Cvez
JF-Expert Member
- May 19, 2018
- 4,405
- 13,411
Tumuache kwanzaTukwambie ukweli au tukuache 🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumuache kwanzaTukwambie ukweli au tukuache 🤣🤣
Ahahahahaha.Tumia title ya Afisa Mwandamizi wa Usalama
Kuna title nzuri nyingi tu tena unaweza piga kimombo Chief Security Officer au Associate Security Officer. Usijitambulishe kama Door Guard 🤣Ahahahahaha.
Hilo nalo ni neno
36 months?Mkuu kuliko zile pisi ambazo wako vitengo vya sales kwenye makampuni makubwa mfano tigo, airtel, cocacola wanaotembeza vipeperushi africana, tangibovu, mwenge, makumbusho
Kuliko zile pisi ambazo zinapiga graduate trainee program crdb, nmb, tib tena hawa ndio wako smart nama gpa makubwa kutoka udbs ifm +cpa na wanapata tu posho, tena crdb unapiga kwa miezi 36 ukimaliza ndio wakufikirie ajira
Kuliko wale shombe shombe ambao wako kkoo wanaokaribisha wateja kwenye maduka naelimu zao wameweka pembeni
Bora hata ingekuwa kozi ya maana, hiyo ambayo anaweza kuwa replaced na malaki ya wahitimu huku mtaani asilimia 90 ya vyuo vyote wanatoa Bcom
Yaani sijui wale jamaa wa ifm, cbe,tia ,udbs ,institute of accountancy government huwa inawapeleka wapi[emoji22][emoji22] bora hata wanaosoma ba education
UmetishaKuna title nzuri nyingi tu tena unaweza piga kimombo Chief Security Officer au Associate Security Officer. Usijitambulishe kama Door Guard 🤣
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]We jamaa huwa una nyodo sana, kumbe ni mlinzi?[emoji848][emoji848][emoji849][emoji849][emoji849][emoji134]
Mkuu jiite tu "Security Officer"Kulingana na kazi yangu kama mlinzi wa taasisi moja ya serikali sometimes nakuwa dereva, sometimes nakuwa receptionist and so.
Wahitimu wa shahada ya kwanza wanaokuja kuomba kazi ya usafi kazini ni wengi sana. Sasa sijui ni ugumu wa maisha au wanatafuta connection tu!
Sipingani na mawazo yako ila ngoja nikuambie kitu.
Mimi niliwahi kukataa kazi ya police, jeshi na nilikataa kusomea ualimu.
Maisha yalinitandika mpaka nikanyoosha mikono.
Imagine sasa Mimi ni mlinzi , ningekuwa mjeshi sasa tayari ningekuwa na nyota 3.
Huku niliko nalipwa vizuri tu. Nimejenga, nina gari ya kutembelea lakini naichukia title hii ya "Mlinzi". Hata ujasiri wa kutaja kazi yangu mbele za umma sina
[emoji3][emoji3]Kuna mtu alikuitia ajira huku?
We subiri baada ya miezi sita utakua ufuta huu Uzi hapa na kuomba hata kazi ya kufagia kwa mama lishe.
[emoji16][emoji16]Umeshawaambia wazazi wako wsliokusomesha au umetuwahi wanajf kwanza?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Attitude is like a price tag. It shows how valuable you are (Anonymous).
**Kwa attitude hii, hutoboi. Endelea kuangalia tamthilia Hapo kwa shemeji.
Daahh ile avatar simchezo [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]Over my Dead body Kama huyo wa kwenye Avatar ndio wewe walah hicho kiuno na kalio utapata hata 2M take home, we tembea tembea tu utapata!!!
Ndio mkuu crdb miaka 3 ..tena haya mabank yana graduates wakutosha mpaka basi wanakuja na gia ya training programme malipo ni posho na ahadi ya ajira ukifaulu vizuri36 months?
Kweli watu Wanakaza[emoji848]
Nyinyi watoto wa shuleNdugu, Bora ningepata hio laki nane, fursa nyingi napata microfinance, na wanataka niwe tayari kuanza na shilingi laki tatu na nusu. Sasa nawaza, maisha ndio yatakuaje? Hio Nile, nipange, niende saloon, nitoe sadaka kha
Duh !GPA ya ngapi ? Na je? Unadhani waajiri wanaagalia sana GPA kuliko ujuzi wako? n.kMie ni muhitimu wa degree ya kwanza ya Banking na Finance mwaka huu wa 2020 na nimepata GPA kubwa. Kinachonishtua ni ofa zinazo patikana ni mishahara kiduchu mno!
Kiukweli, over my dead body, sipo tayari kwa ajira ambayo take home yake ni chini ya milioni moja.
Hope zinapatikana bila shaka.