Sipendi Ujinga Special thread!

Sipendi Ujinga Special thread!

_Nipo kwenye daladala siti ya nyuma kabisa nimekaa na mrembo mzurii.sasa nikawa namtongoza kwa sauti ya chini sana watu wengine wasiskie,akawa hanijibu kitu,mala gafra akapayuka kwanguvu na kwa sauti ya juu iliyomshtua kila mtu._
*"Nimesema stakii,stakii tena unikome"*
_Nami nikamjibu kwa sauti ya juu vile vile_
*"Kama umejamba nisikwambie bhanaa,kwani ww nani?"*☹


*_MIMI SIO MTU WA MCHEZO MCHEZO_*
Sipendi kelele kabisaa


Ndio maana nipo
Nyumbani nasikiliza
CD empty


*sio mtu wa mchezo mchezo mimi*


Mliozaliwa mwezi wa tisa tunajua walichokuwa wanafanya wazazi wenu kipindi cha Christmas*

Hatupendi ujinga sisi
Hahah[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
sasa hivi kwenye daladala nimemgusa mtu mtu alokaa mbele ili apunguze sauti ya muziki wa simu yake; kwa kiherehere chake akanipa elfu kumi bila kunitizama akidhani mimi ni konda.
imebidi nishuke palepale kwa raha zangu.

sipendagi ujinga kabisa mimi
Daaah aisee nimecheka sanaaaa
 
Kuna Demu kamwita jamaa ake et Baee...!!! Jamaa kuckia vile akajua ameitwa BASHITE Demu saiv yupo muhimbili ana drip ya kumi..!!! Jamaa hapendi ujinga
 
Cheki nilichofanya
Nimeingia chumbani kwangu nikakuta panya wamekula dawa zangu za minyoo. Na mm kwakua ujinga sipendagi, nikachukua dawa yao nikainywa.
Sahivi naona nipo nimezungukwa na watu wamevaa madela meupe.

Sipendagi ujinga kabisa mm.
 
Back
Top Bottom