sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Subiri boom na pocket money ziishe
Kama upo nyumbani utakaa hapohapo mpaka una 40
Kama upo kitaa njaa ikikugonga siku 2 tu ujinga huo utakutoka
Utakapokuwa unawaona wale wenzako ambao walikuwa hawafanyi vizuri darasani wameajiriwa na wanatembelea magari na kuheshimiwa hapo ndipo utapoanza kozi ya uchawi
Kama upo nyumbani utakaa hapohapo mpaka una 40
Kama upo kitaa njaa ikikugonga siku 2 tu ujinga huo utakutoka
Utakapokuwa unawaona wale wenzako ambao walikuwa hawafanyi vizuri darasani wameajiriwa na wanatembelea magari na kuheshimiwa hapo ndipo utapoanza kozi ya uchawi