5,622
Sipendi nimevaa nguo au handbag halafu mtu ananiuliza hadharani nimenunua bei gani!!
Sipendi watu wanaojiphotoa na kuipa mgongo kamera kuonyesha mzigo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sipendi nimevaa nguo au handbag halafu mtu ananiuliza hadharani nimenunua bei gani!!
Hahaha ndio zipi hizo mkuu 😀
Sipendi tabia ya mwanamke natoka kulala nae nampa hela pale pale anakataa, lakini tukipeana kisogo nakuta sms nirushie basi hiyo hela kwenye simu yangu, alafu kesho tunaweza kuonana tena.
Kuna tabia ndogo ndogo ambazo zinakera kwenye jamii lakini unashindwa kumuambia mtu live Kutokana na umri hadhi au aibu juu yake lakini vinakukera kila siku..
Kupitia uzi huu naomba tufikishe ujumbe kwa woote wenye hizo tabia wajirekebishe.. Au tujirekebishe pia kama tupo humu..
Naanza na hizi..
Sipendi baba kumbeba mtoto wake huku anavuta sigara..!
Sipendi kila ukifika usiku mtu anakutext "umelala"?
Mwisho tunasema "Acha hiyo ni tabia mbaya"
Sipendi mtu kukosoa gari la mwenzake wakati hana hata baiskeli.
Sipendi mtu kumringia mwenzake kwa kuwa anamiliki gari wakati magari ndo yanaongoza kwa kunyofoa roho za watu...wajanja wanajivunia utu wema dude of which hata baada ya maisha ya hapa kwa Kikwete bado Mbinguni tutakaa meza kuu na wateule....
Sipendi mtu kutumia lugha ngumu kumaanisha kitu rahisi.
Location yangu ni Tanganyika mkuu...!!
Location yangu ni Tanganyika mkuu...!!
Sipendi aliyeanzisha Uzi huu!Kuna tabia ndogo ndogo ambazo zinakera kwenye jamii lakini unashindwa kumuambia mtu live Kutokana na umri hadhi au aibu juu yake lakini vinakukera kila siku..
Kupitia uzi huu naomba tufikishe ujumbe kwa woote wenye hizo tabia wajirekebishe.. Au tujirekebishe pia kama tupo humu..
Naanza na hizi..
Sipendi baba kumbeba mtoto wake huku anavuta sigara..!
Sipendi kila ukifika usiku mtu anakutext "umelala"?
Mwisho tunasema "Acha hiyo ni tabia mbaya"
Hapana,, Zanzibar imemezwa na Tanzania sio Tanganyika.