Sipo tayari kufanya ajira take home chini ya milioni moja

Sipo tayari kufanya ajira take home chini ya milioni moja

Mie ni muhitimu wa degree ya kwanza ya Banking na Finance mwaka huu wa 2020 na nimepata GPA kubwa. Kinachonishtua ni ofa zinazo patikana ni mishahara kiduchu mno!

Kiukweli, over my dead body, sipo tayari kwa ajira ambayo take home yake ni chini ya milioni moja.

Hope zinapatikana bila shaka.
Katika vitu vinawatesa sana undergraduates wengi ni over expectations kwenye salaries.

Nikueleze hv mshahara haujawahi kumtosha yeyote, kinachofanya watumishi wa taasisi mbalimbali kuenjoy maisha ni vile wanavyotengeneza mazingira ya kuwa na pesa nje ya mshahara ambayo nyingi inategemea umejiwekezaje huko nje ya kazi yako.

Kwa sasa utakataa kila aina ya kazi unayopewa offer kwa ku-expect ipo siku utaitiwa offer itakayokutosha, ambayo kimsingi haipo isipokuwa kwa kuotengeneza mwenyewe ukiwa umeanza kazi.

Zinduka mdogo wangu, nguvu ya boom haitokuwepo tena, uncles, ba mdogo, brother na wategemezi wengine inafika point nao wananchoka na kuamini huenda ni mikosi ya wewe kutokupata kazi kumbe mkosi ni wewe mwenyewe!!!
 
Mie ni muhitimu wa degree ya kwanza ya Banking na Finance mwaka huu wa 2020 na nimepata GPA kubwa. Kinachonishtua ni ofa zinazo patikana ni mishahara kiduchu mno!

Kiukweli, over my dead body, sipo tayari kwa ajira ambayo take home yake ni chini ya milioni moja.

Hope zinapatikana bila shaka.
How good are you with international financial markets? Specifically the NYSE. Are you very good in computers? I might give you a part time position to help making trades and dealings. Also, how is your English language proficiency? What GPA did you get exactly?
 
Mie ni muhitimu wa degree ya kwanza ya Banking na Finance mwaka huu wa 2020 na nimepata GPA kubwa. Kinachonishtua ni ofa zinazo patikana ni mishahara kiduchu mno!

Kiukweli, over my dead body, sipo tayari kwa ajira ambayo take home yake ni chini ya milioni moja.

Hope zinapatikana bila shaka.
Una uzoefu wa muda gani?
 
Mie ni muhitimu wa degree ya kwanza ya Banking na Finance mwaka huu wa 2020 na nimepata GPA kubwa. Kinachonishtua ni ofa zinazo patikana ni mishahara kiduchu mno!

Kiukweli, over my dead body, sipo tayari kwa ajira ambayo take home yake ni chini ya milioni moja.

Hope zinapatikana bila shaka.
Wewe mjinga sana.
Nani akutafutie milioni nawe ukale tu.
Zitafute mwenyewe ujilipe, na ukiwa na akili nzuri wweza kujilipa zaidi ya milioni moja , hapo ukiingia biashara halali.
 
Kulingana na kazi yangu kama mlinzi wa taasisi moja ya serikali sometimes nakuwa dereva, sometimes nakuwa receptionist and so.

Wahitimu wa shahada ya kwanza wanaokuja kuomba kazi ya usafi kazini ni wengi sana. Sasa sijui ni ugumu wa maisha au wanatafuta connection tu!
Sipingani na mawazo yako ila ngoja nikuambie kitu.

Mimi niliwahi kukataa kazi ya police, jeshi na nilikataa kusomea ualimu.
Maisha yalinitandika mpaka nikanyoosha mikono.

Imagine sasa Mimi ni mlinzi , ningekuwa mjeshi sasa tayari ningekuwa na nyota 3.
Huku niliko nalipwa vizuri tu. Nimejenga, nina gari ya kutembelea lakini naichukia title hii ya "Mlinzi". Hata ujasiri wa kutaja kazi yangu mbele za umma sina
Bila shaka upo kwenye migodi ya wa canada
 
Attitude is like a price tag. It shows how valuable you are (Anonymous).
**Kwa attitude hii, hutoboi. Endelea kuangalia tamthilia Hapo kwa shemeji.
Duh ni kweli hawa mashemeji wanawadanganya wadogo zetu, mm nina ndugu wawili wana CPA wamesomea Banking na bado wamekosa kazi toka awamu hiyo iliyopita sasa wanabiashara mitaani ya kuuza vyombo na madawa ya wadudu sijui km wanapata hiyo milioni kwa mwezi.
Mm nashukuru nina vibanda nakodisha wafanyabiashara wananipa mara3 ya huo mshahara anaoutaka NILIKATAA KABISA KUAJIRIWA NA BINADAMU MWENZANGU saa moja afajiri mpaka saa 10 uwe kwake
vijana wamalizao masomo waache ndoto za ajira km hawana g/father haya mabenki kila siku yanakufa
 
Umesoma nje ya nchi Je? Na je? Kama umesoma nje ya nchi Nitafute
 
How good are you with international financial markets? Specifically the NYSE. Are you bery good in computers? I might give u a part time position to help with making trades and dealings. Also, how is your English language proficiency? What GPA did you get exactly?
Kadegree kenyewe ni ka pale jalalani..unathani atakua anajua maana NYSE?
 
Hawa wanachuo shemeji zao waliopita bila kupingwa Wana matarajio makubwa kuliko Hali halisi.
Maliza chuo uje field nikusaidie kubadili soli
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nakumbuka 2014 namaliza chuo nikawa na mawazo kama haya. Aunt yangu ni HR benki moja hivi pale HQ. Akanambia nianze na salary ya laki 4. Nikasema mnanionaje[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]
Nikakataa jaman. Just on my graduu day ukumbini. Basi bwana, nikakaa miaka miwili nyumbani. Loh, sindo nikaanza ona uhalisia? Ntie nyie nyiee[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Leo ni 2020 miaka sita mbele; mshahara ungekuwa umepanda, una uzoefu, ungekuwa umetengeneza connection za kutosha.
 
Kuna watu elimu zenu za ajabu kabisa!!

Hivi unashindwa hata kutumia akili yako kujifunza na kuelewa uhalisia wa mambo kupitia ajira za walimu? Unafikiri hao walimu ni wajinga kulilia ajira za serikali? Then unapata nafasi ya kulipwa such amount of money unaanzisha uzi ? You're not serious, kama unaona kwako ni ndogo ni heri ukae kimya na kuishia kujadili vijiweni na wenzio wenye akili sawa na zako,

Maneno ya kuandika yanauma mno kuliko ya kusemwa, uzi wako humu ni mwendelezo wa maumivu kwa wanaohangaika kupata hata ajira zenye mishahara ya laki mbili then you are talking about one milion? Uko serious kweli?


USIONYESHE FURAHA KWA WENYE MAJONZI, USIONYESHE PESA ZAKO KWA WASIO NA PESA, USIJITAMBE KUWA NA WAZAZI MBELE YA YATIMA



Maisha yangekuwa kama tunavyofikiri, basi tusingeona utamu wa maisha, ujumbe wako hapa unaumiza sana na kuonyesha kejeli kubwa kwa wasio na ajira.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Umenigusa Sanaa mkuu huyu ana wazazi ,ndugu wanajiweza na wanaweza kumsupport ,ilaaa akumbuke hawataishi milele na pia kuna magonjwa n.k wanaweza filisika .

Nakumbuka nilipokwenda kuanza form one shule moja ya bweni mm ndo nilikuwa na ahueni ya maisha kwahyo nilijiona kama nimebalikiwi hivi sababu pesa home ilikuwa sio shidaaa ,ilaa mzee alipokufa ghafla bila kuumwa ndo nikaona nyota nyota mpaka Leo akil yangu huwa haiamini kama ilifika kipind nikawa napata ada kwa mbinde

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
daah maboss wa kibongo jau sana, inaonekana boss wako anatabia za kizungu.
Ukweli ni kwamba hakuna boss ata risk kuchukua fresh graduate Bongo amlipe kiasi hiki. Waajiri ndio wanajua gharama na hasara za hii kitu. Kama hujawahi kuwa mwajiri hutaelewa.

Huyu jamaa lazima aliongeza thamani sana kwenye biashara. Vinginevyo asingeongezwa zaidi ya kupumzishwa baada ya probation
 
Back
Top Bottom