Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Akili zimetokea wapi tena mkuu hii ya kujiona una akili zaidi ya wengine ni madhara ya kula ugali sana...mimi siwezi kukutukana uone tofautiSasa hizo nchi za Afrika kwa kutokula ugali wamekua na akili gani? Ni jambo gani wamefanya kuonyesha kwamba hua hawali ugali?
Wewe tu ulichokiandika tu unaonekana huna akili pamoja na kwamba huli ugali.
Upo sahii mkuuYan ujuaji ujuaji mwingiiiii huku hawana wachoelewa
Nafaka za asili za kiafrika zipo nyingi mkuu zaidi ya uwele,,fuatiliaNadhani uwele ndo nafaka ya asili ya Africa, na ulitimika kwa ugali na uji. Hizi nafaka nyingine nyingi zimeletwa ma wazungu. Problem ya uewele production yake ni ngumu sana. Unaliwa sana na ndege...hivyo ndo maana njaa zilikuwa haziishi.
Ingependeza kama ungezitaja mjuu ili tupate ufahamu.Nafaka za asili za kiafrika zipo nyingi mkuu zaidi ya uwele,,fuatilia
Nitafanya hivyo mkuuIngependeza kama ungezitaja mjuu ili tupate ufahamu.
We unazo? Wenye pesa sio wajinga wajinga kama wewe!Tafuta hela mama
Ugali sehemu nyingi una sumu, basi tu.Kwaio ugali unadumaza akili [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
Najua una exposure kubwa unaweza uka share mataifa mengi ya ulaya na Asia hata Amerika Huwa hawapendi kutumia hii nafaka katika Milo Yao....
Umezalishwa umeachwaπWe unazo? Wenye pesa sio wajinga wajinga kama wewe!
Wewe ni jobless una stress za maisha ndio maana unakurupukia watu usiowajua .
Mla ubwabwa wewe-bwabwa
Si amodoli na broiler wao wanapendelea sna kiepeKuku gani hao wasiopenda ugali?
Hapo kwenye kuku umepuyanga mzee
Mm nimewai kuwa ambia watu ugali sio mzur... Wenyewe wanakaza mafuvu..,ππππππβΊοΈβΊοΈUgali sehemu nyingi una sumu, basi tu.
White Flour: 21st Century Poison?
You might want to rethink your flour usage. When you reach for that white flour in the grocery store, maybe opt out and find a healthy alternative.Weβve probably all heard by now that white flour and foods made with white flour are bad for our health. But why? There are actually quite a few...sunwarrior.com
Inawezekana ni moja ya sababu Waafrika wanadumaa miili na akili.Ugali ndio kiboko ya muafrika.Jamii nyingi Sana hapa Afrika favourite meal yao Ni ugali
Tafuta hela ndiyo sifa pekee ya kudumu dunianiUna marinda lakini?Wewe ni mwanamume mwenzetu?baadaye usije kusema huna nguvu za kiume
Binadamu hutakiwi shiba, watakiwa utosheke. Mnashiba sana ndo maana hamna akili hadi Bandari mnauzamkuu matumbo yakizoa kula chakula fulani, kingine hayataweza. Wengine tumezoa kula ugali ndio tunashiba vizuri kuliko wali na ndizi. Ugali ndio chakula cha kushiba, vyakula vingine vinapoza tu njaa. Hizo nchi kwa kuwa hazitumii ugali labda wana vyakula vyao ambavyo wakila wanashiba kisawasawa
Hata Mahindi wazungu ndiyo wameleta kipindi cha njaaNadhani uwele ndo nafaka ya asili ya Africa, na ulitimika kwa ugali na uji. Hizi nafaka nyingine nyingi zimeletwa ma wazungu. Problem ya uewele production yake ni ngumu sana. Unaliwa sana na ndege...hivyo ndo maana njaa zilikuwa haziishi.
Katika vyakula ambavyo huwa sivishobokei ni Ugali mimi siupendi kabisa yaani sina stim nao kabisa.
Sazingine huwa nakula tu ndo wife au beki3 kaandaa lakini kiukweli ugali sio chakula nachokipa thamani japo familia yangu mke na watoto wanaupenda balaa.
Ni mara kibao nikirudi nyumbani nikikuta wamepika ugali nitapitiliza tu chumbani kulala au nitaomba wanitafutie mbadala.
Na mara nyingi wakiwa wanaandaa huwa wanajua kabisa kwahiyo mbadala lazima iwepo.
Sazingine huwa nakula tu ili siku ipite lakini ni chakula cha hovyo kabisa, mimi naweza kukaa hata mwaka nisile ugali na nikaona fresh kabisa.
Ni kawaida kwangu siku hizi kukaa wiki au wiki mbili bila kuutia ugali mdomoni.
Kuna kitu huwa kinanishangaza sana, kuna watu wanakula ugali mchana na usiku tena siku 7 za wiki duuuh tena ugali na yale madagaa ya ziwa victoria!! Sio kwa nia mbaya au nina ego hapana mimi ugali hapana bora nile ndizi mwezi nzima lakini sio ugali.
Uhifadhi wa chakula Tanzania ni mbovu sana. Asilimia kubwa hutumia madawa katika kupanda na kuhifadhi ila hawayaondoi hayo madawa.Ugali sehemu nyingi una sumu, basi tu.
White Flour: 21st Century Poison?
You might want to rethink your flour usage. When you reach for that white flour in the grocery store, maybe opt out and find a healthy alternative.Weβve probably all heard by now that white flour and foods made with white flour are bad for our health. But why? There are actually quite a few...sunwarrior.com