HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Ulidanganywa wapi ni lishe?Ugali lishe broh! Yani upate kitu cha ugali maini acha kabisa wewe[emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulidanganywa wapi ni lishe?Ugali lishe broh! Yani upate kitu cha ugali maini acha kabisa wewe[emoji23][emoji23][emoji23]
Nenda hapo Uganda, Rwanda, Burundi, CAR, South Afrika, uone kama ugali ndo chakula chaoChakula kikuu cha waafrika kusini mwa jangwa la sahara ni ugali. Sasa kama kuna muafrika hali ugali huyo atakuwa ameishi ughaibuni. Wali, ndizi na viazi/mihogo ni chakula cha ziada tu. Kusema ugali unadumaza akili serikali ingeupiga marufuku kuula. Kama serikali haioni ugali kama una madhara tutaula sana
MabogaWakuu niongezeeni list ya vyakula baada ya hivi
Wali
Tambi
Ndizi
Pilau
Tafuta hela mbwa jike weweKama wewe ni mtu wa kula wali na chips hata show yako kitandani itakuwa ya hivyo hivyo. Watu tunapiga ugali Dona kwa nyama, na maziwa mgando. Nikimshika mama mpaka aseme nimechoka utaniua. Kila saa narudi juu
Ngano iko vizuri kuliko MahindiUgali wa mahindi mswahili yeyote ukisema ugali anajua wa mahindi...ngano na mtama Nchi nyingi wanalima na kutumia hizo nafaka hata kichwani wapo sawa tofauti na wala ugali harafu wanauamini balaa huwezi kuwaambia kitu kwa sababu washadumazwa...
Shida ni mahindi meupeShida ni ugali au shida ni mahindi.
Maana Kuna ugali wa nafaka za aina mbalimbali
Naa wali ukinywa maji unageuka nini?Ukila ugali akamaliza ukanywa maji humo tumboni unageuka uji.Ule ni uji ulioganda sio chakula bana.
Hapana wapo strong vibaya mno, kaka Yao ameanza kuattend boxing classesHao watoto si watakua wamelegea sana yan chakula chao kikuu unawalisha spaghetti, ndizi na wali?
kwa vyakula hivyo siyo mazoezi tu hata Kutembea umbali mdogo kwa miguu hawawezi unatengeneza bom moja baya sana huko mbeleni
Alokwambia wali ni unga ni nani mkuu hata picha hujuwi kuitazama.Mtu akila ugali akitapika anatapika nini na mtu akila wali anatapika nini? Ugali ni taka taka tu.Naa wali ukinywa maji unageuka nini?
Ni shabiki wa boxing? maana kwa vyakula hivyo yeye hata kurusha ngumi hatawezaHapana wapo strong vibaya mno, kaka Yao ameanza kuattend boxing classes
Bonge la lishe haswa tena upate dona au ugali wa ulezi na kuku wakienyeji rosti acha kabisa asikwambie mtu...Tafuta ujaribu kisha ulete mrejesho hapa..😂😂😂Ulidanganywa wapi ni lishe?
Haya Sasa.Bonge la lishe haswa tena upate dona au ugali wa ulezi na kuku wakienyeji rosti acha kabisa asikwambie mtu...Tafuta ujaribu kisha ulete mrejesho hapa..[emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo nitakula mboga tu! Hivyo vitu vyeupe hapo chini utavikuta hivyo hivyo kwakweli sitogusa kabisa, Nina miaka mitano sasa sijala wali!Haya Sasa.View attachment 2632173
Mi paka wangu nikipika ugali hali kabisa sijajua unamfanyajeNimechunguza nikabaini hata kuku,mbwa na paka au sisimizi nao hawaupendi kabisa
Kuna mchina aliujaribu akasema ni chakula kikavu sana,nusura atapike kwa kujilazimisha kuumeza