Sipendi wanaohalalisha Infidelity

Sipendi wanaohalalisha Infidelity

leo kitufe hakina hiyana!!!
ila huyu mamaa ya 'rehab' huyu kajivuta weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee cheki alivomalizia l ali-utirio la nguvu hapo!!!

mweeh mi sitaki kuusemea moyo wa mwingine, ngoja niendeelee kuishi kwa matumaini tu in my own imaginary world that B will never cheat on me

Kakague kule naweee!! Nshakakandamiza tayari.

Ili muwe na uhakika kuwa hatuwacheat labda mtuweke kwenye handbag zenu mtembee na sisi 24/7. Na hapo pia bado tunaweza kuwacheat kwa imaginations au kwenye ndoto. Ikishindikana hata kwa sabuni kwakuwa najua hamtaweza kuambatana na sisi mpaka ch'ooni. LOLZ!
 
Mimi sijui kama mke wangu ana cheat, siwezi kuprove na wala simtilii mashaka. Hali kadhalika yeye hajui kama mimi nacheat. Hana mashaka.
Na hii ndoa nayoisemea hapa ina miaka kumi sasa. Yaani wife anaamini kabisa ndani ya miaka kumi sijawahi kugonga nje (Ambavyo obvious si kweli). Nami naamini hajawahi kucheat .........

Hivi mtu anaamini kwamba spouse wake hatoki nje au mtu anajishawishi kwamba spouse ni wake pekee!
I know how ugly a cheat becomes when someone finds out about it!
 
Recently kumezuka tabia ya kuhalalisha sana kutoka na waume za watu au wake za watu. Tena bila aibu majigambo ya hao wagombea wenza ni kama, aah, yule anajuta kuoana na yule mwanamke/mwanaume, au hampendi basi tu kwa kuwa ni ndoa. au kwa mkewe/mumewe haridhishwi, au anaishi nae tu kwa ajili ya watoto, na mengine mengi mwaweza kuongeza. Lakini cha kunishangaza mie ni kwamba, inakuwaje mume wa mtu anakuja na kukwambia simpendi mke wangu ila wewe, na binti unaamini kabisa wakati kumuacha mkewe hamuachi ila anafanya kwa kificho? the same kwa wanawake wanaocheat kwa kisingizio simpendi mume wangu wakati unaishi nae kila siku. Mi nadhani ifike mahali tuukubali ukweli kwamba mke/mume wa mtu ndie the first one no matter what, hata ukiwa unatoka naye ujue ana familia na ukweli ulio wazi ni kwamba kwa nyumba ndogo anachofata ni 20% na 80% ziko kwa nyumba kubwa. Na mara zote ni wachache sana wanaokubali kuacha 80% na kufata 20%. So ukiwa unatoka na mume au mke wa tu ujijue we ni mshka pembe so no need to boost. au kwa ufupi kipoozeo. Tafakari na chukua hatua.


Wewe naona unaishi katika dunia ya kusadikika na kuamini kwamba ndani ya ndoa zote kila kitu ni shwari kabisa. Kwanini mke/mume waendelee kuishi katika ndoa ambayo haina mapenzi haina kuthaminiana? Ni kwa sababu tu ya kutaka kuwadanganya walimwengu kwamba ndani ya ndoa yenu kila kitu ni shwari kabisa? Ni kweli wengi ndani ya ndoa wanafikiria mara mbili mbili kuachana ikiwa wana watoto katika ndoa hiyo na kuona kwamba kama wataachana na watoto wao bado wadogo basi wanaweza kabisa kupata shida kubwa baada ya kuvunjika ndoa hiyo. Fungua macho mama mtakatifu ili uone kwamba ndani ya ndoa kuna matatizo chungu nzima na mengi hayavumiliki ila kuna wengine wanaamua kuendelea kuwa pamoja for the sake of their children na wakati huo huo kupata burudani zao za kimapenzi nje ya ndoa zao na wengine huachana.
 
Hivi mtu anaamini kwamba spouse wake hatoki nje au mtu anajishawishi kwamba spouse ni wake pekee!
I know how ugly a cheat becomes when someone finds out about it!

Wanawake wanaamini
Wanaume tunajishawishi
 
Hivi mtu anaamini kwamba spouse wake hatoki nje au mtu anajishawishi kwamba spouse ni wake pekee!
I know how ugly a cheat becomes when someone finds out about it!

Wanaishi kusadikika hawa hawataki kuamini ukweli halisi wa dunia tuliyo nayo miaka hii.
 
Recently kumezuka tabia ya kuhalalisha sana kutoka na waume za watu au wake za watu. Tena bila aibu majigambo ya hao wagombea wenza ni kama, aah, yule anajuta kuoana na yule mwanamke/mwanaume, au hampendi basi tu kwa kuwa ni ndoa. au kwa mkewe/mumewe haridhishwi, au anaishi nae tu kwa ajili ya watoto, na mengine mengi mwaweza kuongeza. Lakini cha kunishangaza mie ni kwamba, inakuwaje mume wa mtu anakuja na kukwambia simpendi mke wangu ila wewe, na binti unaamini kabisa wakati kumuacha mkewe hamuachi ila anafanya kwa kificho? the same kwa wanawake wanaocheat kwa kisingizio simpendi mume wangu wakati unaishi nae kila siku. Mi nadhani ifike mahali tuukubali ukweli kwamba mke/mume wa mtu ndie the first one no matter what, hata ukiwa unatoka naye ujue ana familia na ukweli ulio wazi ni kwamba kwa nyumba ndogo anachofata ni 20% na 80% ziko kwa nyumba kubwa. Na mara zote ni wachache sana wanaokubali kuacha 80% na kufata 20%. So ukiwa unatoka na mume au mke wa tu ujijue we ni mshka pembe so no need to boost. au kwa ufupi kipoozeo. Tafakari na chukua hatua.

Thanks Carmel... good point; JE KUNA CHANCE KWAMBA WANANDOA WALIO NDANI YA NDOA KUKAA MIAKA KUMI BILA INFIDELITY? KAMA NDIO WHAT WOULD BE THE PERCENTAGE? [ACCORDING TO RESEARCH KAMA ZIPO]

Kuhalalisha kisichowezekana ni ngumu na kuharamisha kisichoepukika pia ni ngumu
 
kama unaweza kuishi na mwenzio kama mumeo au mkeo halafu humuamini hata chembe why live with that person in the first place? unaoa au kuolewa kwa nini kama unajua wanaume wote wanacheat? au wanawake wote wanacheat? kwa nini hamuaamini wenza wenu lakini hata kama hawajawapa reason to doubt them? na inakuwaje ushindwe kujua mkeo anacheat wakati unaishi nae, unalala nae every day? may be i am too naive but i cant get it.
 
kama unaweza kuishi na mwenzio kama mumeo au mkeo halafu humuamini hata chembe why live with that person in the first place? unaoa au kuolewa kwa nini kama unajua wanaume wote wanacheat? au wanawake wote wanacheat? kwa nini hamuaamini wenza wenu lakini hata kama hawajawapa reason to doubt them? na inakuwaje ushindwe kujua mkeo anacheat wakati unaishi nae, unalala nae every day? may be i am too naive but i cant get it.

Ni kama hivi;
Kama unajua lazima utakufa, kwanini ukiugua unaenda hospitali?
 
usiwasemee watu(wanaume wenzio)...kama hukuwa na sababu ya kutoka nje ya ndoa ni wewe!

i agree kuna wanaotoka kwa uchu tu,but i bliv wengi hufata kile kinachokosekana ndani ya ndoa zao....

na nimeona wengi tu wana PRIDE ya hii kitu,hata ndani ya mada hii si umemuona hapo PASCO???if you felt different then you are one in a million!

being selfish and saddist,didnt you realize this in the first place???yaaani umekuja gundua this baada ya probably kumjengea tayari nyumba da sopphy?lol

its unfortunate hukupata ulichokifata nje ya ndoa,ama uliona huko hupati zaidi ya unachopata nyumbani...otherwise tungekuwa tunaongea mengine!... yes,akina da sopphy wataendelea kuwepo!so long as there is a'demand'

MJ,ningekuelewa zaidi kama usingekuwa kny hio statitistics za wanaume ambao wamewahi kucheat,LOL..

Aisifuye mvua imemnyea!

PRIDE ya PASCO ni artificial na zaidi ya kuitoa hapa hawezi kwenda mbele ya Mama yake ama Baba yake Mzazi na kujidai kwamba yeye ni Kidume; au sio hivyo kama wana watoto hawezi kuja mwambia mwanawe I'm proud i did this to your MOM!

Na katu siwasemei na wala siwashurutishi wajihisi hivyo no! Nawaasa kuwa wasiongozwe na dhana potofu kama hizi; sio zama zake kwa wakati tulionao!

Yes sikugundua na ndivyo ilivyo kwa wanaofanya na watakaondelea kufanya; but should we do the same mistakes so that we learn on them? Kuna mtu anasema since life is too short we can learn from others; they can learn from me! nashukuru sikufikia hatua ya kumjengea da sophy!
Labda ni kwa neema tu niliponyoka! lol!
 
Thanks Carmel... good point; JE KUNA CHANCE KWAMBA WANANDOA WALIO NDANI YA NDOA KUKAA MIAKA KUMI BILA INFIDELITY? KAMA NDIO WHAT WOULD BE THE PERCENTAGE? [ACCORDING TO RESEARCH KAMA ZIPO]

Kuhalalisha kisichowezekana ni ngumu na kuharamisha kisichoepukika pia ni ngumu

Tukihalaisha kwa mahesabu haya tunapoteza maan ya ndoa; makosa yanafanyika na kweli yanaweza kuwa mengi sana tu! Ni sawa na kusema ok; kwa kuwa wizi umekua kwa kasi na karibu kila kaya ina mwizi basi tuhalalishe vitendo vyote vya wizi!

Tuliopona ktk janga na tusiomo kwenye mkondo huu tusimamie ukweli; haitusaidii kuikumbatia dhambi eti tu kwa sababu karibu kila mtu anafanya!

Hizi takwimu ndo hata wale advocates wa same sex marriages wanazitumia kuhalalisha uchafu wao!
 
kwa nini hamuaamini wenza wenu lakini hata kama hawajawapa reason to doubt them? na inakuwaje ushindwe kujua mkeo anacheat wakati unaishi nae, unalala nae every day? may be i am too naive but i cant get it.

No! you are not naive! Na ni rahisi sana kuwa cheated believe me umuamini usimuamini! if she/he is bound to cheat; ITATOKEA TU and there is nothing you can do about it!

Si unasikia hapa watu wanadai they have reasons to CHEAT; usishangae kesho wakasema they had reasons to KILL!
 
Look I wouldnt really like to deal with a woman in case my husband cheats on me... she is nobody to me... but I will deal with him and only him PERIOD.... because he swore to me he will be faithfully and So did I.... naona kuwalaumu kina Da Sophy haitasaidia kusolve problems...kama mwanaume hana adabu na hajiheshimu utachoka tuu kugombana na wanawake...how many women will u fight with?
 
si lengo langu kuwalaumu kina da sophy na sipo hapa pia kuwashangilia. when something is bad, it is bad period! hata kama wamefatwa na hao waume za watu wanayo haki ya kusema no. this is about morals, its either you have it or you dont have it, and this applies to both women and men. kama unajua huwezi kutulia kwenye ndoa yako dont get married, stay single and enjoy life with single people. otherwise kile kiapo kinakua hakina maana yoyote, and if you have morals you will understand this. Na pia kinachoniudhi ni baadhi ya hao wenza kuanza kuboost as if ni jambo la maana kumchukua mume au mke wa mtu without considering ulitongozwa, ulitongoza, au ulijitongozesha, it sucks.
 
Kakague kule naweee!! Nshakakandamiza tayari.

Ili muwe na uhakika kuwa hatuwacheat labda mtuweke kwenye handbag zenu mtembee na sisi 24/7. Na hapo pia bado tunaweza kuwacheat kwa imaginations au kwenye ndoto. Ikishindikana hata kwa sabuni kwakuwa najua hamtaweza kuambatana na sisi mpaka ch'ooni. LOLZ!

Na wewe Chrispin wewe ..hivi ukifanyiwa wewe si ndo utapata BP/Shell/Caltex /Oryx na kila aina ya magonjwa ?
 
Back
Top Bottom