claudematemu
JF-Expert Member
- Jan 13, 2014
- 279
- 437
Hata mimi siupendi saana ila ugali dona ndo silagi kabisaa
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ViaziWakuu niongezeeni list ya vyakula baada ya hivi
Wali
Tambi
Ndizi
Pilau
hahan ndio huyu jamaa anatudhalilisha tunaopenda ugali😀 anaita chakula cha kuku Hata mimi nafuga kuku nawapa ngano na Michele anaopenda kula yeye😀Brother gily nakuona kaka...🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓
Wewe Mrs Van mbona huwa nawapa kuku Michele na ngano🤣 kwa hiyo tunaokula ugali hatuli hizo ngano? ila navyo ni vyakuka vya mifugo tuWacha kufananisha mchele na ngano na vitu vya ovyo[emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa maandazi, chapati, sambusa, cake etc utafananisha na ugali au kande kweli [emoji23][emoji23][emoji23] au pilau, wali nazi, birianiWewe Mrs Van mbona huwa nawapa kuku Michele na ngano[emoji1787] kwa hiyo tunaokula ugali hatuli hizo ngano? ila navyo ni vyakuka vya mifugo tu
Huyo hajielewi kabisa...makange ya kuku wakienyeji + ugali = to real 🥘 unakula hadi unatamani kisiishe kwenye sahani😂😂😂😂hahan ndio huyu jamaa anatudhalilisha tunaopenda ugali😀 anaita chakula cha kuku Hata mimi nafuga kuku nawapa ngano na Michele anaopenda kula yeye😀
HaswaaaahUgali ni mboga bhn....
Acha siasa zako, sema wewe unakula ugali na mamboga ya ajabu ajabu..
OVER
Atakuw ni mwanaume wa Dar. Nina majirani zangu they eat wali everyday. Hawa ndio hufa kwa Corona. .Huyo hajielewi kabisa...makange ya kuku wakienyeji + ugali = to real 🥘 unakula hadi unatamani kisiishe kwenye sahani😂😂😂😂
Hivyo vyakula unavyotaja maandazi sijui chapatu ukoachana na cake na visambusa, hivi unakunya kwa raha kweli? maana constipation ipoSasa maandazi, chapati, sambusa, cake etc utafananisha na ugali au kande kweli [emoji23][emoji23][emoji23] au pilau, wali nazi, biriani
Yan ujuaji ujuaji mwingiiiii huku hawana wachoelewaMadogo hamjui historia ya wabantu...kabla ya mahindi babu zetu walikua wanakula ugali wa nafaka mbalimbali...Tatizo madogo ujuaji mwingi na elimu zenu za degree.
Haya ndiyo mamboHaya Sasa.View attachment 2632173
Hahahahaaa! Ugali uko na ingredients 😂😂😂😂 dah! baby wife material toleo jipya 😂😂😂Ingredients za ugaliView attachment 2632208
Katika vyakula ambavyo huwa sivishobokei ni Ugali mimi siupendi kabisa yaani sina stim nao kabisa.
Sazingine huwa nakula tu ndo wife au beki3 kaandaa lakini kiukweli ugali sio chakula nachokipa thamani japo familia yangu mke na watoto wanaupenda balaa.
Ni mara kibao nikirudi nyumbani nikikuta wamepika ugali nitapitiliza tu chumbani kulala au nitaomba wanitafutie mbadala.
Na mara nyingi wakiwa wanaandaa huwa wanajua kabisa kwahiyo mbadala lazima iwepo.
Sazingine huwa nakula tu ili siku ipite lakini ni chakula cha hovyo kabisa, mimi naweza kukaa hata mwaka nisile ugali na nikaona fresh kabisa.
Ni kawaida kwangu siku hizi kukaa wiki au wiki mbili bila kuutia ugali mdomoni.
Kuna kitu huwa kinanishangaza sana, kuna watu wanakula ugali mchana na usiku tena siku 7 za wiki duuuh tena ugali na yale madagaa ya ziwa victoria!! Sio kwa nia mbaya au nina ego hapana mimi ugali hapana bora nile ndizi mwezi nzima lakini sio ugali.
....ongea taratibu na tema mate chini. Hata sisi wa hali ya chini hatuupendi ugali ....ila ndio hatuna uwezo wa kula tunavyovitakaKatika vyakula ambavyo huwa sivishobokei ni Ugali mimi siupendi kabisa yaani sina stim nao kabisa.
Sazingine huwa nakula tu ndo wife au beki3 kaandaa lakini kiukweli ugali sio chakula nachokipa thamani japo familia yangu mke na watoto wanaupenda balaa.
Ni mara kibao nikirudi nyumbani nikikuta wamepika ugali nitapitiliza tu chumbani kulala au nitaomba wanitafutie mbadala.
Na mara nyingi wakiwa wanaandaa huwa wanajua kabisa kwahiyo mbadala lazima iwepo.
Sazingine huwa nakula tu ili siku ipite lakini ni chakula cha hovyo kabisa, mimi naweza kukaa hata mwaka nisile ugali na nikaona fresh kabisa.
Ni kawaida kwangu siku hizi kukaa wiki au wiki mbili bila kuutia ugali mdomoni.
Kuna kitu huwa kinanishangaza sana, kuna watu wanakula ugali mchana na usiku tena siku 7 za wiki duuuh tena ugali na yale madagaa ya ziwa victoria!! Sio kwa nia mbaya au nina ego hapana mimi ugali hapana bora nile ndizi mwezi nzima lakini sio ugali.