witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Hivooo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivooo?
Mkuu kuliko zile pisi ambazo wako vitengo vya sales kwenye makampuni makubwa mfano tigo, airtel, cocacola wanaotembeza vipeperushi africana, tangibovu, mwenge, makumbushoSikuona DP [emoji7][emoji39][emoji39][emoji39][emoji8] kwa hilo body ukiwa mjanja humalizi miezi 6 utakuwa kitengo mahala salama. Hakikisha unajisogeza kwa mameneja wa bank mjini na pia jiingize katika shughuli za kichama pia huenda ukapewa ukuu wa wilaya flani.
Ulikuwa hujui mishahara ya nchi hii?Mie ni muhitimu wa degree ya kwanza ya Banking na Finance mwaka huu wa 2020 na nimepata GPA kubwa. Kinachonishtua ni ofa zinazo patikana ni mishahara kiduchu mno!
Kiukweli, over my dead body, sipo tayari kwa ajira ambayo take home yake ni chini ya milioni moja.
Hope zinapatikana bila shaka.
Mwanza mjini Kuna mdada mmoja wa kichaga Ana masters in banking and finance alisoma nje ya nchi ( USA) alitafuta ajira Hadi Sasa anauza makande maofisini nakutafuta video yake soon nakupeni Ila wewe subilia huo mshahara na one degree yako
Poleee sanaNimepaliwa na maji
Kama uwez siukae kimya? Sasa unakuja huku kutafuta nn fala ww? Unajifanya msooomi! Wewe umepata kazi unachezea mbwa ww? Watu wanalipwa 100000 kwa mwez wanaendesha maisha yao ww unajifanya mjuaji?Mie ni muhitimu wa degree ya kwanza ya Banking na Finance mwaka huu wa 2020 na nimepata GPA kubwa. Kinachonishtua ni ofa zinazo patikana ni mishahara kiduchu mno!
Kiukweli, over my dead body, sipo tayari kwa ajira ambayo take home yake ni chini ya milioni moja.
Hope zinapatikana bila shaka.
[emoji1][emoji1][emoji1]We jamaa huwa una nyodo sana, kumbe ni mlinzi?[emoji848][emoji848][emoji849][emoji849][emoji849][emoji134]
Kwani kuta shida gani, ukitoka na kuingia na gari yako nakufungulia kiroho safi. Nami wakati natoka au kuingia wananifungulia piaWe jamaa huwa una nyodo sana, kumbe ni mlinzi?[emoji848][emoji848][emoji849][emoji849][emoji849][emoji134]
Wakati huo kuna watanzania wanalipwa 5k a day na wanaendesha familia zao wewe unawaza kwenda saloon tu ?Ndugu, Bora ningepata hio laki nane, fursa nyingi napata microfinance, na wanataka niwe tayari kuanza na shilingi laki tatu na nusu. Sasa nawaza, maisha ndio yatakuaje? Hio Nile, nipange, niende saloon, nitoe sadaka kha
Tumia title ya Afisa Mwandamizi wa UsalamaKulingana na kazi yangu kama mlinzi wa taasisi moja ya serikali sometimes nakuwa dereva, sometimes nakuwa receptionist and so.
Wahitimu wa shahada ya kwanza wanaokuja kuomba kazi ya usafi kazini ni wengi sana. Sasa sijui ni ugumu wa maisha au wanatafuta connection tu!
Sipingani na mawazo yako ila ngoja nikuambie kitu.
Mimi niliwahi kukataa kazi ya police, jeshi na nilikataa kusomea ualimu.
Maisha yalinitandika mpaka nikanyoosha mikono.
Imagine sasa Mimi ni mlinzi , ningekuwa mjeshi sasa tayari ningekuwa na nyota 3.
Huku niliko nalipwa vizuri tu. Nimejenga, nina gari ya kutembelea lakini naichukia title hii ya "Mlinzi". Hata ujasiri wa kutaja kazi yangu mbele za umma sina