Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Siyo kutuzeesha tu! Nyakati fulani, zinatuua pia.Kwahio NDOA zinatuzeesha Dada? Hongera zake sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo kutuzeesha tu! Nyakati fulani, zinatuua pia.Kwahio NDOA zinatuzeesha Dada? Hongera zake sana
Hahahahaa ngoja niishie hapaSiyo kutuzeesha tu! Nyakati fulani, zinatuua pia.
Hiki ndo kimenisikitishaRichard hajawahi kuoa au kuwa na familia ingawa alishapitia kwenye mahusiano na wanawake tofauti.
Usimfananishe Yesu,na watu wa kawaida.Nani alikuambia kila ambaye aja oa au kuolewa ni shoga kwa hiyo Yesu , Paulo wote hawa walikuwa mashoga?🤔
Nimfananishe na mizimu, mapepo, majini , mashetani, viumbe visivyoeleweka si ndivyo?🤔Usimfananishe Yesu,na watu wa kawaida.
Sometimes zuia kuonesha ufinyu wa fikra zako mbele ya wengine.Kutokua na familia ni tabia ya ubinafsi sana. Je kama baba yake angekuwa mbinafsi kama yeye asioe au asiwe na familia yeye angezaliwa? Hawa wazungu mambo leo wajinga sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wakikujibu nitag.Nani alikuambia kila ambaye aja oa au kuolewa ni shoga kwa hiyo Yesu , Paulo wote hawa walikuwa mashoga?[emoji848]
Wabongo utawaweza sasa? Kutwa kuwafatilia wazungu, hawana wanalolijua wala kuweza. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Brother bado unaishi maisha ya kufatilia watu?
Unasikitisha sana.
Je kama hana familia wewe unapungukiwa na nini?
Ujinga ni mzigo.
Wa Yanga. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mzaha gani nimefanya hapo kwani yesu alioa?[emoji848] alafu sidhani kama wewe mtu mweusi una umiliki wa yesu . Watu pekee wenye umiliki wa yesu ni Mariam na Yusufu na ukoo wa yesu sijui Kama wewe mtu mweusi [ Mwaafrika ] una vinasaba na ukoo wa yesu na wayaudi ili uweze kuwa na huo umiliki wa Yesu au unamzungumzia Yesu wa Arsenal [emoji1]
Shida ya bongo wanashika mic kama wanavyo shikaga mic kumbe kushika mic ni tofauti na kushika micHuyo mtangazaji ameshika mic vizuri sana. Safi.
Principal BachelorHapana sikumaanisha hilo, lakini huyu tumuite nani maana amevuka senior batchelor stage.
Na wewe kwa nini usizuie kupangia wengine fikra za kufikiri?Sometimes zuia kuonesha ufinyu wa fikra zako mbele ya wengine.