Sipo tayari kufanya ajira take home chini ya milioni moja

Sipo tayari kufanya ajira take home chini ya milioni moja

Subiri boom na pocket money ziishe

Kama upo nyumbani utakaa hapohapo mpaka una 40

Kama upo kitaa njaa ikikugonga siku 2 tu ujinga huo utakutoka

Utakapokuwa unawaona wale wenzako ambao walikuwa hawafanyi vizuri darasani wameajiriwa na wanatembelea magari na kuheshimiwa hapo ndipo utapoanza kozi ya uchawi
 
Sikuona DP 😍😋😋😋😘 kwa hilo body ukiwa mjanja humalizi miezi 6 utakuwa kitengo mahala salama. Hakikisha unajisogeza kwa mameneja wa bank mjini na pia jiingize katika shughuli za kichama pia huenda ukapewa ukuu wa wilaya flani.
😂
 
Msikie huyu
 
Nakumbuka wakati nipo 4th year Chuo nilienda kwa Uncle wangu mmoja huku ninakunywa chupa kubwa ya maji ya Kilimanjaro. Wakati huo chupa ilikuwa inauzwa nadhani TZS. 900/-. Uncle akanicheeeeck then akasema dogo ‘unatupa’ 900 nzima kununua maji ya kunywa tu wakati huku kitaa tunanunua ndoo nzima ya lts. 20 kwa TZs. 200?? Chunga sana!

Anyway, huyu kijana huenda ana vision kubwa na hataki kuchukua just any salary. Ila sometimes ni bora sana kuchukua kazi ili ukapate experience huku ukilipwa hata hiyo kidogo. Experience itakusogeza huko kwenye salary unayoitaka mbele ya safari. Itafika wakati unaweza kujikuta unaomba hata kujitolea bure kabisa mambo yakishakugomea

All the best!
Kwa hali ilivyo natafuta hati ya tabia njema Wizarani soon nijimixie Uber. Huu mwaka utakaoanza uwe wa Faida kwangu 😁😁😁! Huu mji siuelewi elewi
 
Mie ni muhitimu wa degree ya kwanza ya Banking na Finance mwaka huu wa 2020 na nimepata GPA kubwa. Kinachonishtua ni ofa zinazo patikana ni mishahara kiduchu mno!

Kiukweli, over my dead body, sipo tayari kwa ajira ambayo take home yake ni chini ya milioni moja.

Hope zinapatikana bila shaka.
Kumbe wewe ni KE?

Hyo take home 1m bado ni ndogo sana we vaa tu vizuri hyo 1m unaweza idaka kwa siku moja.
 
Muulize baba yak kama anafanyakazi alianza na take home ya tsh ngap?
 
Hehehe[emoji1787][emoji1787][emoji23]

Hata kama ni mboga Saba, watakuchoka tuu

Karibu kitaa, huku ndo kuna maisha halisi, chuoni zile ni ndotoo tuu
 
Mie ni muhitimu wa degree ya kwanza ya Banking na Finance mwaka huu wa 2020 na nimepata GPA kubwa. Kinachonishtua ni ofa zinazo patikana ni mishahara kiduchu mno!

Kiukweli, over my dead body, sipo tayari kwa ajira ambayo take home yake ni chini ya milioni moja.

Hope zinapatikana bila shaka.
Kwasababu upo kwa mama ako hapo unakula kulala kunya bure!!!
 
Hajui ugumu wa mtaani huyu, wahitimu wengi hua na matumaini makubwa sana kuliko uhalisia na ndio maana wanapata msongo wa mawazo,
Kipindi hicho namaliza chuo rafiki yangu mmoja alisema bila 2m take home hafanyi kazi, ajabu zaidi alianza na laki 8 kwa mchina.
Na hiyo laki 8 ashukuru Muumba
 
Mie ni muhitimu wa degree ya kwanza ya Banking na Finance mwaka huu wa 2020 na nimepata GPA kubwa. Kinachonishtua ni ofa zinazo patikana ni mishahara kiduchu mno!

Kiukweli, over my dead body, sipo tayari kwa ajira ambayo take home yake ni chini ya milioni moja.

Hope zinapatikana bila shaka.
Huhitaji kutangazia umma.waandikie uliowatumia barua za maombi ya ajira uwaeleze msimamo wako !!!
 
Mie ni muhitimu wa degree ya kwanza ya Banking na Finance mwaka huu wa 2020 na nimepata GPA kubwa. Kinachonishtua ni ofa zinazo patikana ni mishahara kiduchu mno!

Kiukweli, over my dead body, sipo tayari kwa ajira ambayo take home yake ni chini ya milioni moja.

Hope zinapatikana bila shaka.
Hujawahi kukutana na nja hua unaisikia tu kwa watu ikikupata utafanya ata kwa buku tano per day
 
Kulingana na kazi yangu kama mlinzi wa taasisi moja ya serikali sometimes nakuwa dereva, sometimes nakuwa receptionist and so.
Wahitimu wa shahada ya kwanza wanaokuja kuomba kazi ya usafi kazini ni wengi sana. Sasa sijui ni ugumu wa maisha au wanatafuta connection tu!
Sipingani na mawazo yako ila ngoja nikuambie kitu.
Mimi niliwahi kukataa kazi ya police, jeshi na nilikataa kusomea ualimu.
Maisha yalinitandika mpaka nikanyoosha mikono.
Imagine sasa Mimi ni mlinzi , ningekuwa mjeshi sasa tayari ningekuwa na nyota 3.
Huku niliko nalipwa vizuri tu. Nimejenga, nina gari ya kutembelea lakini naichukia title hii ya "Mlinzi". Hata ujasiri wa kutaja kazi yangu mbele za umma sina
We jamaa huwa una nyodo sana, kumbe ni mlinzi?[emoji848][emoji848][emoji849][emoji849][emoji849][emoji134]
 
Mie ni muhitimu wa degree ya kwanza ya Banking na Finance mwaka huu wa 2020 na nimepata GPA kubwa. Kinachonishtua ni ofa zinazo patikana ni mishahara kiduchu mno!

Kiukweli, over my dead body, sipo tayari kwa ajira ambayo take home yake ni chini ya milioni moja.

Hope zinapatikana bila shaka.
Inabidi uitengeneze hio ajira ili uweze kujilipa unavyotaka, ila biashara haingalii elimu, sura, wala kujuana ni number tu.
 
Back
Top Bottom