Kwahio NDOA zinatuzeesha Dada? Hongera zake sanaView attachment 2281408
Sir Cliff Richard ni mwimbaji na ana uraia wa nchi mbili, Uingereza na Barbados. Alizaliwa mwaka 1940. Amedumu katika Ulimwengu wa muziki kwa miaka 60. Richard hajawahi kuoa au kuwa na familia ingawa alishapitia kwenye mahusiano na wanawake tofauti.
Katika umri wa 82 anaonekana bado yuko vizuri.
Dah, nakosa jibu ila if that's what gives him Peace of mind basi wacha aendelee hivyoHapana sikumaanisha hilo, lakini huyu tumuite nani maana amevuka senior batchelor stage.
Weka picha yake tumuoneKazeeka , unamjua babu yangu, he is 87 now bado janjaa . SEMA Hela TU.
Kutokua na familia ni tabia ya ubinafsi sana. Je kama baba yake angekuwa mbinafsi kama yeye asioe au asiwe na familia yeye angezaliwa? Hawa wazungu mambo leo wajinga sanaView attachment 2281408
Sir Cliff Richard ni mwimbaji na ana uraia wa nchi mbili, Uingereza na Barbados. Alizaliwa mwaka 1940. Amedumu katika Ulimwengu wa muziki kwa miaka 60. Richard hajawahi kuoa au kuwa na familia ingawa alishapitia kwenye mahusiano na wanawake tofauti.
Katika umri wa 82 anaonekana bado yuko vizuri.
Huyu mbabu unasema yuko vizuri? Ama kweli roho ni dawaView attachment 2281408
Sir Cliff Richard ni mwimbaji na ana uraia wa nchi mbili, Uingereza na Barbados. Alizaliwa mwaka 1940. Amedumu katika Ulimwengu wa muziki kwa miaka 60. Richard hajawahi kuoa au kuwa na familia ingawa alishapitia kwenye mahusiano na wanawake tofauti.
Katika umri wa 82 anaonekana bado yuko vizuri.
Field Marshall bachelorHapana sikumaanisha hilo, lakini huyu tumuite nani maana amevuka senior batchelor stage.
Wanasemaga hawajali, hata asingekuwepo it doesnt matter. Tena ingekuwa choice yake asingechagua kuzaliwaKutokua na familia ni tabia ya ubinafsi sana. Je kama baba yake angekuwa mbinafsi kama yeye asioe au asiwe na familia yeye angezaliwa? Hawa wazungu mambo leo wajinga sana
Kweli majangaWanasemaga hawajali, hata asingekuwepo it doesnt matter. Tena ingekuwa choice yake asingechagua kuzaliwa
Akili zao hawa watu wanazijua wenyeweKweli majanga