leo kitufe hakina hiyana!!!
ila huyu mamaa ya 'rehab' huyu kajivuta weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee cheki alivomalizia l ali-utirio la nguvu hapo!!!
mweeh mi sitaki kuusemea moyo wa mwingine, ngoja niendeelee kuishi kwa matumaini tu in my own imaginary world that B will never cheat on me
Mimi sijui kama mke wangu ana cheat, siwezi kuprove na wala simtilii mashaka. Hali kadhalika yeye hajui kama mimi nacheat. Hana mashaka.
Na hii ndoa nayoisemea hapa ina miaka kumi sasa. Yaani wife anaamini kabisa ndani ya miaka kumi sijawahi kugonga nje (Ambavyo obvious si kweli). Nami naamini hajawahi kucheat .........
Recently kumezuka tabia ya kuhalalisha sana kutoka na waume za watu au wake za watu. Tena bila aibu majigambo ya hao wagombea wenza ni kama, aah, yule anajuta kuoana na yule mwanamke/mwanaume, au hampendi basi tu kwa kuwa ni ndoa. au kwa mkewe/mumewe haridhishwi, au anaishi nae tu kwa ajili ya watoto, na mengine mengi mwaweza kuongeza. Lakini cha kunishangaza mie ni kwamba, inakuwaje mume wa mtu anakuja na kukwambia simpendi mke wangu ila wewe, na binti unaamini kabisa wakati kumuacha mkewe hamuachi ila anafanya kwa kificho? the same kwa wanawake wanaocheat kwa kisingizio simpendi mume wangu wakati unaishi nae kila siku. Mi nadhani ifike mahali tuukubali ukweli kwamba mke/mume wa mtu ndie the first one no matter what, hata ukiwa unatoka naye ujue ana familia na ukweli ulio wazi ni kwamba kwa nyumba ndogo anachofata ni 20% na 80% ziko kwa nyumba kubwa. Na mara zote ni wachache sana wanaokubali kuacha 80% na kufata 20%. So ukiwa unatoka na mume au mke wa tu ujijue we ni mshka pembe so no need to boost. au kwa ufupi kipoozeo. Tafakari na chukua hatua.
Hommie usipayuke sana tumia Vuvuzela kuita Eliza atakuelewa tu..Lol!!Mhudumuuuuuuuuuuuu!
Ndovu mbili baridi kwa Rosey pale, afu ita mtu wa jikoni haraka sanaaaa!
Hivi mtu anaamini kwamba spouse wake hatoki nje au mtu anajishawishi kwamba spouse ni wake pekee!
I know how ugly a cheat becomes when someone finds out about it!
Hivi mtu anaamini kwamba spouse wake hatoki nje au mtu anajishawishi kwamba spouse ni wake pekee!
I know how ugly a cheat becomes when someone finds out about it!
Recently kumezuka tabia ya kuhalalisha sana kutoka na waume za watu au wake za watu. Tena bila aibu majigambo ya hao wagombea wenza ni kama, aah, yule anajuta kuoana na yule mwanamke/mwanaume, au hampendi basi tu kwa kuwa ni ndoa. au kwa mkewe/mumewe haridhishwi, au anaishi nae tu kwa ajili ya watoto, na mengine mengi mwaweza kuongeza. Lakini cha kunishangaza mie ni kwamba, inakuwaje mume wa mtu anakuja na kukwambia simpendi mke wangu ila wewe, na binti unaamini kabisa wakati kumuacha mkewe hamuachi ila anafanya kwa kificho? the same kwa wanawake wanaocheat kwa kisingizio simpendi mume wangu wakati unaishi nae kila siku. Mi nadhani ifike mahali tuukubali ukweli kwamba mke/mume wa mtu ndie the first one no matter what, hata ukiwa unatoka naye ujue ana familia na ukweli ulio wazi ni kwamba kwa nyumba ndogo anachofata ni 20% na 80% ziko kwa nyumba kubwa. Na mara zote ni wachache sana wanaokubali kuacha 80% na kufata 20%. So ukiwa unatoka na mume au mke wa tu ujijue we ni mshka pembe so no need to boost. au kwa ufupi kipoozeo. Tafakari na chukua hatua.
Wanawake wanaamini
Wanaume tunajishawishi
kama unaweza kuishi na mwenzio kama mumeo au mkeo halafu humuamini hata chembe why live with that person in the first place? unaoa au kuolewa kwa nini kama unajua wanaume wote wanacheat? au wanawake wote wanacheat? kwa nini hamuaamini wenza wenu lakini hata kama hawajawapa reason to doubt them? na inakuwaje ushindwe kujua mkeo anacheat wakati unaishi nae, unalala nae every day? may be i am too naive but i cant get it.
mimi natumaini!!!!
usiwasemee watu(wanaume wenzio)...kama hukuwa na sababu ya kutoka nje ya ndoa ni wewe!
i agree kuna wanaotoka kwa uchu tu,but i bliv wengi hufata kile kinachokosekana ndani ya ndoa zao....
na nimeona wengi tu wana PRIDE ya hii kitu,hata ndani ya mada hii si umemuona hapo PASCO???if you felt different then you are one in a million!
being selfish and saddist,didnt you realize this in the first place???yaaani umekuja gundua this baada ya probably kumjengea tayari nyumba da sopphy?lol
its unfortunate hukupata ulichokifata nje ya ndoa,ama uliona huko hupati zaidi ya unachopata nyumbani...otherwise tungekuwa tunaongea mengine!... yes,akina da sopphy wataendelea kuwepo!so long as there is a'demand'
MJ,ningekuelewa zaidi kama usingekuwa kny hio statitistics za wanaume ambao wamewahi kucheat,LOL..
Thanks Carmel... good point; JE KUNA CHANCE KWAMBA WANANDOA WALIO NDANI YA NDOA KUKAA MIAKA KUMI BILA INFIDELITY? KAMA NDIO WHAT WOULD BE THE PERCENTAGE? [ACCORDING TO RESEARCH KAMA ZIPO]
Kuhalalisha kisichowezekana ni ngumu na kuharamisha kisichoepukika pia ni ngumu
kwa nini hamuaamini wenza wenu lakini hata kama hawajawapa reason to doubt them? na inakuwaje ushindwe kujua mkeo anacheat wakati unaishi nae, unalala nae every day? may be i am too naive but i cant get it.
Kakague kule naweee!! Nshakakandamiza tayari.
Ili muwe na uhakika kuwa hatuwacheat labda mtuweke kwenye handbag zenu mtembee na sisi 24/7. Na hapo pia bado tunaweza kuwacheat kwa imaginations au kwenye ndoto. Ikishindikana hata kwa sabuni kwakuwa najua hamtaweza kuambatana na sisi mpaka ch'ooni. LOLZ!
There are currently 22 users browsing this thread. (12 members and 10 guests)
Naona mmeweka kambi hapa lakini hamtaki kuchangia. Ngoja nisepe zangu niwahi sengareti za baridi kabla umeme haujakatika