Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo usipofanya kazi hayo mahitaji yako utayatimizaje? au bado upo upo home. Serikalini take home ya 1M si mchezo, yaani wawe wamekata kodi yao sichini ya laki 2.5 (TRA), mifuko ya hifadhi ya jamii (10-15%), bima ya afya (si chini ya 50,000/=), mkopo wa bodi kama ulikopa (15%), vyama vya wafanyakazi nk, nk. Na hata ujuzi huna ndo unaanza kazi!!!. Hata sector za mabenki binafsi kwa wanaoanza kama bank officers, hiyo take home ya 1M ni ngumu sana. Wacha kuishi ulimwengu wa ndoto jishikize ukiwa unagain experience na kupata connections.Ndugu, Bora ningepata hio laki nane, fursa nyingi napata microfinance, na wanataka niwe tayari kuanza na shilingi laki tatu na nusu. Sasa nawaza, maisha ndio yatakuaje? Hio Nile, nipange, niende saloon, nitoe sadaka kha
Muqche atapata ya net take home milion mbili na laki nane[emoji23]tukwambie ukweli au tukuache [emoji1787][emoji1787]
Ah ah yaleyale ya dem miaka 20 kuna mbwa mkali akifikisha 35 tunauza maji hapa...huyu dogo anaongelea gross ya million 2 kama ya kuanzia wakati huo mshahara wa manager ah ah dah maisha haya...uzuri atarudi tu hapa kuomba ushauri maisha yanakabatukwambie ukweli au tukuache 🤣🤣
Tumwambie ukweli au tumuache kwanzanimepaliwa na maji
Anatafuta kiki achana naeTumwambie ukweli au tumuache kwanza
Majumba saba hujambo? Hiyo avatar ni picha yako halisi? Mimi nipo tayari kukuajiri kwa hicho kiasi unachokitaka, fanya chap kunitafuta.Mie ni muhitimu wa degree ya kwanza ya Banking na Finance mwaka huu wa 2020 na nimepata GPA kubwa. Kinachonishtua ni ofa zinazo patikana ni mishahara kiduchu mno!
Kiukweli, over my dead body, sipo tayari kwa ajira ambayo take home yake ni chini ya milioni moja.
Hope zinapatikana bila shaka.
Mie ni muhitimu wa degree ya kwanza ya Banking na Finance mwaka huu wa 2020 na nimepata GPA kubwa. Kinachonishtua ni ofa zinazo patikana ni mishahara kiduchu mno!
Kiukweli, over my dead body, sipo tayari kwa ajira ambayo take home yake ni chini ya milioni moja.
Hope zinapatikana bila shaka.
wasikutishe mkuu kikubwa itunze thamani yako wasije kukutisha sijuwi mtaani kugumu! Wanasahau nawewe upo mtaani unayaelewa mazingira! humu duniani kila mmoja ana riziki yake na kama ipo, ipo tu
#nyie walimu wa mtaa kaeni kwa kutulia sio watu wote wana dhiki za hizo kazi za mia mbili mia mbili
Utakua unakaa kwenu au kwa shemeji yako, ukiwa mkubwa ukakaa kwako hiyo hela utaichukua tu,kuna watu wanachukua 300,000 wako hapa unakuja kuwatukana na kuwakejeli?Mie ni muhitimu wa degree ya kwanza ya Banking na Finance mwaka huu wa 2020 na nimepata GPA kubwa. Kinachonishtua ni ofa zinazo patikana ni mishahara kiduchu mno!
Kiukweli, over my dead body, sipo tayari kwa ajira ambayo take home yake ni chini ya milioni moja.
Hope zinapatikana bila shaka.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]tukwambie ukweli au tukuache [emoji1787][emoji1787]
Eti Abdallah shode....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Abdallah Shonde[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]