Sir Cliff Richard mwenye umri wa miaka 82 akiwa Wimbledon

Nadhani anazo sababu zake,ila mi naona,angezaa tu kama hakutaka kuoa,awe kama Diamond Platinums.
 
Alijisema kwenye wimbo huu wake
 
Hapana sikumaanisha hilo, lakini huyu tumuite nani maana amevuka senior batchelor stage.
Kuoa sio sheria au amri inayomhusu kila mtu. Wapo mapadri na wasela kibao tu walioamua kuchagua kutokuoa. Wapo wengine waliotamani kuoa lakini hawakujaliwa kupata wa kuwaoa nk.
 
Mzee wangu amezaliwa Kati ya mwaka 1930-1931 coz mwaka 2013 alikuwa akinihadithia hadithi kuhusu Vita ya 2 ya dunia na vile ambavyo huku Afrika Vita ilitambulika Kama vile Ni Vita inayopiganwa huko ulaya.
Anasema pia katika mwaka wa Kati ya 1943-1944 alishakuwa kijana mkubwa akijifananisha na Mimi ambae wakati akinihadithia stories hii nilikuwa na miaka 17 hivi mwaka 2013.
Mtoto was kwanza was mzee wangu kazaliwa mwaka 1951 na yupo mpaka leo.
Ukimuona Ni Kama mtu na bro wake .
Pia akinihadithia namna ambavyo wapoland kibao walivyokimbia Vita ulaya na kuja Afrika walivyoinjoy maisha kule kwao Kondoa na Babati wakaishi Kama kwao.


Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Kutokua na familia ni tabia ya ubinafsi sana. Je kama baba yake angekuwa mbinafsi kama yeye asioe au asiwe na familia yeye angezaliwa? Hawa wazungu mambo leo wajinga sana
Kwani aliwalazimisha wamzae? Kiherehere chao ndiyo wakamzaa. Hata sisi watoto wetu wakiamua kutokuzaa ni choice yao.
 
Kuna watu wako so brainwashed yaani hadithi za zamani za Kiyahudi wamemezeshwa na kuaminishwa kuwa they're part and parcel ya hadithi hizo, nimekumbuka msemo wa wahenga wa 'wajinga ndiyo waliwao'.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…