Sipo tayari kufanya ajira take home chini ya milioni moja

Sipo tayari kufanya ajira take home chini ya milioni moja

Mie ni muhitimu wa degree ya kwanza ya Banking na Finance mwaka huu wa 2020 na nimepata GPA kubwa. Kinachonishtua ni ofa zinazo patikana ni mishahara kiduchu mno!

Kiukweli, over my dead body, sipo tayari kwa ajira ambayo take home yake ni chini ya milioni moja.

Hope zinapatikana bila shaka.
Inategemea unatafuta ajira huku umesimama wapi,Kama Bado unakula na kulala nyumbani,na wazee wapo vzr, hapo hakuna shaka, lakini Kama wazee ni choka mbaya, na ulikuwa umepanga chumba,hata 400K,utachukua,la msingi hapa, utaendeshaje maisha bila kipato, ni ama, unasadiwa na wazazi/upo nyumbani, au mpenzi anakupiga tafu, lakini Kama huna vyote hivyo, mazeee,unaweza kwenda kuwa mlinzi wa SGA,
 
Kulingana na kazi yangu kama mlinzi wa taasisi moja ya serikali sometimes nakuwa dereva, sometimes nakuwa receptionist and so.
Wahitimu wa shahada ya kwanza wanaokuja kuomba kazi ya usafi kazini ni wengi sana. Sasa sijui ni ugumu wa maisha au wanatafuta connection tu!
Sipingani na mawazo yako ila ngoja nikuambie kitu.
Mimi niliwahi kukataa kazi ya police, jeshi na nilikataa kusomea ualimu.
Maisha yalinitandika mpaka nikanyoosha mikono.
Imagine sasa Mimi ni mlinzi , ningekuwa mjeshi sasa tayari ningekuwa na nyota 3.
Huku niliko nalipwa vizuri tu. Nimejenga, nina gari ya kutembelea lakini naichukia title hii ya "Mlinzi". Hata ujasiri wa kutaja kazi yangu mbele za umma sina

Usidharau kazi kazi ni kazi tu
 
Mie ni muhitimu wa degree ya kwanza ya Banking na Finance mwaka huu wa 2020 na nimepata GPA kubwa. Kinachonishtua ni ofa zinazo patikana ni mishahara kiduchu mno!

Kiukweli, over my dead body, sipo tayari kwa ajira ambayo take home yake ni chini ya milioni moja.

Hope zinapatikana bila shaka.
Una degree unaleta mashauzi wakati wife ana CPA na anaosha vyombo home 😁😁😁! Kenge wewe
 
Mie ni muhitimu wa degree ya kwanza ya Banking na Finance mwaka huu wa 2020 na nimepata GPA kubwa. Kinachonishtua ni ofa zinazo patikana ni mishahara kiduchu mno!

Kiukweli, over my dead body, sipo tayari kwa ajira ambayo take home yake ni chini ya milioni moja.

Hope zinapatikana bila shaka.
wenzako wana masters na wanatafuta kazi za kulipwa laki 2 na nusu. Kupanga ni kuchagua.
 
We bado ni kijana hujui kuhusu maisha na bado unaakili za chuo
Yani hivi nisome nimalze niende chuo nikimalza chuo nipate kazi nijenge Nyumba nzuri nioe MKE mzuri niwe na magari zaidi ya matatu niwe nawatoto.

NB:
Ndugu maisha hayapo kwenye system Kama unayofkria wewe na hakuna formula ya maisha inayoeleweka ama kuzoeleka Haya nakuacha utakuja huamini nachokwambia
 
Sikuona DP 😍😋😋😋😘 kwa hilo body ukiwa mjanja humalizi miezi 6 utakuwa kitengo mahala salama. Hakikisha unajisogeza kwa mameneja wa bank mjini na pia jiingize katika shughuli za kichama pia huenda ukapewa ukuu wa wilaya flani.
Mie ni muhitimu wa degree ya kwanza ya Banking na Finance mwaka huu wa 2020 na nimepata GPA kubwa. Kinachonishtua ni ofa zinazo patikana ni mishahara kiduchu mno!

Kiukweli, over my dead body, sipo tayari kwa ajira ambayo take home yake ni chini ya milioni moja.

Hope zinapatikana bila shaka.
 
Mie ni muhitimu wa degree ya kwanza ya Banking na Finance mwaka huu wa 2020 na nimepata GPA kubwa. Kinachonishtua ni ofa zinazo patikana ni mishahara kiduchu mno!

Kiukweli, over my dead body, sipo tayari kwa ajira ambayo take home yake ni chini ya milioni moja.

Hope zinapatikana bila shaka.
Wajuba,,

Tunazika Au Tunasafirisha,!?[emoji1745]
 
Kuna watu elimu zenu za ajabu kabisa!!

Hivi unashindwa hata kutumia akili yako kujifunza na kuelewa uhalisia wa mambo kupitia ajira za walimu? Unafikiri hao walimu ni wajinga kulilia ajira za serikali? Then unapata nafasi ya kulipwa such amount of money unaanzisha uzi ? You're not serious, kama unaona kwako ni ndogo ni heri ukae kimya na kuishia kujadili vijiweni na wenzio wenye akili sawa na zako,

Maneno ya kuandika yanauma mno kuliko ya kusemwa, uzi wako humu ni mwendelezo wa maumivu kwa wanaohangaika kupata hata ajira zenye mishahara ya laki mbili then you are talking about one milion? Uko serious kweli?


USIONYESHE FURAHA KWA WENYE MAJONZI, USIONYESHE PESA ZAKO KWA WASIO NA PESA, USIJITAMBE KUWA NA WAZAZI MBELE YA YATIMA



Maisha yangekuwa kama tunavyofikiri, basi tusingeona utamu wa maisha, ujumbe wako hapa unaumiza sana na kuonyesha kejeli kubwa kwa wasio na ajira.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mie ni muhitimu wa degree ya kwanza ya Banking na Finance mwaka huu wa 2020 na nimepata GPA kubwa. Kinachonishtua ni ofa zinazo patikana ni mishahara kiduchu mno!

Kiukweli, over my dead body, sipo tayari kwa ajira ambayo take home yake ni chini ya milioni moja.

Hope zinapatikana bila shaka.
Hahahahahahahaha
 
Back
Top Bottom