miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nakumbuka 2014 namaliza chuo nikawa na mawazo kama haya. Aunt yangu ni HR benki moja hivi pale HQ. Akanambia nianze na salary ya laki 4. Nikasema mnanionaje[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]
Nikakataa jaman. Just on my graduu day ukumbini. Basi bwana, nikakaa miaka miwili nyumbani. Loh, sindo nikaanza ona uhalisia? Ntie nyie nyiee[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Nikakataa jaman. Just on my graduu day ukumbini. Basi bwana, nikakaa miaka miwili nyumbani. Loh, sindo nikaanza ona uhalisia? Ntie nyie nyiee[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]