Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Ma-Sir wengi wanakuwaga mchele mcheleView attachment 2281408
Sir Cliff Richard ni mwimbaji na ana uraia wa nchi mbili, Uingereza na Barbados. Alizaliwa mwaka 1940. Amedumu katika Ulimwengu wa muziki kwa miaka 60. Richard hajawahi kuoa au kuwa na familia ingawa alishapitia kwenye mahusiano na wanawake tofauti.
Katika umri wa 82 anaonekana bado yuko vizuri.
Mjinga ni wewe kumpangia mtu namna ya kuishi kwani yeye aliwalazimisha hao wazazi wake wamlete duniani?π€Kutokua na familia ni tabia ya ubinafsi sana. Je kama baba yake angekuwa mbinafsi kama yeye asioe au asiwe na familia yeye angezaliwa? Hawa wazungu mambo leo wajinga sana
Nani alikuambia kila ambaye aja oa au kuolewa ni shoga kwa hiyo Yesu , Paulo wote hawa walikuwa mashoga?π€Isije kuwa wa upinde wa Mvua maana wao ndiyo hawapendi kuwa na familia.
Brother bado unaishi maisha ya kufatilia watu?Kutokua na familia ni tabia ya ubinafsi sana. Je kama baba yake angekuwa mbinafsi kama yeye asioe au asiwe na familia yeye angezaliwa? Hawa wazungu mambo leo wajinga sana
Mwamba yupo vizuri heko kwakeπView attachment 2281408
Sir Cliff Richard ni mwimbaji na ana uraia wa nchi mbili, Uingereza na Barbados. Alizaliwa mwaka 1940. Amedumu katika Ulimwengu wa muziki kwa miaka 60. Richard hajawahi kuoa au kuwa na familia ingawa alishapitia kwenye mahusiano na wanawake tofauti.
Katika umri wa 82 anaonekana bado yuko vizuri
Hawa watu ni kawaida yao wala haijaanza leowazungu mambo leo wajinga sana
Huyo ni Full General bachelorHapana sikumaanisha hilo, lakini huyu tumuite nani maana amevuka senior batchelor stage.
Usikariri...Kutokua na familia ni tabia ya ubinafsi sana. Je kama baba yake angekuwa mbinafsi kama yeye asioe au asiwe na familia yeye angezaliwa? Hawa wazungu mambo leo wajinga sana
Don't mention our Jesus Christ Name kwenye mambo ya kimzahaNani alikuambia kila ambaye aja oa au kuolewa ni shoga kwa hiyo Yesu , Paulo wote hawa walikuwa mashoga?π€
Kuna mzaha gani nimefanya hapo kwani yesu alioa?π€ alafu sidhani kama wewe mtu mweusi una umiliki wa yesu . Watu pekee wenye umiliki wa yesu ni Mariam na Yusufu na ukoo wa yesu sijui Kama wewe mtu mweusi [ Mwaafrika ] una vinasaba na ukoo wa yesu na wayaudi ili uweze kuwa na huo umiliki wa Yesu au unamzungumzia Yesu wa Arsenal πDon't mention our Jesus Christ Name kwenye mambo ya kimzaha
Hana mawasiliano na mzee Mrema LyatongaRichard hajawahi kuoa au kuwa na familia ingawa alishapitia kwenye mahusiano na wanawake tofauti.
Pepo shindwa.Kuna mzaha gani nimefanya hapo kwani yesu alioa?π€ alafu sidhani kama wewe mtu mweusi una umiliki wa yesu . Watu pekee wenye umiliki wa yesu ni Mariam na Yusufu na ukoo wa yesu sijui Kama wewe mtu mweusi [ Mwaafrika ] una vinasaba na ukoo wa yesu na wayaudi ili uweze kuwa na huo umiliki wa Yesu au unamzungumzia Yesu wa Arsenal π
UKWELI SIKU ZOTE HUUMA πPepo shindwa.
Mkuu usikaririPepo shindwa.
Babu yangu ana 87 anaendesha baiskeliWa miaka 82 wanaotembea bila mkongojo ni wachache.
Unakumbuka ule wimbo wake wa Bachelor Boy?Hana mtoto